Picha: Electric shower itatumaliza, serikali itolee ufafanuzi

Picha: Electric shower itatumaliza, serikali itolee ufafanuzi

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
12,014
Reaction score
28,384
Unaweza ukapigwa shoti ukiwa bafuni hadi unaiona Dunia chungu

Haka kadude noma sana one day kalinimaliza stim ya kula mbususu sio poa niliiona mbigu kabisa

Watu wanalalamika sana, ukienda mikoa yenye baridi kama Kilimanjaro, Mbeya, Iringa huko bila maji moto huogi sasa ndio ukakute haka utalia

USSR

20230508_162800.jpg
 
Unaweza ukapigwa shoti ukiwa bafuni hadi unaiona Dunia chungu

Haka kadude noma sana one day kalinimaliza stim ya kula mbususu sio poa niliiona mbigu kabisa

Watu wanalalamika sana , ukienda mikoa yenye baridi kama Kilimanjaro, Mbeya,Iringa huko bila maji moto huogi sasa ndio ukakute haka utalia

USSR View attachment 2614491
Mwili wa binadamu, Umeme na maji?!! WaTz tujiongeze kidogo!!
 
Mimi ninayo hiyo mwaka wa 3 sasa ila nahisi element kama imekufa hivi coz haipashi maji yakawa ya moto sana yanakuwa vuguvugu tu, wadau wanasema inatengenezeka.

Tatizo linakuwa ni kutokuifunga vizuri mpaka inasababisha shoti au tatizo ni nini...?
Fundi asipouweka waya wa ethi ndani ya bomba lake la maji, utakufa.
 
Unaweza ukapigwa shoti ukiwa bafuni hadi unaiona Dunia chungu

Haka kadude noma sana one day kalinimaliza stim ya kula mbususu sio poa niliiona mbigu kabisa

Watu wanalalamika sana , ukienda mikoa yenye baridi kama Kilimanjaro, Mbeya,Iringa huko bila maji moto huogi sasa ndio ukakute haka utalia

USSR View attachment 2614491

Rahisi ni gharama USSR
 
Mimi ninayo hiyo mwaka wa 3 sasa ila nahisi element kama imekufa hivi coz haipashi maji yakawa ya moto sana yanakuwa vuguvugu tu, wadau wanasema inatengenezeka.

Tatizo linakuwa ni kutokuifunga vizuri mpaka inasababisha shoti au tatizo ni nini...?
achana nayo, zimepigwa marufuku nchi nyingi sana, unaweza soma mwenyewe mitandaoni huko, ipo siku katakuwa "boda boda" wako kwenda kuimba parapanda usipoachana nako, watu wamekufa
 
Unaweza ukapigwa shoti ukiwa bafuni hadi unaiona Dunia chungu

Haka kadude noma sana one day kalinimaliza stim ya kula mbususu sio poa niliiona mbigu kabisa

Watu wanalalamika sana , ukienda mikoa yenye baridi kama Kilimanjaro, Mbeya,Iringa huko bila maji moto huogi sasa ndio ukakute haka utalia

USSR View attachment 2614491
Afadhali hako ka electric shower mimi hako chini kwenye picha kaliniunguzaga marinda nilipokuwa Sweden wakati wa Winter. Nilijisahau nikaweka kwenye moto yani rinda iliungua balaa utadhani furnace.
611tqq7mF5L._AC_UF1000,1000_QL80_.jpg


rBNaOWB6-XGAB9uWAAKWmcew5_o289.jpg
 
Mara ya kwanza naingia Arusha nikakakuta kwenye shower 🚿 ndani ya guest moja hapo town , nikawa naoga huku macho yanakaangalia 🙄🙄, sabuni nikagoma kupakaa usoni ili niwe tayari tayari kikiwaka....😳😳😳
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom