Picha: Electric shower itatumaliza, serikali itolee ufafanuzi

Picha: Electric shower itatumaliza, serikali itolee ufafanuzi

Unaweza ukapigwa shoti ukiwa bafuni hadi unaiona Dunia chungu

Haka kadude noma sana one day kalinimaliza stim ya kula mbususu sio poa niliiona mbigu kabisa

Watu wanalalamika sana, ukienda mikoa yenye baridi kama Kilimanjaro, Mbeya, Iringa huko bila maji moto huogi sasa ndio ukakute haka utalia

USSR

View attachment 2614491
Wacha ikumalize maana wewe ni sukuma gang....Sukuma gang hawana thamani ya kuwa watu
 
Sio kifaa kizuri kutumia katika mifumo ya plastic pipes sababu earthing inakua haifanyi kazi kwenye circuit. Ikiwa hivyo ikitokea leakage kwenye element maji yanakuja na current mpaka kwa muogaji bila circuit breaker kujizima

Endelea kutumia tu kama bomba zako ni za chuma na zimeunganishwa na earthing iliyo nzuri inayojaribiwa mara kwa mara, tofauti na hapo ifungue hata leo hii

Bomba iliyotoka ukutani inayoshikilia hiyo heater ni ya chuma kiongozi.

Na earthing inajaribiwaje mara kwa mara mkuu...?
 
Bomba iliyotoka ukutani inayoshikilia hiyo heater ni ya chuma kiongozi.

Na earthing inajaribiwaje mara kwa mara mkuu...?
Unajaribu kutumia ohms meter, na kama huna unaweza tumia ku contact live terminal na earth terminal, ikiwa circuit breaker yako (ELCB) inafanya kazi ipasavyo itazima. Isipozima jibu huna active earthing
 
Unajaribu kutumia ohms meter, na kama huna unaweza tumia ku contact live terminal na earth terminal, ikiwa circuit breaker yako (ELCB) inafanya kazi ipasavyo itazima. Isipozima jibu huna active earthing

Dah, itabidi nimpate fundi anisaidie kufanya hiko kitu.
 
Unaweza ukapigwa shoti ukiwa bafuni hadi unaiona Dunia chungu

Haka kadude noma sana one day kalinimaliza stim ya kula mbususu sio poa niliiona mbigu kabisa

Watu wanalalamika sana, ukienda mikoa yenye baridi kama Kilimanjaro, Mbeya, Iringa huko bila maji moto huogi sasa ndio ukakute haka utalia

USSR

View attachment 2614491
Ungefia gesti chooni halafu uchi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1544][emoji1550]
 
Unaweza ukapigwa shoti ukiwa bafuni hadi unaiona Dunia chungu

Haka kadude noma sana one day kalinimaliza stim ya kula mbususu sio poa niliiona mbigu kabisa

Watu wanalalamika sana, ukienda mikoa yenye baridi kama Kilimanjaro, Mbeya, Iringa huko bila maji moto huogi sasa ndio ukakute haka utalia

USSR

View attachment 2614491
Mimi niliacha kutumia mwaka juzi baada ya taarifa ya mtu kupigwa na short ya umeme
 
Unaweza ukapigwa shoti ukiwa bafuni hadi unaiona Dunia chungu

Haka kadude noma sana one day kalinimaliza stim ya kula mbususu sio poa niliiona mbigu kabisa

Watu wanalalamika sana, ukienda mikoa yenye baridi kama Kilimanjaro, Mbeya, Iringa huko bila maji moto huogi sasa ndio ukakute haka utalia

USSR

View attachment 2614491
Hili swala wala serikali halihusiki ni wew tu ..... komaa na wahudumu wakupe maji ya moto cyo lazma utumie hiyo
 
Atakuja kufa kifala kwa kujiona shujaa kwenye mambo yanayohitaji reasoning.
Mimi nilikua najifanya mbishi naoga maji baridi tena yaliyolala nikiwa sehemu za baridi kali. Wakati mmoja nimetoka huko niliporudi Dar.....ITAENDELEA.
Unaweza jipa hata naimonia alafu ukaanza kuhangaikia dawa wakati maji kuchemsha ni dakika tano tu
 
Mimi ninayo hiyo mwaka wa 3 sasa ila nahisi element kama imekufa hivi coz haipashi maji yakawa ya moto sana yanakuwa vuguvugu tu, wadau wanasema inatengenezeka.

Tatizo linakuwa ni kutokuifunga vizuri mpaka inasababisha shoti au tatizo ni nini...?
hizo ni chinese made, ni disposable, non-repairable, tafuta heater za uturuki
hutakaa usikie ujinga ujinga huo tena
 
Nje ya mada:nliwahi kojolea waya waumeme kipindi Niko form 2,nilitoka moshi mwili mzima,ila tangu wakati huo mkuyenge ni kazi kazi
Ndugu yangu siku moja sijui ikawaje ujuaji mwingi karudi redio hii vp?
Namwambia iangalie e bana shika nyaya chokonoa huku nikaskiii triiii,triiiii, triiiiiii naona jamaa anazima nikatokA mbio zima main swich.
Ndo pona yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom