Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,676
- 23,200
Kumekucha..kumekuchaaaaaaMwanaume utaogaje maji ya moto?
Kumekucha..kumekuchaaaaaaMwanaume utaogaje maji ya moto?
Hakuna kukoga maji yamoto...hakuna kukoga kabisaUmewahi kufika Njombe? Hii kauli yako utaifuta
Ndio tena hasa jinsia ke😂😂😂Hakuna kukoga maji yamoto...hakuna kukoga kabisa
Kwani kwenye baridi mtu anakuwa ananuka!!? [emoji6]
Dduuh. Nibaki tu kwetuNdio tena hasa jinsia ke[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaa pole mkuuAfadhali hako ka electric shower mimi hako chini kwenye picha kaliniunguzaga marinda nilipokuwa Sweden wakati wa Winter. Nilijisahau nikaweka kwenye moto yani rinda iliungua balaa utadhani furnace.View attachment 2614532
View attachment 2614534
Hizi kitu zilinipiga shot siku moja Iringa sitaki kuzisikiaUnaweza ukapigwa shoti ukiwa bafuni hadi unaiona Dunia chungu
Haka kadude noma sana one day kalinimaliza stim ya kula mbususu sio poa niliiona mbigu kabisa
Watu wanalalamika sana , ukienda mikoa yenye baridi kama Kilimanjaro, Mbeya,Iringa huko bila maji moto huogi sasa ndio ukakute haka utalia
USSR View attachment 2614491
Nimekaa kule na ilikuwa naoga maji ya baridi, nimekaa West Kilimanajaro kote huko naoga ya baridi, nimekaa Ngorongoro still naoga maji ya baridi, watu wananishangaaga sana, ila sijawahi oga maji ya moto. Niliko taja kuna baridi la kufa mtu hio mwezi wa 6 ba 7 hapoUmewahi kufika Njombe? Hii kauli yako utaifuta
Kwa hiyo saivi hauna rinda? 🤔Afadhali hako ka electric shower mimi hako chini kwenye picha kaliniunguzaga marinda nilipokuwa Sweden wakati wa Winter. Nilijisahau nikaweka kwenye moto yani rinda iliungua balaa utadhani furnace.View attachment 2614532
View attachment 2614534
Niliikuta tukuyu nikaiangalia na waya umechubuka nikaona hapa hii sigusi nikamwambia muhudumu achemshe maji tu kwenye kuni nijimwagie.Hii mimi situmii hata iweje
USSR
Ukiona watu wanakushangaa ujue unafanya jambo la ajabu.Nimekaa kule na ilikuwa naoga maji ya baridi, nimekaa West Kilimanajaro kote huko naoga ya baridi, nimekaa Ngorongoro still naoga maji ya baridi, watu wananishangaaga sana, ila sijawahi oga maji ya moto. Niliko taja kuna baridi la kufa mtu hio mwezi wa 6 ba 7 hapo
nami hukohuko iringa nilipigwa shock moja ya hatari[emoji1787][emoji1787]situmii tena hiyo bora nioge yabaridi tuHizi kitu zilinipiga shot siku moja Iringa sitaki kuzisikia
nikurekebishe kidogo kama huto jali usiseme shot sema shock ,shot ni tendo la waya mbili zenye umeme zilizochubuka kugusana na shock ni tendo la umeme kupita mwilini[emoji106]ukiona unapigwa shoti ujue installation mbovu utakufa ukiwa unaoga ndugu Mtanzania
😂😂😂Afadhali hako ka electric shower mimi hako chini kwenye picha kaliniunguzaga marinda nilipokuwa Sweden wakati wa Winter. Nilijisahau nikaweka kwenye moto yani rinda iliungua balaa utadhani furnace.View attachment 2614532
View attachment 2614534
Kwa kweli...cheap is always expensive.
Mamaangu alikuwa Ana msemo wake nilipokuwa mdogo sikuwa naufaham...'bure ghali'
Ni kwamba unajitesa tu hakuna ushujaa kuoga maji ya baridi sehemu kama jombe.Nimekaa kule na ilikuwa naoga maji ya baridi, nimekaa West Kilimanajaro kote huko naoga ya baridi, nimekaa Ngorongoro still naoga maji ya baridi, watu wananishangaaga sana, ila sijawahi oga maji ya moto. Niliko taja kuna baridi la kufa mtu hio mwezi wa 6 ba 7 hapo
Wala sio rahisi kivile , ni sbabu tu watu hawajui maduka yanayouza heater nzuri , nilikaona sehemu kanauzwa laki plus wakati, kwa bei hiyo unapata heater ya digital ambayo ni nzuri na salamaRahisi ni gharama USSR