Ccm wakimteua lowasa kura yangu ukawa
Porini kukata gogo..............hii ni nchi yetu sote,anayedhani ccm daima itatawala ni mpumbavu,haiwezekani,kama ni hivyo tunakwenda porini.
Acha kujidanganya wewe! Maisha ya vijana wengi walio huko Mbeya ni bora maradufu kuliko walio Dar. Hata takwimu za sensa ya kitaifa zinaonyesha hivyo, ndio maana wa Dar wengi kutokana na ugumu wa maisha wanaweza kuhadaika kirahisi.Si bora huku kuku wanachinjwa na wengine wanaambulia miguu kuliko huko mpaka mgeni aje
Niko mbeya hapa nasubiri mkutano wa wanywa gongo kwa fujo
HAI kwa MBOWE uchaguzi uliopita wameshindwa vibaya,kwa Slaa KARATU wameshindwa vibaya sana.Sasa wanataka kuwaingiza,Choo cha kike Mbeya.na watachemsha,
hujui gongo ni hadhina? Mi ndo imenifikisha hapa nilipo, bila kuuza gongo, nisingepata hii elimu. Lamba viatu vya watu tu huna lolote wewe
Hilo ni jeshi la chadema au??? Wasije wakaanza ku-recruit wahitimu wa jkt.
Likipigwa moja la kutolea chozi wanatoka nduki wote!
Nilipoona maafande wa CDM 4600 kule Shinyanga niliamini CHADEMA imejiandaa kuchukua nchi.