Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,126
hakuna mjinga mbeya wote wanajitambua sana
Wewe haujiulizi kwanini Mbowe hafanyi mikutano Dar?
hakuna mjinga mbeya wote wanajitambua sana
Wewe haujiulizi kwanini Mbowe hafanyi mikutano Dar?
watu wa dsm hawajitambui kwahiyo ni bora kuwaacha hivyo hivyo. wengi wao wamedumaa akili they cant think properly
watu wa dsm hawajitambui kwahiyo ni bora kuwaacha hivyo hivyo. wengi wao wamedumaa akili they cant think properly
Kukaa kote juani posho msokoto wa bangi
Kumbuka Mbowe na Sugu wanaishi DSM
Wala utumbo wa kuku na miguu yake.
huko wako vizuri sio kama dsm
Dar vipo vivulana panya road tu wamewakalisha!
Likipigwa moja la kutolea chozi wanatoka nduki wote!
Wala utumbo wa kuku na miguu yake.
dsm wazembe sana sio watu wa kuwaamini
Tatizo mnasumbuliwa na ushamba mkiletewa chopa mnatoka mpaka vyooni kwenda kushangaa na watu ndipo wanapopatia ruzuku.
umasikini uliosababishwa na utawala wa chama tawala ndio unaosabisha watu kushangaa sio chopa tu hata bodaboda.
Kumbuka Mbowe na Sugu wanaishi DSM
Mbona hao walinzi wanaonekana wamelewa sana? Wamekunywa nini?