Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
hawa ndio warusha mabomu ndio maana wameficha nyuso zao, polisi wakamateni hawa majambazi lps
Wahuni wamebeba nini
hawa ndio warusha mabomu ndio maana wameficha nyuso zao, polisi wakamateni hawa majambazi lps
Wao kazi yao kuvaa makoti makubwa na mamiwani meusi wenzao makao makuu ufipa wanatumbua ruzuku ya chama na mahawara Dubai.
Wakiondoka Hapo waliposimama utakuta karatasi za viroba zimezagaa chini.
Kwahiyo kuvaa makoti makubwa na mamiwani meusi ndio ukomavu , chadema kweli MNA akili ndogo. Sura zote Hapo zimekaa kilevi Levi tu
umenikumbusha ya lumumba, vidampa vinatetea mafisadi waliokwapua milioni 1600 huku vikiambulia buku saba haa haa kweli umasikini ni tabu.Wao kazi yao kuvaa makoti makubwa na mamiwani meusi wenzao makao makuu ufipa wanatumbua ruzuku ya chama na mahawara Dubai.
vyama vyote vikubwa hapa tanzania vina jeshi, sio ccm, cdm wala cuf!Jamaa wanajeshi ....
nikukumbushe matukio mawili
1. Wanajeshi walishindwa kuupandisha mwenge mlima kilimanjaro wanywa viroba wakaupandisha jiulize kwanini.
2. Polisi walishindwa kutoa miili ya watu waliokufa mererani wanywa viroba wakaiambia serikali tulieteeni Bangi tuifanye hii kazi, kazi ikafanyika jiulize kwanini..
3... swali LA ziada wanywa viroba walimfanya mini Gadaffi...Kijana acha dharau Kwa watu waliochoka na huu usenge wa serikali ya CCM Sikh wakiamua hakuna watakachoshindwa. mmarangu
Niko mbeya hapa nasubiri mkutano wa wanywa gongo kwa fujo
Mkuu crashwise kwa muda uliokaa chadema kukipigia chapuo haswaa nasary ungefanya ujasirimali ungekuwa mbali sana kimaendeleo.
Hawa vijana wengi wao ni waendesha bodaboda hata makoti yao yanadhihirisha ni ya kujikinga na upepo wanapomkia abiria.ndio mnawaita red bridged ni kuwapotezea muda Hapo wakati hawalipwi hata kumi.
Kajiunge mtandao Wa vijana meru ufanye maendeleo yako binafsi.
Uwazi wenu u wapi?
Tunaomba ripoti ya fedha.