lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Majambazi matupu ...!
tulia dawa ikuingie mwaka huu lumumba mtaisoma
Majambazi matupu ...!
Majambazi matupu ...!
Walinzi njaaa tu akuna kitu...
Kuliko wale wa ESCROW and Richmond siyo au?
Niko mbeya hapa nasubiri mkutano wa wanywa gongo kwa fujo
Tahadhali muhimu sana hii.Hilo ni jeshi la chadema au??? Wasije wakaanza ku-recruit wahitimu wa jkt.
Majambazi matupu ...!
huko wako vizuri sio kama dsm
Hata huyo Mbowe ametoka DSM kuja kuwashika masikio wajinga wachache
hawa ndio warusha mabomu ndio maana wameficha nyuso zao, polisi wakamateni hawa majambazi lps
Unasubiri mkutano uanze ili urushe bomu, hao vijana watakuoa mbona!Niko mbeya hapa nasubiri mkutano wa wanywa gongo kwa fujo