Ushamba mzigo
tumeshawashtukia na kutukandamiza kwenu mabadiliko ni lazima sasa
Ushamba mzigo
Akuna kitu apo njaa tu
umasikini uliosababishwa na utawala wa chama tawala ndio unaosabisha watu kushangaa sio chopa tu hata bodaboda.
Niko mbeya hapa nasubiri mkutano wa wanywa gongo kwa fujo
Serikali Imeombwa Kupiga Marufuku Uingizwaji wa pombe aina ya Viroba Maana Wataalamu wa Maswala ya Vilevi na hadhali zake Wanasema ni Janga la Kitaifa kwa sasa, hata under 18 ni watumiaji wakuu.
CCM kazi wanayo,kulekea uchaguzi mkuu,hasa pale kwenye kulinda masanduku ya kura
Sasa ni dhahiri Mbeya ni nchi , bado bendera tu .Hata huyo Mbowe ametoka DSM kuja kuwashika masikio wajinga wachache
Ni mbaya sana taifa kuwa na majeshi kama haya. CCM hivi wote hamna akili hata hamjui majukumu yenu mmekubali haya yote yatokee kisa hamjui kubadilika na upepo. TISS vipii, mbona haya yanatokea nyie mpo tu.
Sasa ni dhahiri Mbeya ni nchi , bado bendera tu .
Teh! Teh! Teh! Hizo kofia na miwani zote utazikuta chini hapo.Likipigwa moja la kutolea chozi wanatoka nduki wote!
Unasubiri mkutano uanze ili urushe bomu, hao vijana watakuoa mbona!
TISS ilikuwa wakati wa Nyerere.kwa sasa ukienda TISS utakuta watu wa ccm , Chadema, cuf, na wa mtu mmoja mmoja.
Mkuu TISSS wako bize na kiongozi wa wale vijana wa JKT.
Wacha wamelize hilo soo kwanza