Hii Itakuwa Mtu na Mtu hadi Kieleweke. Hii Ndio Njia sahihi ya Upinzani Kuzilinda Kura zao zote, na Kuzuia uingizwaji wa masanduku yaliyopigiwa kura Majumbani mwa MaCCM.
Vijana wa JKT waliotelekezwa badala ya Kuandamana kwenda Ikulu, basi hii ndio fursa pekee itakayoweza kuwatoa maana kuna uwezekano wa kuwa-integrated kwenye Vyombo vya ulinzi ndani ya Serikali ya UKAWA baada ya Kuifanikisha kazi ya kuzilinda kura na ushindi wa kimbunga hapo October'2015.
Kwa style hii basi ni ukweli usiopingika ya kwamba nchi Inaenda kupata Ukombozi wa kweli toka kwa mkoloni Mweusi ( CCM).