Picha: Ben Paul ndani ya Emirates first class to USA

Alijisemea mzee wa upako, "Ukipata nafasi hakikisha unaitumia vizuri,,,vinginevyo ukifa maskini we ni fala tu!"..."Eeh kufa maskini ni ufala tu!"

Sasa Benpol toka kwa Ebitoke mpaka level za Beyonce unafanya masihara nini😅😅😅 wabongo ni wivu tu!!!....Vijana wengi wanaitamani hio nafasi hasa awamu hii ya vyuma kukaza kwahio majungu yasiwe mengi wengine wamejiongeza D.M huko na mmesikia.

Hakuna raha kama kuwa na mwanamke romantic anaejiweza haswaa!😆😆😆 ila Sie tupambane na mizinga kwanza ya tuma na ya kutolea.
Hivi Ebitoke ni kweli au walikuwa wanaigiza?
 
Hivi unadhani Kaka maisha ya ku push Range Rover Velar angeyafikia lini kwa mziki wetu wa kuunga unga. Media zinakutengenezea jina kubwa ila unaishia kuendesha Toyota Porte na nyumba ya kuunga unga kama sio kupanga mjini ukijitahidi ni Harrier Old model ya 1999.

Kwisha habari yako...tunasubiri story za "Tumsaidieni BenPol ameanza kubwia unga kwa stress!" warumi
Mkuu umeongea point kubwa sana

Yaani bongo celebs wengi wanaishi kama mtu mwenye kipato cha 450K kwa mwezi..yaani hakuna utofauti,utofauti ni ile media spotlight tu..
 
Mkuu umeongea point kubwa sana

Yaani bongo celebs wengi wanaishi kama mtu mwenye kipato cha 450K kwa mwezi..yaani hakuna utofauti,utofauti ni ile media spotlight tu..
hahah ndio maana wasanii wanadharaulika sana na wengine wamejiongeza na kuanza kufanya maisha kivingine.

Hivi unajua lamar kaacha production ya mziki ana carwash na anakaanga chips mkuu?😄😄😄 Wengine ni wengi wanaachana na usanii na kufanya biashara zingine tu kushona, kupikapika yote ni kuepuka hio fedhea. Kama Mpoki kakimbilia Efm kule kupiga utangazaji.
 
Alijisemea mzee wa upako, "Ukipata nafasi hakikisha unaitumia vizuri,,,vinginevyo ukifa maskini we ni fala tu!"..."Eeh kufa maskini ni ufala tu!"

Sasa Benpol toka kwa Ebitoke mpaka level za Beyonce unafanya masihara nini wabongo ni wivu tu!!!....Vijana wengi wanaitamani hio nafasi hasa awamu hii ya vyuma kukaza kwahio majungu yasiwe mengi wengine wamejiongeza D.M huko na mmesikia.

Hakuna raha kama kuwa na mwanamke romantic anaejiweza haswaa! ila Sie tupambane na mizinga kwanza ya tuma na ya kutolea.
Kutuma na ya kutolea ndio mpango
 
hahahaha aisee wakati nakumiminia protini nami ntakuwa namwaga mpaka ya kutolea
Screenshot_20190605-175159~2.jpeg
 
hahah ndio maana wasanii wanadharaulika sana na wengine wamejiongeza na kuanza kufanya maisha kivingine.

Hivi unajua lamar kaacha production ya mziki ana carwash na anakaanga chips mkuu? Wengine ni wengi wanaachana na usanii na kufanya biashara zingine tu kushona, kupikapika yote ni kuepuka hio fedhea. Kama Mpoki kakimbilia Efm kule kupiga utangazaji.
True that..

Ila Nigeria hapo wasanii wa level ya kati tu wana mabangaloo ya hatari na wanapush RR za maana..Bongo nyoso sana
 
True that..

Ila Nigeria hapo wasanii wa level ya kati tu wana mabangaloo ya hatari na wanapush RR za maana..Bongo nyoso sana
bongo wametoboa wasafi tu hadi tunahisi ipo namna😀😀😀
 
Maendeleo hayana chama.
Huyu nae mxieew toka uolewe huko Kenya hatupumui, yan janaume zima linajishaua na pesa za wanawake, yan katika wasanii niliokua nawaona na gentleman ni Ben Paul , kumbe na yeye nae Ndo wale wale , mxieew kupenda mteremko tu , mwenzenu Diamond yuko busy kufanya Kazi nyie mko busy kudanga na wanawake, yan tunajua apo sauti huna shoga angu , unaperekeshwa tu kama punda Kisa pesa , na siku ngoja uachwe tutakavyokuchamba mbwa wewe, we Ngoja tu your days are numbered .

Ila wanazengo huyo annerlisa yuko vizur bwana , kwao wana pesa chafu, unaambiwa anamiliki mansion huko Maeneo ya runda jijini Nairobi Ana investment kama zote, huyu sio bosslady wa insta kama akina Tunda na lulu , yan inshort bibie pesa kwake c Tatizo, Tatizo tu mwanaume wa kumtumia( sex worker) , yan apo yupo na Ben Paul Coz hajapata mbadala wake kwa sasa , na vile wanaume wa Kenya hawapendag ujinga na kwanza hawapo romantic , wengi ni matapeli, so bibie kapata zoba from Tz atamtumia wee akimchoka anamuacha, hat wafunge ndoa mbinguni bibie siku yakimfika hapa anamuacha kaka yetu kweupe, wanawake wakikenya hawapendag ujinga kabisa.

Ila shoga angu Ben nae kaangukia bwana , maisha yenyewe mafupi, wacha tu ale bata, mie nae wivu tu mbwa mie , ila shoga usije kujisahau tu ukala bata ukafikir pesa za baba ako hizo, we acha ku invest kwa mtoto wako ujifanye unampenda sana annerlisa , sio mama yako yule , utalia mpaka uchanganyikiwe.

Sasa na nyie akina sheta na harmonize , kabisa mkafikiri annerlisa anaweza kuwakubalia nyie over Ben Paul ? We shetta ulivyokua mfupi kama jeneza na mimacho kama joyce wowowo mxieew, na wewe harmonize msura umekukomaa kama mawe ya mwanza kwa akili zako kabisa ulifikir utaweza mtoa benpaul kwa annerlsa? .

Benpaul handsome bwana , kakamilika kila idara, Ana mvuto, mrefu yan pale shoga angu kapata kwa kweli , na nasikia ben kafungashia balaa, shughuli yake kiboko, yan kusemezana tu ukweli , benpaul kifaa bwana , hata mimi ningekua na pesa za kuchezea ningemfuga kwan sh ngap? Maisha yenyewe mafupi

We endelea kula bata , wanazengo tunakusubir tu hapa uachike uanze kupokea kichamboView attachment 1140966View attachment 1140968
 
Huyu nae mxieew toka uolewe huko Kenya hatupumui, yan janaume zima linajishaua na pesa za wanawake, yan katika wasanii niliokua nawaona na gentleman ni Ben Paul , kumbe na yeye nae Ndo wale wale , mxieew kupenda mteremko tu , mwenzenu Diamond yuko busy kufanya Kazi nyie mko busy kudanga na wanawake, yan tunajua apo sauti huna shoga angu , unaperekeshwa tu kama punda Kisa pesa , na siku ngoja uachwe tutakavyokuchamba mbwa wewe, we Ngoja tu your days are numbered .

Ila wanazengo huyo annerlisa yuko vizur bwana , kwao wana pesa chafu, unaambiwa anamiliki mansion huko Maeneo ya runda jijini Nairobi Ana investment kama zote, huyu sio bosslady wa insta kama akina Tunda na lulu , yan inshort bibie pesa kwake c Tatizo, Tatizo tu mwanaume wa kumtumia( sex worker) , yan apo yupo na Ben Paul Coz hajapata mbadala wake kwa sasa , na vile wanaume wa Kenya hawapendag ujinga na kwanza hawapo romantic , wengi ni matapeli, so bibie kapata zoba from Tz atamtumia wee akimchoka anamuacha, hat wafunge ndoa mbinguni bibie siku yakimfika hapa anamuacha kaka yetu kweupe, wanawake wakikenya hawapendag ujinga kabisa.

Ila shoga angu Ben nae kaangukia bwana , maisha yenyewe mafupi, wacha tu ale bata, mie nae wivu tu mbwa mie , ila shoga usije kujisahau tu ukala bata ukafikir pesa za baba ako hizo, we acha ku invest kwa mtoto wako ujifanye unampenda sana annerlisa , sio mama yako yule , utalia mpaka uchanganyikiwe.

Sasa na nyie akina sheta na harmonize , kabisa mkafikiri annerlisa anaweza kuwakubalia nyie over Ben Paul ? We shetta ulivyokua mfupi kama jeneza na mimacho kama joyce wowowo mxieew, na wewe harmonize msura umekukomaa kama mawe ya mwanza kwa akili zako kabisa ulifikir utaweza mtoa benpaul kwa annerlsa? .

Benpaul handsome bwana , kakamilika kila idara, Ana mvuto, mrefu yan pale shoga angu kapata kwa kweli , na nasikia ben kafungashia balaa, shughuli yake kiboko, yan kusemezana tu ukweli , benpaul kifaa bwana , hata mimi ningekua na pesa za kuchezea ningemfuga kwan sh ngap? Maisha yenyewe mafupi

We endelea kula bata , wanazengo tunakusubir tu hapa uachike uanze kupokea kichamboView attachment 1140966View attachment 1140968
Mkuu karibu jukwaa la siasa
 
Sio kama napenda mteremko mkuu, nimejaribu kuvaa viatu vya machalii wa town tu. Ni mwamba mwenye njaro zangu ila huwa nawadiss mamanz njaa kali pia.
Exodus ni mikato tu!
 
The b.tch in this case calls the shots, and she's had a bunch of ex bfs already. That being said, Ben Pol shouldn't get too comfy and greedy. At any rate, this relationship won't last long.
 
Huyu nae mxieew toka uolewe huko Kenya hatupumui, yan janaume zima linajishaua na pesa za wanawake, yan katika wasanii niliokua nawaona na gentleman ni Ben Paul , kumbe na yeye nae Ndo wale wale , mxieew kupenda mteremko tu , mwenzenu Diamond yuko busy kufanya Kazi nyie mko busy kudanga na wanawake, yan tunajua apo sauti huna shoga angu , unaperekeshwa tu kama punda Kisa pesa , na siku ngoja uachwe tutakavyokuchamba mbwa wewe, we Ngoja tu your days are numbered .

Ila wanazengo huyo annerlisa yuko vizur bwana , kwao wana pesa chafu, unaambiwa anamiliki mansion huko Maeneo ya runda jijini Nairobi Ana investment kama zote, huyu sio bosslady wa insta kama akina Tunda na lulu , yan inshort bibie pesa kwake c Tatizo, Tatizo tu mwanaume wa kumtumia( sex worker) , yan apo yupo na Ben Paul Coz hajapata mbadala wake kwa sasa , na vile wanaume wa Kenya hawapendag ujinga na kwanza hawapo romantic , wengi ni matapeli, so bibie kapata zoba from Tz atamtumia wee akimchoka anamuacha, hat wafunge ndoa mbinguni bibie siku yakimfika hapa anamuacha kaka yetu kweupe, wanawake wakikenya hawapendag ujinga kabisa.

Ila shoga angu Ben nae kaangukia bwana , maisha yenyewe mafupi, wacha tu ale bata, mie nae wivu tu mbwa mie , ila shoga usije kujisahau tu ukala bata ukafikir pesa za baba ako hizo, we acha ku invest kwa mtoto wako ujifanye unampenda sana annerlisa , sio mama yako yule , utalia mpaka uchanganyikiwe.

Sasa na nyie akina sheta na harmonize , kabisa mkafikiri annerlisa anaweza kuwakubalia nyie over Ben Paul ? We shetta ulivyokua mfupi kama jeneza na mimacho kama joyce wowowo mxieew, na wewe harmonize msura umekukomaa kama mawe ya mwanza kwa akili zako kabisa ulifikir utaweza mtoa benpaul kwa annerlsa? .

Benpaul handsome bwana , kakamilika kila idara, Ana mvuto, mrefu yan pale shoga angu kapata kwa kweli , na nasikia ben kafungashia balaa, shughuli yake kiboko, yan kusemezana tu ukweli , benpaul kifaa bwana , hata mimi ningekua na pesa za kuchezea ningemfuga kwan sh ngap? Maisha yenyewe mafupi

We endelea kula bata , wanazengo tunakusubir tu hapa uachike uanze kupokea kichamboView attachment 1140966View attachment 1140968
Bibie na wewe katafute danga lako likupetipet acha danga la watu mwenzako kadata na jang'ombe la dar wewe nani kadata na yako??
Unaambiwa mjini kucheza kwa stepu kukanyagana ndio soo .
Diamond afanye kazi ipi?? Kila mtu yupo sawa na ben paul ila kisa haitusaidii basi naangalia kwa macho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom