Shepherd
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 2,417
- 1,645
Hivi Ebitoke ni kweli au walikuwa wanaigiza?Alijisemea mzee wa upako, "Ukipata nafasi hakikisha unaitumia vizuri,,,vinginevyo ukifa maskini we ni fala tu!"..."Eeh kufa maskini ni ufala tu!"
Sasa Benpol toka kwa Ebitoke mpaka level za Beyonce unafanya masihara nini😅😅😅 wabongo ni wivu tu!!!....Vijana wengi wanaitamani hio nafasi hasa awamu hii ya vyuma kukaza kwahio majungu yasiwe mengi wengine wamejiongeza D.M huko na mmesikia.
Hakuna raha kama kuwa na mwanamke romantic anaejiweza haswaa!😆😆😆 ila Sie tupambane na mizinga kwanza ya tuma na ya kutolea.