georgemageke
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 325
- 46
uwanja wa kaunda
View attachment 151211
Wafuge kambale sasa...
uwanja wa kaunda
View attachment 151211
Duh! Hayo magari mpaka yanatumbukia madereva hawakuona vionyeshi hatarishi? Au ndio mambo ya ngoja niwahi kabla hapajameguka?
hiyo picha ya dereva juu ya mti sio Dar mkuu.
Tokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbali mbali ya Dar es Salaam, zimepelekea uharibufu wa barabara na mazingira.
Haya ni maeneo ya jiji la Dar es Salaam yaliyoathirika na mvua inayoendelea kunyesha na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wakazi hasa wanaoishi bondeni au kwenye mkondo wa maji mfano mito.
Aprili 12, 2014
Naona Blogu njaa ziko kazini.Picha za kitambo zinatumika.
Mwulize Mbowe ruzuku kapeleka wapi, watu wanavua magwanda!
\
unapojenga nyumba na kufanya specification ya sitting room , dinning room and bedding room this is your plan kama baba mwenye nyumba
hii inapaswa kutumika kwa viongozi wetu pia (city planner)
- shule wapi
- makazi ya watu wapi(high and low density)
- industrial area wapi
- market wapi
- play grounds wapi
- kanisa wapi na misikiti wapi
yote hapo juu yanatakiwa kuwa specified by the government through their city planners, Rafiki yangu mwenye uelewa wa mashaka kama kiwanja kinauzwa na mabalozi wa nyumba kumi kwanini kusiwe na shida
Majanga!
Picha tumeona nini kifanyike sasa???????
Nikweli mkuu
Lakini hiivi ni kwanini kila mwaka ni mafuriko tu?
Mungu kama ananisikia ningeomba inyeshe mvua ambayo itasababisha mikoa muhimu yote nchini kuzama kabisa na asipatikane hata mtu mmoja ili angalau tujulikane vile ambavyo hatuna maana kwenye vichwa vyetu
Utadhani hatuna serikali!
Hivi walitangaza hii kabla?
Basi tahadhari ni mhimu kuchukuliwa sana
sasa babangu, ndo hapo nauliza town planners wanafanza nini nji hii? kama woote town planners na wataalamu wenzao wanaenda kupima kiwanja (ambacho ni ghali, tunamuongelea anaeishi jangwani mostly kwa sababu ndio kuna nyumba affordable na pengine anakwepa nauli ya kwenda kazini pia kupunguza gharama za maisha. huyu mostly ni mfanyakazi kibarua asie na ajira ya kudumu, na waziri wake kaidhinisha mshahara wa tzs 80,000/= kwa mwezi na halazimiki kumlipia bima ya afya). unaendaje kupima kiwanja mahali penye mkondo wa maji? :A S 13:
na bado tusiilaumu serikali? seriously, wanaoishi mabondeni unadhani hawangependa kuishi mbezi beach ama masaki? watu hawana choice kama unavyodhani kakangu.
Hahahahaha,
Mkuu umenichekesha sana, kwa hiyo sasa mtu unachagua pakavu au sio?