MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,889
- 6,638
Namba 6 ni ukuta buana
Mkuu kwanza Asante kwa kutuwekea picha pamoja, hata hivyo picha zako ni kubwa kuliko Maelezo ulotoa.
Mfano picha no. 1
Huyo mtoto aliuwawa na huyo Tai anayeonekana kwa nyuma, Japo picha hii ilimpa Tuzo na heshima kubwa Kelvin Carter duniani kote, lakini baada ya siku kadhaa alijiua, na ni baada ya taarifa kutoka kuwa baada ya yeye kupiga hiyo picha na kuondoka, yule Tai alimuuwa yule mtoto, ilhari angeweza kumbeba na kumpeleka mtoto yule kwenye kambi ambayo ilikua umbali wa 1 km toka eneo la tukio!
Picha no. 5
Hii ni moja ya Picha iliyonivutia zaidi, Haihusiani na urafiki hapo, na hata lengo la mpiga picha sio Hilo, picha inawaonyesha watoto wa rika moja, wawili wanaoenda mbele wamevaa sare za shule means ama wametoka shule ama wanaenda, hawa wengine wanatafuta vitu vya kuokota barabarani (Chokoraa), hapa ndo msingi wa maisha unapojengwa....!
Nimekusoma Mkuu! Inaumiza sana hata uwezo wa kufikiria haya yote unapoteaUsimtakie mabaya mwenzako ndugu yangu, tumuombe mungu ili watu wabadilike Na wawe Na roho nzuri. Huyu mtu leo hii katuonyesha ukweli na hali halisi ilivyo kwenye vita, asingipiga hiyo picha leo hii tusingijua madhara kama hayo kwenye vita. Na lingine hawa wapuga
Ha! ha! ha! mkuu nilipata nikiwa darasa la 7 B.mtihani wa kiswahili ulipata A?
Labda alimaanisha morogoroMologolo ni wapi huko?
Mmmh duniani kuna mambo1.Picha hii ilichukuliwa mwaka 1993 Sudan kipindi cha mapigano huko Darfur hali iliyopelekea njaa Kali maeneo ya Darfur .Aliyechukua picha hii ni Kevin Carter raia wa Africa kusini na April 1994 Kevin Carter alipokea tuzo ya Pulitzer ambayo hutolewa USA kila mwaka kwa waandishi,wapiga picha bora,baada kumpiga picha mtoto Huyo aliyekuwa anaviziwa na Tai.Mara Baada ya kuchukua picha hiyo Kevin alimfukuza ndege huyo na hakutaka kumgusa mtoto huyo "alimwacha hapo alipo na kuondoka" kwa kuhofia ataweza kuambukizwa magonjwa endapo mtoto huyo angekuwa mgonjwa..Bado haijajulikana kama Tai yule alimrudia yule mtoto na kumla au laa
2.Picha hii ilichukuliwa mwaka 2006 ikimuonyesha kijana mdogo wa kike akipambana na wana usalama, "one against many", akipinga unyanganyi wa ardhi yao iliyokuwa irudishwe serikalini
3.Picha hii ilichukuliwa nchini Liberia kipindi cha mapigano ya wenyewe kwa wenyewe.Mji wa Monrovia ulijaa risasi ,kijana huyo akitembea kwenye barabara iliyojaa risasi
4.picha hii ilichukuliwa mwaka 2012 kipindi rais wa china alipotembelea india na muandamanaji huyu wa Tibet alijichoma moto na kukimbia huku akipiga kelele kama ishara ya kupinga mateso ya wa Tibet wanaoyapata huko China lakini polisi wa India walifika mapema na kuzuia maandamano hayo.kijana huyu alimwagiwa maji na kupigwa na nguo na moto ulizimika lakini alifariki
5.Picha ya watoto wakitembea pamoja na majunia yao wakielekea kwenye mahangaiko huku wakipishana na watoto wenzao wawili wakienda shule
6.picha hii ilichukuliwa kipindi cha maandamano huko Burkinabe .Huyo kwenye picha ni mhadhiri wa chuo akipambana na baadhi ya wana usalama
7.Picha hii ilipigwa maeneo ya morogoro ,picha inaonyesha wananchi wakimpiga picha majeruhi aliyekuwa anahitaji msaada
Aibu kupita maelezo!dah hiyo ya mwisho ni aibu
acha ulimbukeni wa kishamba, wanaotumia tecno y3 umewazidi kitu gani? au una uwezo wakuwanunulia hizo I phones?Picha ya Saba inaonesha side effects za tecno y 3
Mbona povuu limekutoka kiasi hicho, nakupuuzaacha ulimbukeni wa kishamba, wanaotumia tecno y3 umewazidi kitu gani? au una uwezo wakuwanunulia hizo I phones?
Huna akili, jitathimini tenaMbona povuu limekutoka kiasi hicho, nakupuuza
Akili unayo wewe usiehoji wala kukosoa kwa utaratibu, jitathmin kwanza weweHuna akili, jitathimini tena