BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,989
- 32,647
Asante kwa picha zinahuzunisha sana namba moja inaumiza mno kwakuwa mtoto aliuawa na hakika angeweza okolewa na huyo mama namba sana ameangusha sana wakina mama kwani angewza fanya kitu cha upendo na huruma kwa majeruhi tujifunze kutoa msaada kwa wahitaji ,hawa watoto wanaookota okota na hao wanaoenda au kutoka shule hii ndio hai halisi inayoendelea katika maisha inaumiza sana hata hapa Tanzania hiyo hali ipo asubuhi unaiona unajiuliza hata hujui ufanye nini Mungu aingilie kati kwakweli...hizi picha za nyingeza....huyu mtoto yatima katikati ya makaburi ameniliza saba hakika hali ni mbaya sana ukipoteza wazazi ....