MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,564
- 849
Kwahiyo unataka kuniambia ufisadi wa CCM Umeanza mwaka 2000 , Hebu kuwa mkweli. Mengi ni benefiery wa Pesa za EPA , Kupitia ITV, Mengi wakati wa uchaguzi wa 2000 hakutufanyia haki watanzania kwasababu alitumia vyombo vyake vya habari kuifanyia PR CCM iliyosababisha kutuchagulia viongozi wachovu, Na mpaka sasa Mengi hayuko intrested na Vita ya Ufisadi bali yuko intrested na Recovery of his Business and influence power.
Kumbuka kwamba Mengi hajasema CCM Mafisadi ninataka atamke hivyo ili nijue kama yuko serious kwenye hiyo vita ya mafisadi. He cant say that ITV imepoteza market share sana baada ya TBC2 Kuanzishwa hivyo he is doing for hi own intrest.
Vita vya mafisadi pure vinapiganwa na wachache e.g DR Mwakyembe
Akisema hivi ni kosa unless ana ushahidi. Kusema CCM mafisadi ni sawa na kusema CCM wote mafisadi. Sasa kila mwanaCCM akimshitaki na kuomba atoe ushahidi wa ufisadi wao? Umezidi ku generalise mambo. Kwa hiyo basi Tanzania kuna mafisadi na watu wa nje waseme watanzania wote mafisadi? Hauwezi kugeneralize watu wengi kutokana na wachache. Mengi kataja alio na ushahidi nao na wengine wenye ushahidi mwingine na waji tokeze. Mambo yanaenda kwa sheria ndiyo maana Mengi haja lopoka. Alijua anao wataja ni wakina nani, kwanini na kwa ushahidi upi. Sitetei CCM ila kusema CCM ni mafisadi ni sawa na kusema kila mwana CCM ni fisadi which is not true. You can not pass judgment on many on the basis of a few. Mwenzio kataja alio na ushahidi nao kama na wewe una ushahidi wako you can call a press conference na wewe useme fulani ni mafisadi na wakina fulani ni wakabila. You can't force Mengi to say what you want him to say.
naogopa kabisa kufikiria hoja ya kikabila.. kwa sababu in that case watu wa magharibi watashinda hands down! Hapana.. hii ni kati ya watu wanaoamini kuwa utajiri wa nchi ni wa kwao peke yao na wale ambao wanataka tugawane utajiri huo.
Hivyo Vodacom naamini ni mahali kama pa recruitment.. haiwezekani:
Dr. Idris
Ngeleja
Noni
Rostam
n.k something is very wrong.. kama RA ameweza kukuamini kwenye Vodacom.. you have passed the test
Mostly pesa nyingi zilizoibiwa Through EPA they were for collective purpose which was to elect CCM, Therefore when I say CCM ni mafisadi sijakosea.
Leo Hii the government cant regualte the Oil prices because wakati wa Uchaguzi magari ya CCM yalikuwa yanapita kwenye sheli za Oil com na kumiminiwa mafuta Bure.
Ukiangalia UpandE mwingine watu Kama kina NJAKE wameingizwa kwenye EPA kutokana na CCM kuchukua mafuta Bure kule maeneo ya Moshi, Arusha, Mara, therfore njia ya kumlipa Njake ambaye alikuwa mfanyabiashara mzuri tu kabla hajaingia mkenge wa CCM Ilikuwa ni EPA.
Mengi alikuwa ni secndary benefiary wa EPA through ITV , Nivipindi vingapi ITV na Radio one ilivifanya wakati wa Uchaguzi na ndio maana hawezi kuiita CCM mafisadi kwasababu he is fighting for his postioning and not for Watanzania, based on the facts Watanzania wote tunafahamu vyombo vya habari vya mengi vilikuwa bias tu CCM
RA kamavictim wengine wa EPAalikuwa just a facilitator but the bottomline is the CCM Election Finance ndio chanzo cha ufisadi wote.
Therefore its ingenuine to claim kwamba just certain people are Fisadi, the Fact ni kwmaba CCM should be held accountable
Katika Uchunguzi wangu wa Kina, nimegundua kuwa Tatizo sio Vodacom Hapa, Tatizo ni UKABILA NA UKANDA ndio unatusumbua kwa sasa.
Wachaga walikuwa very influencial katika siasa za Tanzania, but they lost that status as the time was passing on. Ukiangalia utawala wa Mkapa uliwanufaisha sana wachaga, which has lost in Kikwete leadership. On other hand kwa Kuangalia political Map Rostam Aziz ni influential kwasababu alikuwa na good ties with the lake zone which politically always is a very big decider of Tanzania politics.
Ndio maana ukianza kutaja majina yote ya watu ambao wako associated na Rostam Aziz na VodaCom wote wanatoka kanda ya ziwa, mpaka unakuta hata Lipumba hawezi kuongea against RA
Rostam Aziz ni mnyamwezi, ukiangalia Tabora, Mwanza na Shinyanga mpaka Musoma ukweli ni kwamba kuna waarabu wengi sana ambao ni wafanyabiashara maarufu katika maeneo yao and they have helped those communities for many years.
Why Rostam Aziz ana kiburi? Rostam had legitimate business for so long and if you look back at Mirambo Holdings is one of very reputable investment company in Tanzania for so long.
Kilichoenda kombo ni kwamba Rostam alikuwa ni njia tu ya ku-justify uchotaji wa fedha za CCM ,
why KIKWETE YUKO KIMYA?
Since he drugged RA in this shit hawezi kumsaliti, COST ya yeye kumsaliti is equal to the lose of political map. RA anafahamika Mwanza, Shinyanga, Tabora na Musoma and he is very influential there, calculation ni kura za NEC Mzee, na kanda ya ziwa ndio imempa JK ushindi.
MENGI
Tatizo la Mengi ni kwamba he have been a big fish for so long, akiangalia mwelekeo wa biashara na political influence ilivyopotea kwa wachaga anaogopa. But he has legitimate claims panapoharibika ni kwamba waarabu wengi wenye ugomvi na Mengi ni kutoka kanda ya ziwa, wanajiita wasukuma. So Mengi is in battle to retain his powership/chaga but at the same time anasidia kupambana na ufisadi
Mwisho tulipofika sasa:-
- JK Anaangalia his political future.
- Wasukuma wameshikilia justice department
- Wasukuma,wanyamwezi hawawezi kumwachia RA afe maji
- JK hawezi kuwatosa wasukuma
- Wachaga, they see it is the time for them to gain their political influence
- Wasukuma wanawafunga mafisadi wachaga
NGOMA NZITO MZEE MWANAKIJIJI
Hivi vita si vya kikabila japo hautakiwi kuondolewa kabisa maana factors huwa ni nyingi kubwa na ndogo, hii inaweza kuwa ndogo. (Kwani mfano Tanroads pale jamaa walitimua wahaya wote waliokuwa position za juu na kuweka wengine)
Jamaa kafanya analysis yake kuwa kuna ukabila somehow is not coincidence kila kitu au kila anayahusika awe wa sehemu zilizotajwa. Its more than that.
Vodacom nafikiri ilitokea kuwa mwanamtandao mmoja aliingia pale au alikuwemo wakati inaanzishwa then wakarecruit wengine kwenye process. Maana ukiangalia vodacom wakati inaanza kulikuwa hakuna zengwe ila limeaanza baada ya waroho (mafisi hadi) kuingia. Hivyo utakuta mtu kama RA yeye anatengeneza channel na ana muasign mtu say ngereja back then akifanikiwa anapewa cha juu (Ngereja alipewa Ubunge).
Hivyo ni kuwa wanatengeneza watu wengine kwenye process na wengine wanawekwa sehemu purposely kwa shughuli fulani. So i dont think ile ni sehemu ya recruitment otherwise kuwe na maana nyingine ili tuwekane sawa.
Mkuu ni kweli VODACOM ni recruiting place si unaona waliojaa huko ni watoto wa wakubwa wa ccm kina mwamvita makamba & co
[/SIZE][/COLOR]
Nakubaliana na wewe CCM should be held accountable. Ninacho sema ni kwamba the way you said it ni sawa na kusema kila mwana CCM ni fisadi hence nikasema ume generalize. Lakini kama CCM should be held accountable for the sins of the few mafisadis within it basi blame also the Tanzanian electorate which put them into power. So if I was to blame the Tanzanian electorate basi pia niwa include na wale ambao hawaku ipigia kura CCM? I hope you get the point.
Siku zote Uongozi wa Chama na Uongozi wa Nchi yoyote Duniani say Volume about them. Hivyo Uongozi wa Juu wa CCM Uko responsible, na unapoongelea Uongozi wa juu wa Chama au nchi maana yake unaongelea hiyo nchi. Ukiangalia katika election sytem ya CCM ina encourage Rushwa sana , kuanzia ngazi ya shina, kwahiyo CCM inatakiwa isafishe Chama kuanzia ngazi ya Shina ,kata, wilaya mpka Taifa.
Nimeshashuhudia chaguzi nyingi za madiwani, Bila pesa hushindi, the whole election system ya CCM need a big reforms which is anti garft . We have alot of Young people who want to be good public servant but they cant make it in the system hawana pesa. therefore they adopt mazingira ya Rushwa.
Kwahiyo kazi ipo, na ninaposema CCM sina maana ya kukipinga chama but how it run and the cultures inayolizunguka is very sickning.
Peter Noni na Rostam ni wabia wa biashara (Vodacom). Peter Noni ni shahidi wa serikali katika kesi za EPA zinazoendelea. Alikuwa ni bosi wa kina Imani Mwakosya, Esther Komu na Bosco Kimola. Katika ushahidi wake mwanzoni mwa mwaka huu aliiambia mahakama kuwa malipo ya EPA yalifanyika kwa idhini na ujuzi wa moja kwa moja wa Gav. Ballali. Alishuhudia mwenyewe kuwa taarifa zilitoka kwa Gavana kuja kwake, na baadaye kwenda kwa kina Imani.
Niliandika kwenye kijarida cha Cheche wakati nazungumzia mafisadi (mwishoni mwa mwaka jana) kuwa Peter anatakiwa kuwa miongoni mwa watuhumiwa wa wizi huu lakini nilielewa kwanini asingeweza kusimamishwa kizimbani - kwa sababu ni mtu mmoja ambaye anajua connection ya Rostam.
Mfanyakazi wa BOT ambaye ana uwezo na fedha ya kuanzisha kampuni ya Planetel (ningependa kweli kujua kampuni hii ilianzishwa lini na wana hisa wake!) na kuwa na hisa kubwa tu kule Vodacom ambazo walikuwa waziuze (sijui kama tayari wameziuza) kwa kampuni ya Mirambo inayomilikiwa na Rostam!
Mpango huo ulifanikiwa kwa ushirikiano mkubwa na usaidizi wa aliyekuwa Waziri wa Miundombinu Bw. Andrew Chenge.
Well.. je waridi likiwa na rangi nyingine laweza kuwa si waridi?
LeoKweli,
..kusema kweli unatuchanganya na hizi habari za ukabila.
..magazeti ya Mengi yamekuwa yakiandika sana kuhusu ufisadi wa Mkapa.
..sasa kama Mkapa aliwalinda Wachaga kwanini leo hii Mengi anamuandama kiasi hicho? tena hujaona juzi jinsi Mengi alivyojaribu kumsafisha Kikwete ambaye unadai anakandamiza Wachaga?
..umesahahu mgogoro kati ya Mengi na Mramba, baada ya Mramba kuteuliwa waziri wa fedha? sasa kwanini wagombane wakati machoni mwa wa-Tanzania wote ni "wachaga?"
..halafu Kikwete amewapendelea Wasukuma/kanda ya ziwa ktk jambo gani haswa? amewafanyia kitu gani which is so special tofauti na Maraisi wengine kama Mkapa na Mwinyi?
..Waziri Mkuu, waziri wa Fedha, waziri wa ulinzi, waziri wa mambo ya nje, wakuu wa taasisi nyeti kama Usalama wa Taifa,TRA,BOT,Mahakama Kuu,Jeshi,Polisi,Magereza, etc wote siyo wenyeji wa kanda ya ziwa. huo upendeleo waliopatiwa wananchi wa kanda ya ziwa uko wapi?
i beg to differ...unaleta zaidi ukabila katika kuelezea suala hili..Katika Uchunguzi wangu wa Kina, nimegundua kuwa Tatizo sio Vodacom Hapa, Tatizo ni UKABILA NA UKANDA ndio unatusumbua kwa sasa.
Wachaga walikuwa very influencial katika siasa za Tanzania, but they lost that status as the time was passing on. Ukiangalia utawala wa Mkapa uliwanufaisha sana wachaga, which has lost in Kikwete leadership. On other hand kwa Kuangalia political Map Rostam Aziz ni influential kwasababu alikuwa na good ties with the lake zone which politically always is a very big decider of Tanzania politics.
Ndio maana ukianza kutaja majina yote ya watu ambao wako associated na Rostam Aziz na VodaCom wote wanatoka kanda ya ziwa, mpaka unakuta hata Lipumba hawezi kuongea against RA
Rostam Aziz ni mnyamwezi, ukiangalia Tabora, Mwanza na Shinyanga mpaka Musoma ukweli ni kwamba kuna waarabu wengi sana ambao ni wafanyabiashara maarufu katika maeneo yao and they have helped those communities for many years.
Why Rostam Aziz ana kiburi? Rostam had legitimate business for so long and if you look back at Mirambo Holdings is one of very reputable investment company in Tanzania for so long.
Kilichoenda kombo ni kwamba Rostam alikuwa ni njia tu ya ku-justify uchotaji wa fedha za CCM ,
why KIKWETE YUKO KIMYA?
Since he drugged RA in this shit hawezi kumsaliti, COST ya yeye kumsaliti is equal to the lose of political map. RA anafahamika Mwanza, Shinyanga, Tabora na Musoma and he is very influential there, calculation ni kura za NEC Mzee, na kanda ya ziwa ndio imempa JK ushindi.
MENGI
Tatizo la Mengi ni kwamba he have been a big fish for so long, akiangalia mwelekeo wa biashara na political influence ilivyopotea kwa wachaga anaogopa. But he has legitimate claims panapoharibika ni kwamba waarabu wengi wenye ugomvi na Mengi ni kutoka kanda ya ziwa, wanajiita wasukuma. So Mengi is in battle to retain his powership/chaga but at the same time anasidia kupambana na ufisadi
Mwisho tulipofika sasa:-
- JK Anaangalia his political future.
- Wasukuma wameshikilia justice department
- Wasukuma,wanyamwezi hawawezi kumwachia RA afe maji
- JK hawezi kuwatosa wasukuma
- Wachaga, they see it is the time for them to gain their political influence
- Wasukuma wanawafunga mafisadi wachaga
NGOMA NZITO MZEE MWANAKIJIJI
LeoKweli said:Ninapoongelea Regional politics they are not neccesary there kuwanufaisha watu wanotoka kanda hiyo. But what I was saying ni kwmba wafanyabiashara wa kanda ya ziwa wamekuwa more closer to the president than usual businessman kutoka kilimanjaro.
Ukiangalia hao wote kina,Chenge, Rostam, Somaiya, Masha,diaro,Rukawe, ngeleja, Noni,sita n.k wanatoka kanda ya ziwa na walikuwa very influencial on the dynamics the politics ya kanda ya ziwa. by which it didnt sit well with other mafisadi kutoka kanda ya kilimanjaro , ndio maana nikaita it is a mixed bag.
LeoKweli,
..huwezi kushinda Uraisi wa Tanzania kwa kutegemea kura za watu wa Kilimanjaro. they just dont make up the numbers.
..kanda ya ziwa ina watu wengi kushinda maeneo mengine ya Tanzania. sasa Kikwete/mtandao kuwa na harakati zaidi ktk kanda ya ziwa ni jambo linaloeleweka kisiasa.
..sasa kama unadai regional politics kama ulivyoziongelea hapa hazimaanishi kwamba zinanufaisha wananchi walio wengi wa regional husika. je kulikuwa na haja gani kuwahusisha wafanyabiashara hao ni maeneo walikotoka? kwanini usiwataje mmoja mmoja tu?
..mimi nadhani huu utaratibu wa kuwaangalia watu kwa makabila yao siyo mzuri sana. hao wafanyabiashara maarufu toka kanda ya ziwa au kilimanjaro make up what percent ya wananchi wa maeneo hayo?