Peter Noni na Rostam - The EPA Connection

Hayo mambo ya ukabila power etal.. ni spin, tena msitake kutuvuruga na kutupandikiza fitina ili tuache kushikama kuyaangusha mafisadi!


Hapo swala ni wezi wachache kuiba hela zetu na kutumia hizo pesa kuiweka serikali madarakni,na kibaya zaidi kuipangia uongozi hivyo kuifanya serikali nzima vibaraka wao kwani hawawezi kuwagusa kwa vile ndo wali waweka!

Hizo propaganda zenu ni za kubuni kuhisi na your wishful thinking!

turudi vitani wakuu, hakuna cha kabila la kijani wala blue, hapa ni mafisadi wote kurudisha kilicho chetu period!
 
Rwabugiri, si kwamba vita vya ufisadi havina maana. nalo ni jambo ambalo ukiluckulia peke yake lina maana kubwa ikiwezekana hata zaidi ya hiyo vita ya ukabila ambayo imetupeleka kwenye vita vya ufisadi. wasicghofahamu watu wengi ni hiyo connection ya vita vya ufisadi na kugombea power.
Hivyo, ni vma vita vya ufisadi viendelee kupiganwa lakini kuwa makini vinapiganwa kwa malengo gani kwa sababu si kila anayepambana na ufisadi anapambana kwa lengo ya kuuondoa ufisadi pekee
 
Ama kweli Mwl alikuwa mtabiri! kuwa dhambi ya ubaguzi haiishi, kuwa ukianza ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu! RM kaanza na wahindi then wengine mnakuja na usukuma na uchaga? what the nosense!
 
Katika Uchunguzi wangu wa Kina, nimegundua kuwa Tatizo sio Vodacom Hapa, Tatizo ni UKABILA NA UKANDA ndio unatusumbua kwa sasa.

Wachaga walikuwa very influencial katika siasa za Tanzania, but they lost that status as the time was passing on. Ukiangalia utawala wa Mkapa uliwanufaisha sana wachaga, which has lost in Kikwete leadership. On other hand kwa Kuangalia political Map Rostam Aziz ni influential kwasababu alikuwa na good ties with the lake zone which politically always is a very big decider of Tanzania politics.

utawala wa mkapa uliwanufaisha watu walio karibu na mkapa ie mramba, yona,mgonja, RA, manji na sio wachaga kama unavyosema wewe.
Mtu kama mengi unaemuongelea alitajirika sana kipindi cha mwinyi na wafanya biashara wengi wa kichaga walitajirika kipindi cha mwinyi kwa ajili ulikuwa ni uhuru kwa kila mtu
Lakini wakati wa mkapa mpaka umuone yeye na hao wakina mengi wote unaowaongelea wewe wamenyanyaswa sana na mkapa
hata kuna jamaa mmoja wa arusha (anaitwa Mrema) alitaka kununua 77 hotel na jamaa record yake katika biashara za hoteli ni nzuri, alilipa deposit na kila kitu mkapa akampa swahiba wa manji jamaa wa kempiski
kama angekuwa amewapendelea wachaga si Mrema angepata hiyo hoteli kihalali matokeo yake sasa hivi serikali inamplifa fidia ya hoteli nyingine.

wachaga wanapata hela sio kwa ajili ya ubaguzi bali ni washindani na mfano nenda moshi uwezi kukuta waindi wanafanya biashara kama mikoa mingine kwa ajili wao wachaga wameamka, hata ukienda arusha utakutana na wafanya biashara wengi wa kichaga

rostam sio kama ameiweka mfukoni kanda ya ziwa bali amewaweka mfukoni viongozi wachache muhimu, na huu sio ukabila

na lazima uwelewe kama mkwere ajasema wakina mramba watolewe kafara basi hosea hawezi kuanzisha, wala dpp pia hawezi. Ni mkwere ndio anachagua nani wa kumtoa kafara ili kupata public support lakini siona hata mmoja wao kama atafungwa. Mramba anajua madhambi ya watu wengi sana kutokana position yake aliyokuwa nayo kwa hiyo kumfunga ni sawa sawa nakuvujisha siri nyingi
 
naogopa kabisa kufikiria hoja ya kikabila.. kwa sababu in that case watu wa magharibi watashinda hands down! Hapana.. hii ni kati ya watu wanaoamini kuwa utajiri wa nchi ni wa kwao peke yao na wale ambao wanataka tugawane utajiri huo.

Hivyo Vodacom naamini ni mahali kama pa recruitment.. haiwezekani:

Dr. Idris
Ngeleja
Noni
Rostam
n.k something is very wrong.. kama RA ameweza kukuamini kwenye Vodacom.. you have passed the test

Hivi vita si vya kikabila japo hautakiwi kuondolewa kabisa maana factors huwa ni nyingi kubwa na ndogo, hii inaweza kuwa ndogo. (Kwani mfano Tanroads pale jamaa walitimua wahaya wote waliokuwa position za juu na kuweka wengine)

Jamaa kafanya analysis yake kuwa kuna ukabila somehow is not coincidence kila kitu au kila anayahusika awe wa sehemu zilizotajwa. Its more than that.

Vodacom nafikiri ilitokea kuwa mwanamtandao mmoja aliingia pale au alikuwemo wakati inaanzishwa then wakarecruit wengine kwenye process. Maana ukiangalia vodacom wakati inaanza kulikuwa hakuna zengwe ila limeaanza baada ya waroho (mafisi hadi) kuingia. Hivyo utakuta mtu kama RA yeye anatengeneza channel na ana muasign mtu say ngereja back then akifanikiwa anapewa cha juu (Ngereja alipewa Ubunge).

Hivyo ni kuwa wanatengeneza watu wengine kwenye process na wengine wanawekwa sehemu purposely kwa shughuli fulani. So i dont think ile ni sehemu ya recruitment otherwise kuwe na maana nyingine ili tuwekane sawa.
 
Hayo mambo ya ukabila power etal.. ni spin, tena msitake kutuvuruga na kutupandikiza fitina ili tuache kushikama kuyaangusha mafisadi!


Hapo swala ni wezi wachache kuiba hela zetu na kutumia hizo pesa kuiweka serikali madarakni,na kibaya zaidi kuipangia uongozi hivyo kuifanya serikali nzima vibaraka wao kwani hawawezi kuwagusa kwa vile ndo wali waweka!

Hizo propaganda zenu ni za kubuni kuhisi na your wishful thinking!

turudi vitani wakuu, hakuna cha kabila la kijani wala blue, hapa ni mafisadi wote kurudisha kilicho chetu period!

Rwebugiri usemacho ni kweli lakini usidharau haya mambo inatakiwa ukipigana vita lazima uangalie silaha zote za adui ili uweze kumteketeza vizuri.

Suala la ukabila ni dogo kwenye hii issue lakini haitakiwi liachwe lazima nalo liangaliwe ili kama linachangia nalo lifanyiwe kazi.
 
Rwabugiri, si kwamba vita vya ufisadi havina maana. nalo ni jambo ambalo ukiluckulia peke yake lina maana kubwa ikiwezekana hata zaidi ya hiyo vita ya ukabila ambayo imetupeleka kwenye vita vya ufisadi. wasicghofahamu watu wengi ni hiyo connection ya vita vya ufisadi na kugombea power.
Hivyo, ni vma vita vya ufisadi viendelee kupiganwa lakini kuwa makini vinapiganwa kwa malengo gani kwa sababu si kila anayepambana na ufisadi anapambana kwa lengo ya kuuondoa ufisadi pekee


Mpita njia tafadhali ndugu yangu we pita tu na njia yako, usitake kutuaminisha kitu ambacho hakipo! Hakuna kitu cha namna hiyo, kinachowaunga mafisadi ni ufisadi wao, mtandao wao wa kulindana/kubebana na kugawiana kilicho chetu wote.
Hata sikumoja si kabila mkuu, ingekuwa ukabila, mbona watu ambao wanatokea hao mafisadi wako choka mbaya?

Rudi uwanjani mkuu Hapa ni kuwaangusha wanao tafuna nchi yetu bila kujali unene, kimo, rangi, lugha, kabila,umri, cheo wala elimu Asante wakuu
 
LeoKweli na Limbani msitupotoshe!

Hapa tunazungumzia vita dhidi ya ufisadi. It is a war between PATRIOTIC TANZANIANS against BOISTEROUS CORRUPT PEOPLE.

Hata humu jamvini ukifuatilia utaona kabisa kuna pande mbili. Wapo watetezi wa mafisadi ambao wanatoa hoja za kuharibu michomo dhidi ya mafisadi. Na wapo ambao wanajadili ufisadi kwa uchungu mkubwa wakinuia kuuondoa kabisa ili kuinusuru nchi na watu wake.

Hapa jamvini tuwatendee haki watanzania kwa kujadili kile ambacho kitaokoa uhai wa watanzania, kuyaboresha maisha yao na kuondoa umasikini unaowakabili.

Nchi hii ni tajiri sana. Lakini kutokana na tamaa ya baadhi ya watu ambao wana nafasi kubwa serikalini, wameamua kuuweka mfumo in such a way that watakula wao na marafiki zao na kuwaacha watanzania hoi kwa dhiki.

Huu ni unyama, upumbavu, uroho na ushetani ambao lazima tujenge utamaduni wa kuukemea bila soni hata moja usoni. Wanaotaka kuungana nami katika hili wajitokeze bila hofu.

Naipenda Tanzania
Nawapenda watanzania

Sijasema ukabila ni tatizo but what I was insisting is that Regional Politics is playing a very big role in this war against Ufisadi.

Hii ishu ya Mengi na RA is a mixed bag. We need to separate uchafu uliomo ili tuweze kufanya purification.

Tatizo,

Regional Politics
Business Intrest
Ufisadi UMEGAWANYIKA sehemu mbili, Personal na Wa CCM Hivyo tunatikiwa tuwe analytical ili tuweze kuutenganisha.

Therefore Huwezi ukaacha kuuongelea huo Ukweli.
 
Sijasema ukabila ni tatizo but what I was insisting is that Regional Politics is playing a very big role in this war against Ufisadi.

Hii ishu ya Mengi na RA is a mixed bag. We need to separate uchafu uliomo ili tuweze kufanya purification.

Tatizo,

Regional Politics
Business Intrest
Ufisadi UMEGAWANYIKA sehemu mbili, Personal na Wa CCM Hivyo tunatikiwa tuwe analytical ili tuweze kuutenganisha.

Therefore Huwezi ukaacha kuuongelea huo Ukweli.

Hivi umetumwa?
Kwa taarifa yako kawambie hao walo kutuma kwamba ueneze na kupandikiza hisia za ukabila, ili watu tuache kumuunga mkono Mzalendo Mengi katika vita ya kulikomboa taifa letu mikononi mwa mafisadi, kwamba 'tumekustukia'

Hapa ni kuwakaba mafisadi papa wote wakiongozwa na Fisadi papa Rostamu Azizi hadi warudishe nchi yetu na kila kilicho chetu period!.
 
utawala wa mkapa uliwanufaisha watu walio karibu na mkapa ie mramba, yona,mgonja, RA, manji na sio wachaga kama unavyosema wewe.
Mtu kama mengi unaemuongelea alitajirika sana kipindi cha mwinyi na wafanya biashara wengi wa kichaga walitajirika kipindi cha mwinyi kwa ajili ulikuwa ni uhuru kwa kila mtu
Lakini wakati wa mkapa mpaka umuone yeye na hao wakina mengi wote unaowaongelea wewe wamenyanyaswa sana na mkapa
hata kuna jamaa mmoja wa arusha (anaitwa Mrema) alitaka kununua 77 hotel na jamaa record yake katika biashara za hoteli ni nzuri, alilipa deposit na kila kitu mkapa akampa swahiba wa manji jamaa wa kempiski
kama angekuwa amewapendelea wachaga si Mrema angepata hiyo hoteli kihalali matokeo yake sasa hivi serikali inamplifa fidia ya hoteli nyingine.

wachaga wanapata hela sio kwa ajili ya ubaguzi bali ni washindani na mfano nenda moshi uwezi kukuta waindi wanafanya biashara kama mikoa mingine kwa ajili wao wachaga wameamka, hata ukienda arusha utakutana na wafanya biashara wengi wa kichaga

rostam sio kama ameiweka mfukoni kanda ya ziwa bali amewaweka mfukoni viongozi wachache muhimu, na huu sio ukabila

na lazima uwelewe kama mkwere ajasema wakina mramba watolewe kafara basi hosea hawezi kuanzisha, wala dpp pia hawezi. Ni mkwere ndio anachagua nani wa kumtoa kafara ili kupata public support lakini siona hata mmoja wao kama atafungwa. Mramba anajua madhambi ya watu wengi sana kutokana position yake aliyokuwa nayo kwa hiyo kumfunga ni sawa sawa nakuvujisha siri nyingi


I dont question how hard work is wachaga, I will be stupid to do that, because ukweli uko wazi this people are hard worker and market oriented.

Ninachojaribu kukufungua macho ni kwamba, Regional Politics zina play a big role katika hili swala, na ninajua una dispute but huu ndio Ukweli.
Ukiangalia kwa makini sana, Kuna watu wengi wenye pesa sana Kule maeneo ya Kanda ya ziwa But they never in politics and spotlight but in the past 5 years wameanza kuingia kwenye siasa.

Kuingia kwao kwenye siasa kumewafanya more powerfull based on their strategic location.
 
Hivi umetumwa?
Kwa taarifa yako kawambie hao walo kutuma kwamba ueneze na kupandikiza hisia za ukabila, ili watu tuache kumuunga mkono Mzalendo Mengi katika vita ya kulikomboa taifa letu mikononi mwa mafisadi, kwamba 'tumekustukia'

Hapa ni kuwakaba mafisadi papa wote wakiongozwa na Fisadi papa Rostamu Azizi hadi warudishe nchi yetu na kila kilicho chetu period!.

Usiseme nimetumwa , this is a free forums and people have rights to disagree I am not here just to take postion mimi ni more pragmatic than you think.

You see kumbe wewe Uko upande wa Mengi, Mimi Niko neutral I am trying to analyse the truth and you have an option to agree or disagree with me.

Kama mengi Yuko serious na Vita ya Ufisadi kwanini asiseme CCM ni mafisadi. He has his own intrest that why he is talking about Ufisadi.

Kumbuka ITV imeisadia sana CCM, and the main benefiery of Pesa za Uchaguzi is mengi as well through ITV Unatufanya hatujui hilo.Radio One ETC
 
I dont question how hard work is wachaga, I will be stupid to do that, because ukweli uko wazi this people are hard worker and market oriented.

Ninachojaribu kukufungua macho ni kwamba, Regional Politics zina play a big role katika hili swala, na ninajua una dispute but huu ndio Ukweli.
Ukiangalia kwa makini sana, Kuna watu wengi wenye pesa sana Kule maeneo ya Kanda ya ziwa But they never in politics and spotlight but in the past 5 years wameanza kuingia kwenye siasa.

Kuingia kwao kwenye siasa kumewafanya more powerfull based on their strategic location.

kilicho wapeleka huko walijua fika ccm ni kichaka cha majambazi. so ukiingia humo utafanya uchafu wote wa kuendeleza biashara zako bila kuguswa! hasa ukisha wachangia/wakatia kitu kidogo.
hebu niambie kama kweli waliingia politics ku gain power nani aliingia opposition kama siyo wote kuji sondeka kwenye kichaka cha ujambazi?

Narudia wito wangu, usitutoe kwenye mada, hakuna ukanda wala ukabila hapa, hii ni vita kati ya wakwapuaji mali na raslimali za taifa letu, dhidi ya wanyonge/wenye mali tulio ibiwa period!

Hiyo sumu yako ya ukanda na ukabila bahati yako mbaya imekutana na 'ant venom' sorry it will not work.
 
Kwa kweli tunaelekea pabaya,maana kama walijua wazi wakimgusa Peter wamekusa serikali ndio maana wakaamua kumwacha.ila wajue kuna siku wataumbuka.Tuendelee kuomba mungu bila kuchoka watz
 
kilicho wapeleka huko walijua fika ccm ni kichaka cha majambazi. so ukiingia humo utafanya uchafu wote wa kuendeleza biashara zako bila kuguswa! hasa ukisha wachangia/wakatia kitu kidogo.
hebu niambie kama kweli waliingia politics ku gain power nani aliingia opposition kama siyo wote kuji sondeka kwenye kichaka cha ujambazi?

Narudia wito wangu, usitutoe kwenye mada, hakuna ukanda wala ukabila hapa, hii ni vita kati ya wakwapuaji mali na raslimali za taifa letu, dhidi ya wanyonge/wenye mali tulio ibiwa period!

Hiyo sumu yako ya ukanda na ukabila bahati yako mbaya imekutana na 'ant venom' sorry it will not work.

Nachokubaliana na wewe ni Kwamba CCM ni kichaka cha majambazi, But CCM Huwalazimisha wafanyabiashara kutoa michango and always tell them the amount , Kamwulize Kishimba wa Imalaseko, Aliambiwa na kikwete atoe amount Flani nadhani hakutoa vizuri mwangalie kibiashara sasa.

Pili utakuwa hutaki kutambua ukweli kama unakataa kwa makusudi kuwa regional politics hazina tija. Nenda NEC CCM ukawaulize? watakueleza vizuri , Kamwulize Sumaye ? Kula za Kanda ya ziwa zilivyomkosesha Uraisi
therefore huo ndio ukweli
 
Usiseme nimetumwa , this is a free forums and people have rights to disagree I am not here just to take postion mimi ni more pragmatic than you think.

You see kumbe wewe Uko upande wa Mengi, Mimi Niko neutral I am trying to analyse the truth and you have an option to agree or disagree with me.

Kama mengi Yuko serious na Vita ya Ufisadi kwanini asiseme CCM ni mafisadi. He has his own intrest that why he is talking about Ufisadi.

Kumbuka ITV imeisadia sana CCM, and the main benefiery of Pesa za Uchaguzi is mengi as well through ITV Unatufanya hatujui hilo.Radio One ETC


What kind of neutral? unless sielewi maana ya kuwa neutral, utakuwaje neutral wakati uko upande wa kuspin kwamba Mengi anatumia vita ya ufisadi kurudisha power ya wachaga iliyo potea?

Come on man, msitake kututoa kwenye kiini, hakuna ukabila hapa wala ukanda, ni vita kati ya wezi (fisadi) na tulioibiwa watanzania wazalendo period!

Kama vyombo vyake viliisaidia CCM huko nyuma, yes, lakini nani alijua huko nyuma kwamba CCM imetekwa na mafisadi? I guess Mengi is not an angel kwamba alijua hilo

Lakini baada ya kujua kapiga about turn is that a sin? Ndiyo maana nampongeza na kumuunga mkono.

Tangiapo, yeye ni tajiri sana, hela aliyo nayo inamtosha kula kwa raha zake maisha yake yote atakayo jaliwa na Maulana, Ni uzalendo tu ndio unamsukuma kufanya hivo, na siyo hizo spin mnazo taka eneza kwamba ni ukabila mara ukanda nooooo.



 
What kind of neutral? unless sielewi maana ya kuwa neutral, utakuwaje neutral wakati uko upande wa kuspin kwamba Mengi anatumia vita ya ufisadi kurudisha power ya wachaga iliyo potea?

Come on man, msitake kututoa kwenye kiini, hakuna ukabila hapa wala ukanda, ni vita kati ya wezi (fisadi) na tulioibiwa watanzania wazalendo period!

Kama vyombo vyake viliisaidia CCM huko nyuma, yes, lakini nani alijua huko nyuma kwamba CCM imetekwa na mafisadi? I guess Mengi is not an angel kwamba alijua hilo

Lakini baada ya kujua kapiga about turn is that a sin? Ndiyo maana nampongeza na kumuunga mkono.

Tangiapo, yeye ni tajiri sana, hela aliyo nayo inamtosha kula kwa raha zake maisha yake yote atakayo jaliwa na Maulana, Ni uzalendo tu ndio unamsukuma kufanya hivo, na siyo hizo spin mnazo taka eneza kwamba ni ukabila mara ukanda nooooo.


Kwahiyo unataka kuniambia ufisadi wa CCM Umeanza mwaka 2000 , Hebu kuwa mkweli. Mengi ni benefiery wa Pesa za EPA , Kupitia ITV, Mengi wakati wa uchaguzi wa 2000 hakutufanyia haki watanzania kwasababu alitumia vyombo vyake vya habari kuifanyia PR CCM iliyosababisha kutuchagulia viongozi wachovu, Na mpaka sasa Mengi hayuko intrested na Vita ya Ufisadi bali yuko intrested na Recovery of his Business and influence power.

Kumbuka kwamba Mengi hajasema CCM Mafisadi ninataka atamke hivyo ili nijue kama yuko serious kwenye hiyo vita ya mafisadi. He cant say that ITV imepoteza market share sana baada ya TBC2 Kuanzishwa hivyo he is doing for hi own intrest.

Vita vya mafisadi pure vinapiganwa na wachache e.g DR Mwakyembe
 
Pili utakuwa hutaki kutambua ukweli kama unakataa kwa makusudi kuwa regional politics hazina tija. Nenda NEC CCM ukawaulize? watakueleza vizuri , Kamwulize Sumaye ? Kula za Kanda ya ziwa zilivyomkosesha Uraisi
therefore huo ndio ukweli

wacha uwongo hamna cha regional politics, sumaye watu wote walikuwa wamemchoka na ndio sababu ya kushindwa hata watu wa North hawakumpa kura sumaye.
sumaye jina lake lilikua limechafuka sana...
JK alishinda kwa kuwaalikuwa ametega na hataki kujishughulisha machafu yeyote ili asiaribu jina lake
Tatizo wewe una ajenda zako zingine za ubaguzi ili kupunguza ufisadi
 
Nadhani tusi kazanie sana nani kabila lipi au ana asili ya wapi. Cha muhimu tupige vita ufisadi ili kama mtu awe mchaga, msukuma, mhindi, muarabu au mnani asifilisi watanzania. Ina wezekana kweli labda hao watu ukiangalia kwa juu juu labda wana toka sehemu fulani au labda ni wa asili fulani lakini je hilo lina jalisha sana? Ukabila na udini ni mambo yanayo kuwepo hilo mtu hauwezi kukataa maana hayo yote ni tabia au utashi wa mtu lakini tukisha piga vita ufisadi na tukashinda utakuta tuta kamata watu wa makabila, dini na asili mbali mbali. Hata kama ukabila na labda udini ni factor tukianzaa kuya angalia haya tuta anzisha vita zingine badala ya kukazania vita kuu. Wakoloni walitu tawala kwa kutu tenganisha na tukiji bagua wenyewe faida ya mafisadi maana vita dhidi yao ita pungua na tutaanza kupoteza muelekeo. Ufisadi una dhulu taifa. Wanao faidika ni wachache. Kama mimi niki kusanya wasambaa wenzangu kumi na tukafanya ufisadi utasema wasambaa wote mafisadi? Au wasambaa wote wana nufaika na ufisadi wangu? Tuache kuangalia demographies na geographies tukazanie mafisadis.
 
wacha uwongo hamna cha regional politics, sumaye watu wote walikuwa wamemchoka na ndio sababu ya kushindwa hata watu wa North hawakumpa kura sumaye.
sumaye jina lake lilikua limechafuka sana...
JK alishinda kwa kuwaalikuwa ametega na hataki kujishughulisha machafu yeyote ili asiaribu jina lake
Tatizo wewe una ajenda zako zingine za ubaguzi ili kupunguza ufisadi

Sumaye alikuwa kachafuka sawa lakini lazima ujue regional politics pia zilimwangusha, Wewe unakataa lakini mimi ninakueleza Ukweli Regional Politics they means a lot in CCM
 
Sumaye alikuwa kachafuka sawa lakini lazima ujue regional politics pia zilimwangusha, Wewe unakataa lakini mimi ninakueleza Ukweli Regional Politics they means a lot in CCM

CCM kuna mambo mengi yanayo mean a lot to them even kukumbatia mafisadi na kuwatetea kwa garama yoyote ile wasiguswe ili waendelee kuwa finance, means more than a lot to them!

Kwahiyo hicho kichaka cha mafisadi to hell with it, whether wana regionalise or wana nationalise kwetu sisi haitusaidii.

The issue ni kuwakaba hao mafisadi wanao kumbatiwa na CCM waturudishie nchi yetu na vyote walivyo kwapua period!
 
Back
Top Bottom