Hayo mambo ya ukabila power etal.. ni spin, tena msitake kutuvuruga na kutupandikiza fitina ili tuache kushikama kuyaangusha mafisadi!
Hapo swala ni wezi wachache kuiba hela zetu na kutumia hizo pesa kuiweka serikali madarakni,na kibaya zaidi kuipangia uongozi hivyo kuifanya serikali nzima vibaraka wao kwani hawawezi kuwagusa kwa vile ndo wali waweka!
Hizo propaganda zenu ni za kubuni kuhisi na your wishful thinking!
turudi vitani wakuu, hakuna cha kabila la kijani wala blue, hapa ni mafisadi wote kurudisha kilicho chetu period!
Hapo swala ni wezi wachache kuiba hela zetu na kutumia hizo pesa kuiweka serikali madarakni,na kibaya zaidi kuipangia uongozi hivyo kuifanya serikali nzima vibaraka wao kwani hawawezi kuwagusa kwa vile ndo wali waweka!
Hizo propaganda zenu ni za kubuni kuhisi na your wishful thinking!
turudi vitani wakuu, hakuna cha kabila la kijani wala blue, hapa ni mafisadi wote kurudisha kilicho chetu period!