Mbona unalazimisha sana kutoelewa mada ya mleta mada?Mbona ni vimistari viwili tu?Hizo akili za kuokoteza utazikuta lumumba tu!Hukumuona JJ Mnyika aliposimama na Kumsujudia Rais Magufuli?!...... Unajua maana ya kusujudu kiitifaki na kiimani!.......ndio maana kila siku Lowassa anawapa darasa sema mna vichwa vigumu!......na ndio maana mtu anaruka dhamana kwa mambo yake binafsi mnamuita mfungwa wa kisiasa Ufipa ni bure kabisa!
Umeshapanic!Mbona unalazimisha sana kutoelewa mada ya mleta mada?Mbona ni vimistari viwili tu?Hizo akili za kuokoteza utazikuta lumumba tu!
Mkuu akiwa unaandika jaribu kushirikisha 'kichwa' ili ueleweke. unatakiwa uwe unaweka ushabiki pembeni kuliko mihemko yako.
Kabisa wengine ni wahuni tu waliopachikwa na jeshi la polisi pale ikuluNi meipenda hiyo....ata ki uraisi ni hivo hivo sio kila "president ni presidential material"
Wachungaji wengine ni wanywa mataputapu aka ulanzi.Yah, kama ambavyo si kila Mchungaji ni Mchungaji.
Hahahaa...... Nipo hapa pembeni ya Ufipa naona vijana wanajipongeza wamemsahau kabisa Mbowe..... Habari ya Ufipa ni Mnyika!
Umemaanisha nn mkuu?Wachungaji wengine ni wanywa mataputapu aka ulanzi.
Ulitaka hili la leo lisisemwe?Mnyika kamnenesha kwa lugha JPM!Hahahaa...... Nipo hapa pembeni ya Ufipa naona vijana wanajipongeza wamemsahau kabisa Mbowe..... Habari ya Ufipa ni Mnyika!
Talent ya kuwa kiongozi ni kukosa msimamo na kuwa ndumi la kuwili kama John wa kwanza sio??😀😀😀Huyu wa pili hana talent ya kuwa kiongozi!
... disco limeingia mmasai ... Mbowe, Lissu, na Mnyika ndio wafia chama pekee wa dhati waliobaki. Halafu jamaa hachagui muda wala mahali pa "kupiga"; inapotokea nafasi adhimu kama hivi yeye ni nyundo tu haijalishi yuko wapi. Huyu jamaa kuchwa sana.Na pengine wanajuta kumualika John wa kwanza, na zaidi kumruhusu "kusalimia". Bahati mbaya salamu zikawafikia hasa. Waendelee kumualika Mzee EL tu, hawa wengine " wanaharibu" shughuli.
Hii battle ya leo imenikumbusha Battle of New Orleans mwaka 1814 by John Horton.
Cc Malcom Lumumba Daudi Mchambuzi Jon Stephano Sky Eclat Ngalale UncleBen kirikou1
Wahitaji kutulia na kupata muda wa 'kupumua' japo kidogo. Itakusaidia kutafakari na kurudi kwenye mada.Hukumuona JJ Mnyika aliposimama na Kumsujudia Rais Magufuli?!...... Unajua maana ya kusujudu kiitifaki na kiimani!.......ndio maana kila siku Lowassa anawapa darasa sema mna vichwa vigumu!......na ndio maana mtu anaruka dhamana kwa mambo yake binafsi mnamuita mfungwa wa kisiasa Ufipa ni bure kabisa!