Peter Msigwa: Kumbe sio Kila John ni Yohana

Peter Msigwa: Kumbe sio Kila John ni Yohana

Nimewahi kumsoma Yohana Mbatizaji kwenye Biblia. Yule ambaye kwa kimombo huitwa John the Baptist. Lakini leo pia nimepata bahati ya kuwasikia John wawili wakitoa hotuba. John mmoja ametoa hotuba fupi sana, nzito sana, ya kinyenyekevu sana lakini ya kijasiri sana. Kwa uzito wa hotuba ya John wa kwanza, imelazimu hotuba ya John wa pili kuwa ndefu sana. Niliposikia hotuba ya John wa pili nikagundua kuwa hotuba ya John wa kwanza ni kama imefanya ubatizo kwa hotuba ya John wa pili....maana maneno mengi ya hotuba ya John wa Pili yametokana na maneno machache tu ya hotuba ya John wa kwanza. Wote ni John.... lakini kumbe sio kila John ni Yohana!!!.
Ni meipenda hiyo....ata ki uraisi ni hivo hivo sio kila "president ni presidential material"
 
Nimewahi kumsoma Yohana Mbatizaji kwenye Biblia. Yule ambaye kwa kimombo huitwa John the Baptist. Lakini leo pia nimepata bahati ya kuwasikia John wawili wakitoa hotuba. John mmoja ametoa hotuba fupi sana, nzito sana, ya kinyenyekevu sana lakini ya kijasiri sana. Kwa uzito wa hotuba ya John wa kwanza, imelazimu hotuba ya John wa pili kuwa ndefu sana. Niliposikia hotuba ya John wa pili nikagundua kuwa hotuba ya John wa kwanza ni kama imefanya ubatizo kwa hotuba ya John wa pili....maana maneno mengi ya hotuba ya John wa Pili yametokana na maneno machache tu ya hotuba ya John wa kwanza. Wote ni John.... lakini kumbe sio kila John ni Yohana!!!.
Hahahaa........ " .....basi Yesu akawaambia wale wanafunzi ...kamwambieni Johnthebaptist kwamba vipofu wanaona, viwete wanatembea, wagonjwa wanapona na wenye dhambi wanafunguliwa vifungo vyao"
Johnthebaptist alitaka kujua kama Yesu ndiye Masihi.
Mnyika amejibiwa sawasawa na hoja na la msingi kaambiwa akamuulize AG mstaafu Jaji Werema namna serikali ilivyoshinda kesi ya fidia iliyofunguliwa na mwanasheria maarufu jimboni kibamba Mgongowafimbo!
 
Hahahaa........ " .....basi Yesu akawaambia wale wanafunzi ...kamwambieni Johnthebaptist kwamba vipofu wanaona, viwete wanatembea, wagonjwa wanapona na wenye dhambi wanafunguliwa vifungo vyao"
Johnthebaptist alitaka kujua kama Yesu ndiye Masihi.
Mnyika amejibiwa sawasawa na hoja na la msingi kaambiwa akamuulize AG mstaafu Jaji Werema namna serikali ilivyoshinda kesi ya fidia iliyofunguliwa na mwanasheria maarufu jimboni kibamba Mgongowafimbo!
Unajifanya kutokuelewa hoja!Cha msingi umeelewa,hotuba ya john wa kwanza ilihari i equilibrium ya john wa pili!
Jonh wa pili hotuba yote aliyoandaa ikabadilika,akaanza kudeal na John wa kwanza!
Akaona haitoshi,ikabidi aombe back up kwa waitara ili waendelee kumshambulia john wa kwanza!
 
Ukiona hawa vijana wa chakubanga alio wamwaga huku jf wana pambana kupunguza nguvu kile Mnyika alicho kifanya leo hatawafanyeje wamekwama kwasababu hata John mkubwa ameonyesha dhairi kwamba John mdogo kamwaribia siku kabisa
 
Amesaidia kuvuga alichotaka kuongea John wa pili kwa kumpa muongozo wa mambo ya kuongea
Rais anayejiamn lazima awe tayr kubadilika kulingana na mazingira.... kwaakili yako ulitaka asimjb????? Ili mseme

Magufuli ni noooooma saan
 
Asee tulikua tunaangalia na jamaa flani wa CHAGADEMA akaniuliza hivi tufanye DOGO asingeongea Mwenyekiti wenu angetoa hotuba gani...

Nikabaki kusema tu hiiiiiiiiiiii!!!!!
Ni Kama tumeikosa hotuba halisi ya president kwa kweli.
 
Unajifanya kutokuelewa hoja!Cha msingi umeelewa,hotuba ya john wa kwanza ilihari i equilibrium ya john wa pili!
Jonh wa pili hotuba yote aliyoandaa ikabadilika,akaanza kudeal na John wa kwanza!
Akaona haitoshi,ikabidi aombe back up kwa waitara ili waendelee kumshambulia john wa kwanza!
Wewe ndiye hujaelewa......Yohana wa kwanza ndio yule mbatizaji na Yohana wa pili ndio yule mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda sana ambaye akiwa msalabani Yesu alimkabidhi mama yake amtunze. Ndiye yule Yohana aliyekwenda kuishi Uturuki nchi yenye maendeleo makubwa sana duniani.......Na Yohana wa pili kwa muktadha wa mada hii ni mpenda maendeleo anayeibadilisha Tanzania iwe kama Turkey!
 
Wewe ndiye hujaelewa......Yohana wa kwanza ndio yule mbatizaji na Yohana wa pili ndio yule mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda sana ambaye akiwa msalabani Yesu alimkabidhi mama yake amtunze. Ndiye yule Yohana aliyekwenda kuishi Uturuki nchi yenye maendeleo makubwa sana duniani.......Na Yohana wa pili kwa muktadha wa mada hii ni mpenda maendeleo anayeibadilisha Tanzania iwe kama Turkey!
Hujaelewa hoja,either kwa kujitoa ufahamu au kwa kuvaa miwani ya mbao!
Hapa hoja ya mleta mada iko wazi!

John wa pili amevurugwa na hotuba ya John wa kwanza!
 
nimesoma pia kwenye biblia na kukutana na jina la kimombo peter ambaye kwa kiswahili ni petro. peter wa kwenye biblia alikuwa mwanafunzi imara wa Yesu na alikuwa tayari kufa kuitangaza injili, hakuwa na tamaa za kisiasa, hakuwa mpotoshaji, hakuwa mropokaji , alijawa na hekima tele, alihubiri injili mpaka mauti yake. tofauti ya peter wa kwenye biblia na huyu tuliyenaye ni kwamba peter huyu ni mchunguji aliyetoka kwenye uchungaji kwa tamaa za kisiasa, hayupo radhi kufia kwenye dini akitangaza injili, ni mpotoshaji na ni mropokaji, na kapungukiwa hekima ya kuamua na kutenda.

nimetafakari na kujua kuwa sio kila peter ni petro wengine ni petroli
 
Hahahaa........ " .....basi Yesu akawaambia wale wanafunzi ...kamwambieni Johnthebaptist kwamba vipofu wanaona, viwete wanatembea, wagonjwa wanapona na wenye dhambi wanafunguliwa vifungo vyao"
Johnthebaptist alitaka kujua kama Yesu ndiye Masihi.
Mnyika amejibiwa sawasawa na hoja na la msingi kaambiwa akamuulize AG mstaafu Jaji Werema namna serikali ilivyoshinda kesi ya fidia iliyofunguliwa na mwanasheria maarufu jimboni kibamba Mgongowafimbo!
Dawa ya Mnyika imekuingia haswaa.
 
Ukiona hawa vijana wa chakubanga alio wamwaga huku jf wana pambana kupunguza nguvu kile Mnyika alicho kifanya leo hatawafanyeje wamekwama kwasababu hata John mkubwa ameonyesha dhairi kwamba John mdogo kamwaribia siku kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] povu lilimkaba shingoni haswaa.
 
Back
Top Bottom