Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,156
- 48,399
Alipokwenda Mbweni na kushauriwa na johnthebaptist agombee ubunge kupitia CCM hapa Iringa mjini, Peter Msigwa alidhani CCM wanampenda kumbe wanamtega..
Matokeo ya awali yanaonesha Msigwa hayumo kati ya wagombea watatu wa juu. Taarifa toka ndani ya CCM hapa mjini inaonesha Msigwa hawezi kuongoza au kuwa wa pili.
Nitakuwa naweka matokeo ya hapa mjini kwa kadri nitakavyokuwa nayapata.
Hivi kweli Msigwa ni wa kuiita CHADEMA ni mama wa Kambo?
MATOKEO RASMI
1. FADHILI NGAJILO. 1,899
2. MOSES AMBINDWILE 1,523
3. PETER MSIGWA 477
4. JESCA MSAMBATAVANGU 408
5. NGUVU CHENGULA 181
6. ISLAM HUWEL 136
Matokeo ya awali yanaonesha Msigwa hayumo kati ya wagombea watatu wa juu. Taarifa toka ndani ya CCM hapa mjini inaonesha Msigwa hawezi kuongoza au kuwa wa pili.
Nitakuwa naweka matokeo ya hapa mjini kwa kadri nitakavyokuwa nayapata.
Hivi kweli Msigwa ni wa kuiita CHADEMA ni mama wa Kambo?
MATOKEO RASMI
1. FADHILI NGAJILO. 1,899
2. MOSES AMBINDWILE 1,523
3. PETER MSIGWA 477
4. JESCA MSAMBATAVANGU 408
5. NGUVU CHENGULA 181
6. ISLAM HUWEL 136