GE2025 Peter Msigwa ashindwa kura za maoni Iringa Mjini

GE2025 Peter Msigwa ashindwa kura za maoni Iringa Mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,146
Reaction score
48,388
Alipokwenda Mbweni na kushauriwa na johnthebaptist agombee ubunge kupitia CCM hapa Iringa mjini, Peter Msigwa alidhani CCM wanampenda kumbe wanamtega..

Matokeo ya awali yanaonesha Msigwa hayumo kati ya wagombea watatu wa juu. Taarifa toka ndani ya CCM hapa mjini inaonesha Msigwa hawezi kuongoza au kuwa wa pili.

Nitakuwa naweka matokeo ya hapa mjini kwa kadri nitakavyokuwa nayapata.

Hivi kweli Msigwa ni wa kuiita CHADEMA ni mama wa Kambo?

MATOKEO RASMI

1. FADHILI NGAJILO. 1,899

2. MOSES AMBINDWILE 1,523

3. PETER MSIGWA 477

4. JESCA MSAMBATAVANGU 408

5. NGUVU CHENGULA 181

6. ISLAM HUWEL 136

IMG-20250804-WA0027.jpg
 
PENDEKEZO.

Kwa kuwa dalili zinaonyesha wazi Msigwa(mbunge wa zamani) na Jesca (mbunge wa sasa)wote watashindwa vibaya, ni muda muafaka kuwashindanisha Msigwa na Jesca kwa kura zao, at least tupate kuona ile battle. Hivyo mleta mada, ulete update ya matokeo kwa kuzingatia battle ya Msigwa vs Jesca ili tupate angalau kicheko.
 
PENDEKEZO.

Kwa kuwa dalili zinaonyesha wazi Msigwa(mbunge wa zamani) na Jesca (mbunge wa sasa)wote watashindwa vibaya, ni muda muafaka kuwashindanisha Msigwa na Jesca kwa kura zao, at least tupate kuona ile battle. Hivyo mleta mada, ulete update ya matokeo kwa kuzingatia battle ya Msigwa vs Jesca ili tupate angalau kicheko.
Mchungaji Msigwa anajua kabisa nje ya Chadema hata ujumbe wa nyumba 10 hapati 😂
 
Alipokwenda Mbweni na kushauriwa na johnthebaptist agombee ubunge kupitia CCM hapa Iringa mjini, Peter Msigwa alidhani CCM wanampenda kumbe wanamtega..

Matokeo ya awali yanaonesha Msigwa hayumo kati ya wagombea watatu wa juu. Taarifa toka ndani ya CCM hapa mjini inaonesha Msigwa hawezi kuongoza au kuwa wa pili.

Nitakuwa naweka matokeo ya hapa mjini kwa kadri nitakavyokuwa nayapata.

Hivi kweli Msigwa ni wa kuiita CHADEMA ni mama wa Kambo?

KATA YA KIHESA
216 Mosses
NGAJILO 133
Nguvu 14
Msigwa 16
Islam 8
Jesca 29

KATA YA MSHINDO

MOSSES 54
NGAJILO 50
Huel 5
Jesca 3
Msigwa 2
Nguvu 2
MUNGU fundi
 
Back
Top Bottom