Tafuta kibonge mmoja "u test mitambo" joanahSijawahi Dr. Wansegamila
Mwanaume mnene???hell no Dr. WansegamilaTafuta kibonge mmoja "u test mitambo" joanah
Hahahahahahaha...!! Kwa sababu hupendi vibamia?Mwanaume mnene???hell no Dr. Wansegamila
Sio unyanyapaaHahahahahahaha...!! Kwa sababu hupendi vibamia?
Kwani wanaume wanene sio wanaume? Acha unyanyapaa joanah
Sio kama ni mwanamke wamekaa naye muda adi wana watoto wawili sasaDada ameshasafisha nyota. Hana tatizo kumpiga chini.
Na msechu ni katoto kadooogo sana kwa suguMbona sugu kaoa juzi juzi tu..
Mimi pia nimecheka mkuu....Hii coment yako badala ya kuhuzunisha inachekesha sijui kwa nini "Hakuna anayependa kuwa simtenki"
Nadhan watu wanasahau hlo...unashangaa huyo wanaemsema ana kitambi mwanamke wake ndo mwaminifu 100%...kuliko hao wenye siksi paki..mapenz ni kitu kingne mbona davido chioma wake wamemgonga,mond mwenyewe kipindi yupo na zali trainer wa gym alimgongea...so hakuna cha kitambi wala siksi paki wala cha kuwa na hela au usiwe nazo...unaweza ukawa na siks pack+una hela lkn mke wanakugongea wajanjaHV Stamina ana Kitambi? Mabeste je? King Kuba, A. Why?
Kutumia neno "Nasikia" hua ni dalili fulani ya umbea.Halafu nasikia mwanaume akiwa mneneeeee anakuwa na kibamia
Kutumia neno "Nasikia" hua ni dalili fulani ya umbea.
Hahahaha et shati linafunika starlet jf haichoshiShati la mchechu linafunika starlet.
Mchechu sehemu kubwa itakua ni kuzama chumvini tu maana mashine hawezi kusukuma nyama.
Kuna staili nyingi tu kama reversal cowgirl, riding on top, doggy n.kInamaana hapo anapokula mzigo huo mwili wote si anamlalia huyo dada?..kweli wanawake majasiri