USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Biharamulo star search ndio shindano kubwa ndani ya mkoa wa kagera lilidhaminiwa na mbunge wa jimbo la Biharamulo Mh Ezra CHIWELESA na kampuni ya Tigo Tanzania na n.k
Kwa sasa wasanii kibao wanaenda kupiga tafu vijana pande hizo baada ya shorobwenzi aka Stamina sasa ni blue konogesha na kushauri vijana nini wafanye ili watoke
Biharamulo star search ni jimbo linalokuwa kwa kasi sana kimaendeleo na kimichezo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa wasanii kibao wanaenda kupiga tafu vijana pande hizo baada ya shorobwenzi aka Stamina sasa ni blue konogesha na kushauri vijana nini wafanye ili watoke
Biharamulo star search ni jimbo linalokuwa kwa kasi sana kimaendeleo na kimichezo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app