shangwe1
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 445
- 348
Eti ndio kaumbwa hivyo uko serious kweli wewe kilicho juu ya uwezo wa binadamu ni urefu/kimo tu...unene na wwmbamba suala la kumua tu.Ala asili ya unene hata afanyeje atakua mnene tu ndo kaumbwa hivoo
Aisee huyu anamaliza mbuzi mwenyewe.Huyu hapa
Umenikimbusha rafiki yangu fulani simtaji aisee jamaa ukiwa nae kila baada ya nusu saa anakula. Kwenye gari ana Juice, soda ,korosho,karanga,maepo ,tambi mpaka namwambia mzee si uache kubeba mavyakula. Anasema asikia njaa muda woteHuyu jamaa inabidi akajitolee jkt 6months. Kitambi kipungue njia nyingine haiwezekani.
Vibonge wanajipenda sana kwenye maswala ya misosi, halafu huwa wanawahi sikia njaa
daah eti masufuria yenye viporo vya wali na maharage.Huyu jamaa uraiani hawezi pungua anapenda sana kula kuliko hata mkee wake. Kuna interview moja aliwahi kusema alikuwa anaamka saa 6 usiku anaenda kufunua masufuria yenye kiporo cha wali maharage anakula just image mtu kama huyo afatilie mambo ya diet
Ni Bwana Mughabho Wa Kigoma Ama!!Linaona sifaa mnoo limwili lile yaani ni mjinga sana
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Umenikumbusha yule singa singa aliefungwa na mzee rugemalila aiseeee jamaa aliisha na kubaki kama moja....Sehem kubwa unene unatokana na unachokula.
Aende jela yule mwezi tu halafu uniambie kama kuna cha asili au nini.
Anapenda misosi nenda insta yake kule anatangaza migebuka.
Lodi lofaHuyu hapa
Hapana kwani ndivyo alivyokuwa hivyo au humjui Peter Msechu? huu unene ni wakula hovyo na kiwango kikubwa cha vyakula vya wanga na sukari,huyu bwana anakiita kisukari angali bado mdogo na matokeo yake atabaki kula kwa macho.Wengine huwa ni maumbile/ugonjwa. Hujafa hujaumbika. Hakuna anayependa kuwa simtenki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajifariji sema wewe ndo hujamuelewaAlafu anajisifia kabisa
Hapo apunguze kula na afanye mazoezi atakuwa kama namba moja...Huo ni mwili wa kula hovyo bila mpangilio na kutofanya mazoezi.Asikudanganye mtu mazoezi peke yake bila kubadilisha mfumo wa maisha na kuacha kula hovyo hawezi pungua mtu uzito
Huyo jamaa huo mwili anaulea,ni aina flani ya watu ambao wanaamini kunenepa ni mafanikio katika maisha.