Personal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake

Rais hapangiwi ?shame sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uteuziiii.....2020 subiria tu unakuja.......
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wengi ni chanzo cha madhila yanayowapata wazazi wao kwa kutanguliza.. Pesa, umaarufu na starehe za muda mfupi, kijana anayejua wajibu wake kwa wazazi hawezi kuwa chanzo cha madhila haya au hata kifo kwa wazazi wake.. utamaduni wa kuweka picha za wazazi au watoto mezani ofisini kwa baadhi ya watu ni picha hizo zimkumbushe wajibu alionao kwao asije sahau akafanya matendo yatakayoleta huzuni kwao!
 
Pascal Mayalla,
Paskali nimesoma ombi lako la msamaha wa Kabendera uliliolielekeza kwa Mh. Rais wa JMT. Nimefarijika kusikia kuwa wewe umesoma sheria na unajua mipaka ya mamlaka ilivyo kisheria. Ombi hili likisikilizwa na kukubaliwa na muwombwaji utakuwa umeleta mgogoro wa kisheria.

Siku zote kwa taaluma yetu tunaaamini sheria ni maisha bila busara ingawa na sheria nayo inabusara zake. MBANE DPP mwambie atumie busara zote mbili -ile busara halisi na busara ya sheria- usimuchomekee Rais wa JMT.
 
Yaonekana alikuwa yeye. Tangu atiwe kibano hatuoni tena makara za aina hiyo. Alijua ni mtu muhimu ktk familia yake, a bread winner, bado akajiingiza ktk uandikaji wa kijinga. Akisifiwa na kugusw mgongoni eti ni shujaa. That was rubbish of him!
 
Kama hawakuweza kumpa msaada mama yake pindi mgonjwa wakijua fika Eric ndo alikua tegemeo lake basi haina maana kumtoa kwaajili ya kumzika tu. Tuthamini watu pindi wakiwa hai.

Kuna mambo yanaendelea bongo chini ya huu utawala yanasikitisha sana. Sheria ya uhujumu uchumi inaidi ipitwe upya ASAP
 
Of all days leo ndio umeona ujitokeze kwenye msiba kukanusha habari za wewe kumchongea Erick?
Alafu what changes kujitambulisha kama Pascal au mwandishi wa habari mwenye LLB (hons)
Guy!
Anajaribu kujitofautisha na wakina Maulid Kitenge😂😂😂,walioingia kwenye utangazaji baada ya kufeli masomo yao ya sekondari
 
Yaonekana alikuwa yeye. Tangu atiwe kibano hatuoni tena makara za aina hiyo. Alijua ni mtu muhimu ktk familia yake, a bread winner, bado akajiingiza ktk uandikaji wa kijinga. Akisifiwa na kugusw mgongoni eti ni shujaa. That was rubbish of him!
Fuc***k off your shit hole!!!

Alifanya kosa gani kwa uandishi wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanafiki ni wengi sana duniani. Kuna siku nilisoma mahali kuwa huyo mama alimlilia Mh. Rais amwachie mwanaye kwa kuwa ndiye Tegemeo lake kwa uzima na afya yake. Kama ni kweli aliomba tena akiwa analia basi Mungu ampumzishe sasa ila machozi yake yale yatageuka laana kwa baadhi ya viumbe duniani. Tumwogope Mungu narudia Tumwogope Mungu.
 
Too hysterical! Woote walioko magereza, wana baba, mama, watoto, wajukuu, nk. Eric is no exception.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…