mwanakwetuu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 407
- 807
Rais hapangiwi ?shame sanaRais hapangiwi. Usitake Rais Magufuli afanye vitu kwa matakwa yenu. Leo atamwachia Kabendera kesho mtataka amwachie mwingine. Pia kutoa mfano wa wabakaji kuachiwa huo ni upuuzi. Hata Yesu aliwasamehe wazinzi ambapo kwa akili ya kibinadamu lilionekana ni kosa Kubwa na kuuwawa kwa mawe. Pia ndugu yangu njaa ujue Rais Magufuli ana vyombo vingi vya kiuchunguzi tofauti na akili yako ndogo na kisheria uliyo nayo. Rais ana wataalam wasomi mahiri wengi wa kumshauri iwe wewe na katambaza, kailboru na kadigrii kako kamoja kasheri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na hayo,kama ni hivyo ndio imemrudia huyo kibendera inamuumiza mara 100 kwa kusababisha kifo cha mama yake
Badala ya kumtisha Rais na karma,ungemshauri kibendera atumie plea bargain law atoke ile ipo wazi na kwa hatua iliopo kesi yake,inakubalika tu
Kibendera aliandika barua ya kuomba msamaha,akaambiwa ataje walio nyuma yake amekataa,hapo unamlaumu Rais kwa lipi
Kibendera ana mchango mkubwa kwenye kifo cha mama yake,hakujali hisia za mama yake alitanguliza mbele maslahi yake na mabeberu
Ikumbukwe kuwa yule mama alikiri kumuonya mwanawe aachane na mambo hayo ya kutukana watu,lakini hakumsikiliza
Vijana wengi ni chanzo cha madhila yanayowapata wazazi wao kwa kutanguliza.. Pesa, umaarufu na starehe za muda mfupi, kijana anayejua wajibu wake kwa wazazi hawezi kuwa chanzo cha madhila haya au hata kifo kwa wazazi wake.. utamaduni wa kuweka picha za wazazi au watoto mezani ofisini kwa baadhi ya watu ni picha hizo zimkumbushe wajibu alionao kwao asije sahau akafanya matendo yatakayoleta huzuni kwao!Achana na hayo,kama ni hivyo ndio imemrudia huyo kibendera inamuumiza mara 100 kwa kusababisha kifo cha mama yake
Badala ya kumtisha Rais na karma,ungemshauri kibendera atumie plea bargain law atoke ile ipo wazi na kwa hatua iliopo kesi yake,inakubalika tu
Kibendera aliandika barua ya kuomba msamaha,akaambiwa ataje walio nyuma yake amekataa,hapo unamlaumu Rais kwa lipi
Kibendera ana mchango mkubwa kwenye kifo cha mama yake,hakujali hisia za mama yake alitanguliza mbele maslahi yake na mabeberu
Ikumbukwe kuwa yule mama alikiri kumuonya mwanawe aachane na mambo hayo ya kutukana watu,lakini hakumsikiliza
Yaonekana alikuwa yeye. Tangu atiwe kibano hatuoni tena makara za aina hiyo. Alijua ni mtu muhimu ktk familia yake, a bread winner, bado akajiingiza ktk uandikaji wa kijinga. Akisifiwa na kugusw mgongoni eti ni shujaa. That was rubbish of him!Pole Pascal Mayalla naona watu wanakuhukumu kwa hisia bila kuangalia uhalisia.
Watu wanamhukumu Pascal wakidai kua kamchongea Kabendera lakini wanasahau kua Kabendera alikua anamchongea Magufuli kwa Mabeberu lakini hawakuliona hilo.
Kabendera na Pascal wote ni waandishi na wanaandika habari za uchunguzi sioni uchonganishi wowote alioufanya Pascal.
Kabendera kahukumiwa kwa kosa lingine tofauti na kazi yake ya uandishi.
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
Sikiliza hapa ushauri wa jaji mkuu wa Tanzania
View attachment 1308077
Anajaribu kujitofautisha na wakina Maulid Kitenge😂😂😂,walioingia kwenye utangazaji baada ya kufeli masomo yao ya sekondariOf all days leo ndio umeona ujitokeze kwenye msiba kukanusha habari za wewe kumchongea Erick?
Alafu what changes kujitambulisha kama Pascal au mwandishi wa habari mwenye LLB (hons)
Guy!
Fuc***k off your shit hole!!!Yaonekana alikuwa yeye. Tangu atiwe kibano hatuoni tena makara za aina hiyo. Alijua ni mtu muhimu ktk familia yake, a bread winner, bado akajiingiza ktk uandikaji wa kijinga. Akisifiwa na kugusw mgongoni eti ni shujaa. That was rubbish of him!
H
Kaama hujui unajadili nini? Foolishly posed question!Fuc***k off your shit hole!!!
Alifanya kosa gani kwa uandishi wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nilishaula tokea 2018?
Na walawiti # NguzaKusemehe kwake ni kitu kigumu Sana, lakini wauaji na wabakaji ni rahisi sana
Too hysterical! Woote walioko magereza, wana baba, mama, watoto, wajukuu, nk. Eric is no exception.Kama hawakuweza kumpa msaada mama yake pindi mgonjwa wakijua fika Eric ndo alikua tegemeo lake basi haina maana kumtoa kwaajili ya kumzika tu. Tuthamini watu pindi wakiwa hai.
Kuna mambo yanaendelea bongo chini ya huu utawala yanasikitisha sana. Sheria ya uhujumu uchumi inaidi ipitwe upya ASAP