Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,316
- 8,013
Mkuu mayala, wakati unasoma pale udsm sheria kama sikosei na mm nlikuwa undergraduate na ulikaa mabibo hostel block F. Unaijua sheria vizuuriiii. Rais haingilii uhuru wa mahakama kwa kusamehe mtu ambaye bado kesi yake haijamalizika. Huwa anaroa msamaha kwa wafungwa. Acha kibendera apate haki yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app