Personal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake

Ungesema msamaha tu apewe ingetosha, ila umeweka na karma juu kumtisha huyo anayetaka kutoa msamaha, hapo ndio itaharibu. Ukitaka kupata msahama like you said kuna kifo cha mama yake mzazi, inatosha, ila ukisema karma unaleta indirectly kitisho, kwamba if you don't do this, that bad will follow indirectly..
 
binadam wanafki sana, mara sheria itumike(mwishowe muulize kifungu gan kimetumika), mara Humanitarian reasons zitumike, huyo mama akiwa anaomba msaada ilihali mnajua mtoto wake yupo matatizon kuna waliojitokeza kumsaidia? Kama hamkujitokeza basi achen kujali wakati ameshaondoka( iwe mnajiita mpo nyuma ya. Kabendera ama against, mmeshindwa kuonyesha kua pamoja nae katika hili basi huo ni unafki): Hizo karma mnazotaja kumtisha nan? Kwamba nyie hamtakufa au!
 
So sad kwa kweli naunga mkono hoja asamehewe tu mbona watuhumiwa kibao tena wa mabilioni ya fedha wamesamehewa sembuse yeye sijui mln 100 japo najua kabambikiwa tu
 
All in all hata kama kama ulivyosema kuwa atakuwa mtu kichaa akiamini habari za JF, kama ingelikuwa mimi, kuna take home message moja: What do they say about me! Watu wananionaje! Maana umeona comments za watu juu yako!
Take a hypothetical situation, kukiwa na Lawlessness in the vicinity of these people and you, wakapata nafasi ya kukutana na wewe, what will happen to you?? Pascal Mayalla
 
Huyo Rais wako kama hakufungua kopo lake kumsamehe kipindi yule mama anatoa machozi pale, nasema msamaha wake hautakuwa na maana namwomba aendelee kushupaza shingo yake hivyo hivyo maana yeye anajiona ndiye mungu wa Tanzania. Msamaha wake hautakuwa na faida wala Baraka kutoka kwa MUNGU! Magu nasema wewe ni jembe komaa hivyo hivyo tu!
 
Pascal Mayalla,
Wazo zuri.lakini ibara ya 45 ya katiba ya Jamuri ya muungano wa Tanzania inampa mamlaka kusamehe wafungwa sio mahabusu.Msamaha wenyewe mara nyingi ni siku ya tar 9 december.
Pascal Mayalla,

Ibara ya 45 ya katiba ya JMT inampa mamlaka Rais kusamehe wafungwa. Jamaa bado mahabusu alafu mtuhumiwa. Labda ungeomba Mh rais afanye ziara ya ghafla kesho kama alivyofanya butimba Mwanza .Pale walionewa au atakaowaonea huruma wanaweza kubahatika. Msamaha mara nyingi ni December 9 alafu ni kwa wafungwa.
 
binadam wanafki sana, mara sheria itumike(mwishowe muulize kifungu gan kimetumika), mara Humanitarian reasons zitumike, huyo mama akiwa anaomba msaada ilihali mnajua mtoto wake yupo matatizon kuna waliojitokeza kumsaidia? Kama hamkujitokeza basi achen kujali wakati ameshaondoka( iwe mnajiita mpo nyuma ya. Kabendera ama against, mmeshindwa kuonyesha kua pamoja nae katika hili basi huo ni unafki): Hizo karma mnazotaja kumtisha nan? Kwamba nyie hamtakufa au!
Hatutaki msamaha wowote ule! Yule mama aliomba kijana wake asamehewe mpaka akamwaga machozi lakini watu wakakaza shingo, leo amefariki kwa kukosa huduma ndio watu waombe msamaha? HAKUNA ABAKI HUKO NA LI MSAMAHA LAKE!
 
binadam wanafki sana, mara sheria itumike(mwishowe muulize kifungu gan kimetumika), mara Humanitarian reasons zitumike, huyo mama akiwa anaomba msaada ilihali mnajua mtoto wake yupo matatizon kuna waliojitokeza kumsaidia? Kama hamkujitokeza basi achen kujali wakati ameshaondoka( iwe mnajiita mpo nyuma ya. Kabendera ama against, mmeshindwa kuonyesha kua pamoja nae katika hili basi huo ni unafki): Hizo karma mnazotaja kumtisha nan? Kwamba nyie hamtakufa au!
Hatutaki msamaha wowote ule! Yule mama aliomba kijana wake asamehewe mpaka akamwaga machozi lakini watu wakakaza shingo, leo amefariki kwa kukosa huduma ndio watu waombe msamaha? HAKUNA ABAKI HUKO NA LI MSAMAHA LAKE!
 
Sheria lazima ifuate mkondo wake, kipindi cha neema kilitolewa na kiliisha.
Tuziachie mamlaka husika ziamue!
Tanzania inaongozwa kwa haki, taratibu, sheria na demokrasia.
Kiasi upo sawa mkuu ila kwa swala la Demokrasiaaaaa! hapana na siafiki kama ipo Tanzania hii, over.
 
Kaka Paskali vipi? Unasema unamfahamu vizuri mwandishi Kabendera kama mwadishi wa habari halafu unaongelea kwa kirefu wasifu wako mpaka kufikia kuwa mwandishi wa habari huku ukiacha kuelezea kiundani wasifu wa Kabendera kama mwandishi wa habari.

Hiyo nayo ni fursa mkuu,

Pascal hajakosea naamini maana kikubwa hapo kilikua ni kumwombea tu Kabendera msamaha.
 
Ila kila mtu ataonja mauti.

Hii haina tofauti na mgonjwa anahitaji chakula na hapo hapo unakila chakula hicho na yeye anakufa.
so sad.

Hata akifanya hivyo ni aibu, aache hivyo hivyo.

Ni sawa na mtu anaumwa hapewi dawa wala matibabu, ila akifa ndiyo matarumbeta, makamera , maturubahi nk.
So sad, so sad, so sad.
Mi naamini namba moja keshachelewa maana angerespond kabla mama Kabendera hajafa ndo ingemletea hesima sana na hamasa zaidi.
 
Back
Top Bottom