Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Kwa sasa Habari ya mjini ni MARIOO na PAULA ambao wapo kwenye mapenzi shata shata.
Paula ambaye ni mtoto wa Mastaa wawili Bongo Kajala Masanja na mtayarishaji wa muziki wa Bongo Fleva P-FUNK Majani aliwahi kuhusishwa na penzi la Rayvanny.
Siku za hivi karibuni amenasa kwa Staa wa Hits kali Marioo ambaye ni mmiliki wa Label ya BAD NATION ambaye naye aliwahi kutrend kwenye midomo ya watu na mitandao ya kijamii kuhusishwa na penzi la Mimi Mars.
Paula ambaye ni mtoto wa Mastaa wawili Bongo Kajala Masanja na mtayarishaji wa muziki wa Bongo Fleva P-FUNK Majani aliwahi kuhusishwa na penzi la Rayvanny.
Siku za hivi karibuni amenasa kwa Staa wa Hits kali Marioo ambaye ni mmiliki wa Label ya BAD NATION ambaye naye aliwahi kutrend kwenye midomo ya watu na mitandao ya kijamii kuhusishwa na penzi la Mimi Mars.