Penzi la daktari tamu jamani

Penzi la daktari tamu jamani

Mume wa mtu huyo...wee iba tu ila usidakwe maana mkewe ni nesi mdunga sindano

Aaaahhhh waaapiii Tized yuko single free to mingle acha kuniletea habari ambazo hazipo
 
Last edited by a moderator:
Angalau she is open na her lifestyle.......hajaribu kujifanya a saint......love her or hate her...she is just her


Kaka yangu uli mhola, wa milhemo.........
You have known Kasinde for good, what you tell Nyani Ngabu is naked true
 
Last edited by a moderator:
Mmmh hatari, dr kakamatwa


Sio tu kakamatwa au Doctor kakamatika, ni kuwa tumekamatana, chezea penzi la doctor wewe, akikupima na ile poima kifua ile halafu yeye anasikilizia masikioni............................. acha kabisa
 
Basi sawaaaaa!!!

Ngoja tusubirie sredi nyingine tena bi mkubwa...

Kumbe siku zote hizo na ujanja wako wote huo hujajua the way Kasinde alivyo, poleeeee. FYI Kasinde haloweshi kyupi kwa kuwazimikia mapicha ya watu wa majuu mie huwa na crush live kama tangu day one nimekuwa nikileta crush zangu humu. Tized nilicrush nae na hapa tunaendeleza libeneke la kupeana maraha tuu, in other words Tized is my Doctor over all doctors, he has never been there before, he knows how to care his patient who is me, he knows how to measure the dose according to my weight aaaahhhhh kumbe mpenz alishanikataza kusimulia wacha niishie hapo yaani, the day nimecrush nae Tized kyupi yangu haikulowa tuu, ilidondoka since then ni.....:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
 
.wanaume tuna shida..kazi kula leftovers !!


Utajibeba, poleee kwa kupata makombo, Tized anakula fresh salad kila siku aombe nini tena kama si uzima looh
 
Last edited by a moderator:
I'm ready to make it rain on you. Question is, are you ready?

You what!!! rain on me!!!!..........question!!!?? ..... ready!!?

You think you can do that to Kasinde?!! she is more than nasty and if you think to rain on me get ready and prepared to cry. Ushawahi muona mwanaume anatoa chozi, to Kasinde you will cry for sure, na utatoa machozi kweli better not offer that invitation to treaty looh!!
 
You what!!! rain on me!!!!..........question!!!?? ..... ready!!?

You think you can do that to Kasinde?!! she is more than nasty and if you think to rain on me get ready and prepared to cry. Ushawahi muona mwanaume anatoa chozi, to Kasinde you will cry for sure, na utatoa machozi kweli better not offer that invitation to treaty looh!!

If you stay ready, you ain't gotta get ready.

So I'm more than ready for you.

Just bring your A game coz Imma bring it like nobody's business.
 
If you stay ready, you ain't gotta get ready.

So I'm more than ready for you.

Just bring your A game coz Imma bring it like nobody's business.

OK this game aint official rather a draft, ukijikuta unatoa chozi uyafute tuu kimya kimya maana ukitoa na sauti utanijazia umati hapa, Kasinde mnyamwezi ujue, mizigo mizito ndo sifa kuu ya wanyamwezi...............
 
hakikisha Kasinde hachomoki tena shem umkoleze viungo lol

Nichomoke niende wapi tena ndugu yangu, yaani Tized doctor wangu anavyo nikorombezea hata hao wanaonisumbua sumbua humu siwaoni, crush zote tupa kuleeeee najikuta tuu katikati ya ibada ile nasema SHKAMOO Tized....................!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom