Penzi la daktari tamu jamani

Penzi la daktari tamu jamani

dyyhhh, kweli hapa town. Tized ukikubali hilo jina la 1 and only hiloooo, ntakuwa na shaka. maana limekuja baada ya booongeeeee ya list

naona unakuja kwa speed, unaziweza crush lakini? We ulitaka Tized kuitwa mganga? mapenz kuremba bana hata wema sepetu unafikiri bila kuremba sauti ile wanaume wangembabaikia walau waingize kichwa tuu. Kuremba kunanogesha penz we ongea na mpenz wako halafu uwe kavu kavu uone anahamia airtel na kukuachia manyoya, akifika huko kitu lainiiiiii nyorororororoooooo
 
Last edited by a moderator:
kweli mnyamwezi mwezangu kawa JAMVI LA WAGENI mpaka arudi TZ katakua kamesha regea kwa kushugulishwa na mibabu ya kiniga

kumbe na wewe ni mbeba mizigo mizito, mwangaluka
 
Hapana chedhea. Mwenyewe wa kwangu na doctor, uuuwiiih. He drive me crazy ooooh

umeona eeehhh, hakuna kitu nainjoy kwa doctor wangu Tized zaidi ya pale tuki wa consultation room anapoanza kuni examine loohh najikuta tuu namwambia doctor na hapa basi anaendelea.. na hapa............. anakuja ....................mie niko doctor na huku......................... daaahhh!!! kudadadeki walaaaahh!!! acha kabisaaaa isikilizie tuu utamu wake
 
Last edited by a moderator:
umeona eeehhh, hakuna kitu nainjoy kwa doctor wangu Tized zaidi ya pale tuki wa consultation room anapoanza kuni examine loohh najikuta tuu namwambia doctor na hapa basi anaendelea.. na hapa............. anakuja ....................mie niko doctor na huku......................... daaahhh!!! kudadadeki walaaaahh!!! acha kabisaaaa isikilizie tuu utamu wake

Hatar zaid paleee anapokupa doz.. uuuuwiii he drive me crazy oooooh...he just choose what to give t to u in by which grams..huwa hwazdish wala hawapunguz.. my doc iz ma everything oooooh
 
Last edited by a moderator:
Yeah!!! Please Enjoy kan'tangaze !!! Satisfaction is warranted and guaranteed. Si unaona Kasinde kaweka majeshi yoote chini!!!! chezea!!!! hahahahaha!!!


Storm in my pains with his finger, singing my life with his song,
Killing me softly with his song, killing me softly with his words,
Telling my whole life, with his song killing me softly....
With his words................... oooooooohhh oooohhhhh................... Tized you rock baby!!
 
Last edited by a moderator:
Wee Kasinde! acha kutamani mme wa mtu,unajua mke wake yupo humu jf,usituletee balaa mwanzoni mwa wiki.
 
Last edited by a moderator:
Wengine tupo kwa wakoloni ati... na tumechomekea viwalo vyetu na tai zetu kulikoni unaongea maneno tamanishi hivyo!!!!! hujui inaweza athari VIMBISHI baadhi ya viungo?
Hatar zaid paleee anapokupa doz.. uuuuwiii he drive me crazy oooooh...he just choose what to give t to u in by which grams..huwa hwazdish wala hawapunguz.. my doc iz ma everything oooooh
 
Wengine tupo kwa wakoloni ati... na tumechomekea viwalo vyetu na tai zetu kulikoni unaongea maneno tamanishi hivyo!!!!! hujui inaweza athari VIMBISHI baadhi ya viungo?

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. .poooleeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom