Penzi la daktari tamu jamani

Penzi la daktari tamu jamani

Good luck binti Tized..!!!
..mie nataka kula ubwabwa..

nenda mtaa wa swahili na mtaa wa narung'ombe kuna maulid hapo, uende na pilipili, ndizi, toothpick, opena ya kufungulia soda na kichupa kidogo cha maji ya kunawa. Utakula ubwabwa huko hadi uzimie, BYE!!!
 
Nidanganye danganye tu... Ukiniambia ukweli mie ntaumia ...........!!!!!!!!! hahahahaaaaa Na wewe ni muumini mmoja wapo eeh!!!!!

walaaaaaa, mie mtoto mtiifu kabisaaaa, shaka ondoa.
Kwangu list hakuna teh teh 'via self promo'
 
nenda mtaa wa swahili na mtaa wa narung'ombe kuna maulid hapo, uende na pilipili, ndizi, toothpick, opena ya kufungulia soda na kichupa kidogo cha maji ya kunawa. Utakula ubwabwa huko hadi uzimie, BYE!!!
Sawa binti popo..Ouuuups!!
Tabia ni ngozi lakini, lols..!
 
''The hardest things to choose in life are Career and a Perfect Wife'' Why Mkuu?

kweli mkuu huu ni utafiti wangu binafsi ingawa sina chapisho lolote, wengi tumechukua au kuchagua career ambazo hatukuwahi kuzifikiria, tumejikuta tukiangukia huko tu bila kutegemea kutokana na hali za maisha. Matokeo yake hatuko productive katika kazi zetu, hapa nazungumzia general pengine hata mimi nimo ktk kundi hili.

Pia mke ni kazi sana kuchagua, wengi tunakimbilia wanawake wenye sura nzuri na maungo ya kuvutia, kumbe siyo.

Hivyo ktk kila chaguo unalotaka ni bora kumtanguliza Mungu akuongoze, upate chaguo zuri. Maana uzuri wa nje siyo ule wa ndani na hasa kwa mke.
:hail:
 
Nakubaliana na wewe Mkuu mpasuajipu99 uko sahihi kabisa.

Mimi mwenyewe kutoka ndani ya moyo wangu nilitamani sana kuwa engineer lkn haikuwa.... lakini hadi leo japo niko kwenye mchepuo mwingine nina passion sana na hayo mambo....

Kwenye swala la kuona, Tumhusishe sana Mungu mkuu, maana Yeye mwenyewe anasema Mke mwema Yeye pekee ndiye awezaye kumuona kwa maana yeye huichunguza mioyo na nia za wanadamu (Ambayo sisi hauwezi hiyo) lakini pia amepanga maisha yetu kabla... so anajua ili plan aliompangia mtu fulani ikamilike.. lazima amuunganishe na fulani etc etc

kweli mkuu huu ni utafiti wangu binafsi ingawa sina chapisho lolote, wengi tumechukua au kuchagua career ambazo hatukuwahi kuzifikiria, tumejikuta tukiangukia huko tu bila kutegemea kutokana na hali za maisha. Matokeo yake hatuko productive katika kazi zetu, hapa nazungumzia general pengine hata mimi nimo ktk kundi hili.

Pia mke ni kazi sana kuchagua, wengi tunakimbilia wanawake wenye sura nzuri na maungo ya kuvutia, kumbe siyo.

Hivyo ktk kila chaguo unalotaka ni bora kumtanguliza Mungu akuongoze, upate chaguo zuri. Maana uzuri wa nje siyo ule wa ndani na hasa kwa mke.
:hail:
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom