Penzi la daktari tamu jamani

Penzi la daktari tamu jamani

Hahahahaaaaa!!!! anaonekana aisee... Siachi kucheka kila nikimkubuka eti ''saying you love me makes me feel at 9....'' huku anasema ''kam thisi wei eehh'' Huwa napenda sana genuine funny comments kama izo.. zinanivunjaga mbavu kuliko zile za kupredict!!!

the fella is so funny,
he is one of the guys you wont miss laughing when he is around.
 
Shem Excel amejisalimisha, alikua anatania kumbe!!! Hope weekend iko fresh sana

My dear everlenk ndio niko kwenye maombi ya mnyororo kukemea wale popo anaosemaga!!! Hope she has finally landed!!!
Zali la mentari Tized,hongereni na Kasinde wako hope utamtuliza.
Kaizer ana taarifa zaidi juu ya hili.
Uliyemfuata marekani amekutosa?

Bariiiida braza, Its long time mkuu!!! Salama lkn?
Tized blaza habari yako binafsi bwana....!?
 
Last edited by a moderator:
Yuko hapa, anakusalimu pia kaka. Thanks!!!!

good-night-candle-smiley-emoticon.gif
 
Sitishiki mimi sibabaiki, niko fresh na niko fit, nili naye Tized hachukuliki, hata mkiwa na mamluki, oooh Tized wangu raha iliyoje week end yote full kula raha hapa niko mwepesiiiiiiii bariiidaaa
 
Last edited by a moderator:
Not a single second have passed without missing you!!!!
Sitishiki mimi sibabaiki, niko fresh na niko fit, nili naye Tized hachukuliki, hata mkiwa na mamluki, oooh Tized wangu raha iliyoje week end yote full kula raha hapa niko mwepesiiiiiiii bariiidaaa
 
Kumbe siku zote hizo na ujanja wako wote huo hujajua the way Kasinde alivyo, poleeeee. FYI Kasinde haloweshi kyupi kwa kuwazimikia mapicha ya watu wa majuu mie huwa na crush live kama tangu day one nimekuwa nikileta crush zangu humu. Tized nilicrush nae na hapa tunaendeleza libeneke la kupeana maraha tuu, in other words Tized is my Doctor over all doctors, he has never been there before, he knows how to care his patient who is me, he knows how to measure the dose according to my weight aaaahhhhh kumbe mpenz alishanikataza kusimulia wacha niishie hapo yaani, the day nimecrush nae Tized kyupi yangu haikulowa tuu, ilidondoka since then ni.....:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

Teh teh teh!!! Utaishia kulowesha chupi tu kama ambavyo wadada wengi chupi zinavyowaloa kwa huyu jamaa hapa down:

morris-chestnut-14_240x340_13.jpg
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom