Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Bado kidogo sana kama miaka 60 ivi... Wageni kama wewe wa mara moja moja na mnakaribishwa hadi ndani!!! hahahaaaa!!!!
Hivi Kasinde na Tized hawaja achana tu
Hivi Kasinde na Tized hawaja achana tu
the fella is so funny,
he is one of the guys you wont miss laughing when he is around.
huyu Excel huyu
Kaizer ana taarifa zaidi juu ya hili.
Uliyemfuata marekani amekutosa?
Tized blaza habari yako binafsi bwana....!?
Unapenda dude za doctor eeeh
Hahahaaa.. imebidi nijichekee tu!!!! itabidi uniPM afu niliweke apa
Msalimie kasinde.
well done maisha kuchukuliana .''The hardest things to choose in life are Career and a Perfect Wife'' Why Mkuu?
Teh teh teh!!! Utaishia kulowesha chupi tu kama ambavyo wadada wengi chupi zinavyowaloa kwa huyu jamaa hapa down:
![]()
Pamoja na kula ujana kwangu kote hapa nimeweka kituo. Hebu muangalie alivo handsome, hasa hizo mvi ndo zinanimaliza Kasinde mie.
Tized...!!! Bodaboda man you rock baby. Tabasamu la kuibia...... daaahView attachment 179424View attachment 179424