Penzi la daktari tamu jamani

Penzi la daktari tamu jamani

Nilidhani unafahamu ''Ngatara'' ni nini!!! kama hufahamu huwezi unganisha uelewe nilchokua nakusudia uelewe au hakitakua na uzito niliokusudia!!!! Cheers miss ngatara !!!!!

Hili jina la ngatara ni jina la utan alilokuwa anatumia baba yangu, bahat mbaya alikuwa nikiwa mdogo ila jina limebaki tena maarufu lakin sijui maana yake ,niambie maanake kaka
 
Last edited by a moderator:
Ooohh!!! nimekuPM ...Sijui kama asili yake ni sawa na nayoijua mimi... Kama vivyo majina yana impact kubwa sana kwenye maisha ya mlengwa.... Haswa yalio negative... ie matatizo, shida, kazibure, n.k... Si unajua tupo hivi tulivyo kutokana na vile tunavojisemea na kujiona ndani mwetu pia watu wanayotunenea!!! So kuna nguvu kubwa sana sana kwenye majina yetu!!!

Kama ndio aslili yake na umekua ukiitwa hivyo.. am very curious kusikia vitu vichache vinavyoambatana nawe... Ntakucheki PM.
Hili jina la ngatara ni jina la utan alilokuwa anatumia baba yangu, bahat mbaya alikuwa nikiwa mdogo ila jina limebaki tena maarufu lakin sijui maana yake ,niambie maanake kaka
 
kweli mnyamwezi mwezangu kawa JAMVI LA WAGENI mpaka arudi TZ katakua kamesha regea kwa kushugulishwa na mibabu ya kiniga
 
Pls get prepared... naomba uniPM majina yako matatu nakuandikia cheque (check) ya vidolari vya kula maisha!!! ukishindwa ntaandika tu ''PAY BEARER'' haina neno utaupata huo mpunga
hapo sawa ukishamaliza mchakato nishtue nije kutibiwa
 
Umesahau tena Kasinde kanasa apa!!!! Ntuzu mkumbushe ndugu yako maana mwanzoni naye alikua kwenye list!!!!

Am also kidding in all senses!!! Easy Bro... Nimewamisi sana sato wa Vila Park!!!! Ntaibuka soon!!!!
Mkuu hivi ni wewe ndo mlengwa? aisee excel didnt know a thing...

By the way, it was a joke to Nyani Ngabu...
Mr Rocky kuja huku wacha kurara rara tu...
Tized take it as a joke! sawa daktari?
 
Last edited by a moderator:
Pls get prepared... naomba uniPM majina yako matatu nakuandikia cheque (check) ya vidolari vya kula maisha!!! ukishindwa ntaandika tu ''PAY BEARER'' haina neno utaupata huo mpunga

Okey am coming baby u know i love u more than Kasinde
 
Last edited by a moderator:
Yeah!!! Please Enjoy Kan'tngaze !!! Satisfaction is warranted and guaranteed. Si unaona Kasinde kaweka majeshi yoote chini!!!! chezea!!!! hahahahaha!!!

Hapana chedheya aiseee. Doctor wangu ndo kanimalza kabisaaaa. Sina habari na wengne aisee. My doctor, my health aisee
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom