Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Ndo namwakilisha huku black continent!!!!
Khah! Dr. Benjamin Carson, Brain Surgeon.
Khah! Dr. Benjamin Carson, Brain Surgeon.
Ni dokta wa binadamu tena bingwa sio dokta tokta tuu pia yuko fit kwenye mapenz, mkiona body structure yake sasa ndo mtashaa, yuko msweet....
Charger ya kobe, battery aina zote - Sony, Nokia, Samsung, LG, BalckBerry, Zte, Acer, Bird, Ericsson, Lenovo, Motorola you name it kasoro iPhone tu
Napita...
Kasinde penzi jipya linakuzingua, ukweli wa kunasa huwa haupimwa kwa kungonoka ila unatoka uvunguni mwa moyo wa mtu, kwasasa ngonokeni weeee then tupe matokeo baada ya mwaka yaani mrejesho wa thread yako na dr wako wa ngono.
Pamoja na kula ujana kwangu kote hapa nimeweka kituo. Hebu muangalie alivo handsome, hasa hizo mvi ndo zinanimaliza Kasinde mie.
Tized...!!! Bodaboda man you rock baby. Tabasamu la kuibia...... daaahView attachment 179424View attachment 179424[/QUOTE?}
Huyu ni Dr Ben Carson ,Pediatric neurosurgeon of america now he is retired ,,,,,,don't lie to us
Pamoja na kula ujana kwangu kote hapa nimeweka kituo. Hebu muangalie alivo handsome, hasa hizo mvi ndo zinanimaliza Kasinde mie.
Tized...!!! Bodaboda man you rock baby. Tabasamu la kuibia...... daaahView attachment 179424View attachment 179424
Kasinde Kasinde Kasinde....do you want to end up being high mileage sexual vehicle?
I got a good news here!!
mkuu tecno umezisahau
Pamoja na kula ujana kwangu kote hapa nimeweka kituo. Hebu muangalie alivo handsome, hasa hizo mvi ndo zinanimaliza Kasinde mie.
Tized...!!! Bodaboda man you rock baby. Tabasamu la kuibia...... daaahView attachment 179424View attachment 179424