Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!

Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!

John Daniel


HALI ya vitisho imeendelea dhidi ya baadhi ya viongozi wa dini nchini, ambao wamejitokeza kufichua siri za magenge yasiyo na maadili kitaifa yanayoendeshwa kwa ushirikiano kati ya baadhi ya viongozi na wafanyabiashara wa dawa za kulevya, Raia Mwema, imeelezwa.


Mimi nafikiri hapa ndio penye kujadiliwa kwani wale wanaotoa vitisho ni lazima wajulikane na watambuliwe.

Pili hao viongozi wa dini ambao labda mzee Pengo ni mmojawao pia ni lazima wajulikane.

Halafu ndio tufahamu juu ya magenge hayo ambao yanafanya hizo shughuli za uuzaji na usambazaji wa hayo madawa na madudu mengine yasiyo na maana ambayo yanaondoa kabisa neno maadali kwenye jamii yetu.

Utaratibu huu ukifuatwa hapatakuwa na haja ya majadiliano kama haya ambayo yanakuwa yakizungukazunguka.

Biashara ya madawa ya kulevya inalipa sana na bado kuna magenge yanajishughulisha na biashara hiyo haramu duniani na inafanywa kwa uangalifu mkubwa sana.
 
Utaratibu tuliojiwekea ni kwamba mtu ukitajwa tajwa basi unatakiwa kujivua gamba. Kwa hiyo Mhashamu Polycap Kardinali Pengo ametajwa tajwa kwenye madawa ya kulevya basi hana budi kujivua gamba asiendelee kulichafua kanisa la la mungu.
Mwenyezi Mungu akulaani.
 
Haswaa,wala hujakosea! Wangapi wanamkumbuka Leonard Bhonke mhubiri wa kimataifa? Alikuwa anakusanya maelfu ya watu viwanja vya wazi,pia alihubiri live kwenye radio na tv akiwa uwanjani,lakini akanaswa na shehena ya madawa ya kulevya. Kikwete kwenda kuwaambia maaskofu kuwa viongozi wa dini waache kuuza madawa ya kulevya we unadhani alikurupuka? Na alipopewa masiku ili akanushe au adhibitishe na yeye kukaa kimya ulidhani yeye *****? Alijua akiwasema hadharani kuwa ni fulani na fulani hali ya nchi itakuwa hatarini kwani watu wa madawa hujipanga kwa njia zote. Mfano ikipangwa JK auwawe,na mpango ukafanikiwa basi ujue yale ya Rwanda yatakuja Tanzania lakini itakuwa baina ya Waislam na Wakristo.

Sikubaliani na hoja hii ya waislam na wakristu, kwa Tanzania hautakuwepo wakati ambao watu watauwana kwa sababu ya kumwamini Yesu au Mohamed. Mtu mwenye jina la kikristu anaweza kumuua mtu mwenye jina la kiislam kwa sababu zake zisizo muhusisha Yesu au Mohamed na kinyume chake. Tumepiga hatua ya kutosha katika eneo hili, tuko mbali sana. Wanaodhani sipo tofauti za kidini zinazoweza kuhatarisha maisha ya binadamu, hawawatendei haki watanzania.
 
wewe unajua sheria?
polisi hawakamati kila mtu wanaeambiwa ni mhalifu
lazima wawe na taarifa na ushahidi wa kukubalika mahakamani....
ndo maana wapo majambazi wakubwa wa ki mafia marekani
walikuwa hawamatwi ingawa wanajulikana wanachokifanya....
fuatilia historia za kina JOHN Gotti na AL Capone na wengineo akina Lucky Luciano....
Unaongelea POLISI ipi? ya Mwema? inayochunguza USAFI wa chenge? Usafi wa Lowasa? Polisi hii tunayoijua ndo unaipa matumaini na imani hiyo?
 
Kaka tafadhali tusiende huko. Kila unapoona kanisa ni zao la michango ya waumini wa eneo hilo na sio makao makuu ya kanisa. Kwa kifupi sio kazi yako kujua namna gani kanisa linatumia fedha zake kama ambavyo si kazi yangu kujua kwa nini mna misikiti ya ghorofa bila shule ya maana. Hutasema nakukejeli nikikuuliza kwa nini hawa wanaowajengeeni misikiti kwenye vituo vya mafuta hawawajengei na shule na hospitali?

Hapa naomba tujadili juu ya nini serikali inapaswa kufanya inapogundua clues za uhalifu; kuweka mtego na kumnasa mhalifu au kutangaza.

Ni nini serikali ifanye inapokuwa na hakika kama Lowassa ni fisadi: Imfungulie mashtaka mahakamani kwa makosa yake au ijisemeshesemeshe kwenye vikao vya NEC bila kuchukua hatua.

Kweny matumizi na mipango ya kanisa ni nje ya mada.


Hapa naona unalenga kuwa kanisa linajenga shule na mahospitali, HUO NI UZUSHI ! tunasikia makanisa yanapata ruzuku ya tsh BILLION 91 KWA MWAKA ! KWA AJILI YA KUIPA KANISA ! na ni mkataba uliopo katika ya kanisa na serikali na ndio kitu leo waislamu nao wanalilia wapewe hizo ruzuku nao wajenge mashule na hospitali!

Nani kakwambia hao wanaowajengea waislamu misikiti wanashindwa kujenga mashule na hsopitali?

Waislamu wamelilia kuingia katika soko la jumuia ya kiislamu wamezuiwa na mpiga kelele ni KANISA.

Tumeshuhudia majina mengi ya watu wengi yanayo saidia waislamu wajikomboe kutoka katika umasikini kwa kuleta misaada wakisemwa ni "MAGAIDI" ...

KIla muislamu wa nchi za mashariki au popote mradi jina lake limekaa kiislamu na mradi anapeleka misaada kwa waislamu ANAITWA GAIDI NA MARA MOJA jina hilo litatumwa kila benki KUFREEZE ACCOUNT HIYO !

usibwabwaje tu ,na hilo la kusema RAis amekurupuka ni upuuzi ! Rais mzima na akili zake hawezi kusimama akasema kitu ambacho hana uhakika nacho ! MMESHIKWA PABAYA!

Yeye kwanini asingoje kwanza wamshitaki na tu atoke akurupuke ! na kama ana siri kwanini ASIZITOE WOTE SISI TUSIKIE! Maana zitaleta manufaa makubwa sana kwetu Watanzania bila kujali dini wala rangi!

NAdhani imefika wakati sasa haya madawa ya kulevya yapigwe marufuku na wanaoingiza awe muislamu au mkristo wakamatwe na kufunguliwa mashitaka mazito kabisa. kwa kuwa watoto wengi wanaharibika!
 
Mhashamu Kardinali siku zote amekuwa akisema ukweli. Kwa hiyo serikali hawapendi kuambiwa ukweli. Ukiwaambia kuwa hali ya uchumi ni mbaya kwa sababu ya uongozi feki wao wanakasirika wanataka sifa za kichinga. Kardinali pengo usirudi nyuma hata kama watatumia mbinu za umafia kukubambika hayo madawa hawataweza. Unavijana wengi wanaokupenda. Wakitumwa kuja kudhuru hawatafanya hivyo. Watakupa taadhari mapema. Mungu yu pamoja nawe.
Hii hbr imepangwa na kikundi kdg cha watu, na wamelitumia gazeti la Habari leo ambalo chuki yake dhidi ya kanisa katoliki ilidhihirika tangu sakata la Sumbawanga. CCM wameamua kufanya mchezo wa devide and rule, lakini kuna siku watajuta.
 
Pengo anasema kaiona list ya wauza unga nae yumo, but anadai kabambikiwa ili kumtuliza. hebu mtujuze great thinkers

=======
UPDATE
=======


Kufahamika kuwa Pengo anashiriki moja kwa moja katika biashara ya madawa ya kulevya, usalama ililifahamu hili muda mrefu. Tena si inteljensia ya Tanzania tu bali uko uthibitisho toka interpol.

Huhitaji kuzijua dawa za kulevya ili ufanye biashara hiyo, hujashutumiwa kwa kutumia madawa ya kulevya bali kuuza. Niliwahi kufanya biashara ya dhahabu bila kufahamu malighafi ya dhahabu yanafananaje kwani hiyo ilikuwa shughuli ya wataalamu niliowalipa kwa ajili ya kazi hiyo. Nilichokuwa najua ni kwamba tofauti kati ya bei ya mgodini na kule ninakuiuza ilinipa faida kubwa. Hili ndio lengo langu. Leo hii nimenunua hisa za kiwanda cha utengenezaji Vipuli vya meli bila ya kukifahamu kipuli hata kimoja cha meli.

Kwa hiyo utetezi wake kuwa hayo madawa hayafahamu bado hautoshi, anachotakiwa ni kuachana na biashara hiyo aidha moja kwa moja au kupitia wakala wake. Kuendelea na biashara hii mwisho wake si mzuri. Hata hivyo niewahi kuwasikia waliobobea katika biashara hiyo kuwa , ukiianza biashara hiyo huwezi kuiacha hata kwa kushikiwa bunduki. Uchaguzi ni wa Kardinali Pengo kusuka au kunyoa.
 
anachotakiwa ni kuachana na biashara hiyo aidha moja kwa moja au kupitia wakala wake. Kuendelea na biashara hii mwisho wake si mzuri. Hata hivyo niewahi kuwasikia waliobobea katika biashara hiyo kuwa , ukiianza biashara hiyo huwezi kuiacha hata kwa kushikiwa bunduki. Uchaguzi ni wa Kardinali Pengo kusuka au kunyoa.
Uchaguzi si wa Pengo we Ngoda mbovu!

Uchaguzi ni wa JK kuwachukulia hao watu hatua ze kisheria, acheni ujinga.
 
Mhashamu Kardinali siku zote amekuwa akisema ukweli. Kwa hiyo serikali hawapendi kuambiwa ukweli. Ukiwaambia kuwa hali ya uchumi ni mbaya kwa sababu ya uongozi feki wao wanakasirika wanataka sifa za kichinga. Kardinali pengo usirudi nyuma hata kama watatumia mbinu za umafia kukubambika hayo madawa hawataweza. Unavijana wengi wanaokupenda. Wakitumwa kuja kudhuru hawatafanya hivyo. Watakupa taadhari mapema. Mungu yu pamoja nawe.

Mbona pengo alishindwa kusema ukweli wakati Mkapa yupo madarakani? juu ya watu kupiga kelele ufisadi mkubwa aloufanya?
 
oooohooo alaaniwe vipi? mlisema Rais kakalia majina aliyopewa,yupo Mbowe pia,sasa wakamatwe? acheni siasa majitaka nyie,hii biashara haina dini,chama wala rangi ya mtu. ni tatizo la dunia nzima,sasa mnaitumia hii kwenye siasa ndio maana wanatajwa watu kama Muadhama hapo, inakuwa mchezo wa attack and defend
Mwenyezi Mungu akulaani.
 
mlisema Rais kakalia majina aliyopewa,yupo Mbowe pia,sasa wakamatwe? acheni siasa majitaka nyie,hii biashara haina dini,chama wala rangi ya mtu. ni tatizo la dunia nzima,sasa mnaitumia hii kwenye siasa ndio maana wanatajwa watu kama Muadhama hapo, inakuwa mchezo wa attack and defend
Uchaguzi si wa Pengo we Ngoda mbovu!

Uchaguzi ni wa JK kuwachukulia hao watu hatua ze kisheria, acheni ujinga.
 
Utaratibu tuliojiwekea ni kwamba mtu ukitajwa tajwa basi unatakiwa kujivua gamba. Kwa hiyo Mhashamu Polycap Kardinali Pengo ametajwa tajwa kwenye madawa ya kulevya basi hana budi kujivua gamba asiendelee kulichafua kanisa la la mungu.

Aanze Lowasa then JK kwenye list of shame
 
Haswaa,wala hujakosea! Wangapi wanamkumbuka Leonard Bhonke mhubiri wa kimataifa? Alikuwa anakusanya maelfu ya watu viwanja vya wazi,pia alihubiri live kwenye radio na tv akiwa uwanjani,lakini akanaswa na shehena ya madawa ya kulevya. Kikwete kwenda kuwaambia maaskofu kuwa viongozi wa dini waache kuuza madawa ya kulevya we unadhani alikurupuka? Na alipopewa masiku ili akanushe au adhibitishe na yeye kukaa kimya ulidhani yeye *****? Alijua akiwasema hadharani kuwa ni fulani na fulani hali ya nchi itakuwa hatarini kwani watu wa madawa hujipanga kwa njia zote. Mfano ikipangwa JK auwawe,na mpango ukafanikiwa basi ujue yale ya Rwanda yatakuja Tanzania lakini itakuwa baina ya Waislam na Wakristo.

Heeee! We Bornvilla wewe! Ni kweli Leonard Bhonke alikamatwa na haya makitu! Tafadhali thibitisha ni lini na wapi? Ni TZ hii hii yetu au wapi.
Tafadhali fafanua kabla maombi ya FIRE hayajaanza kwa kumchafua mtumishi wa Mungu.
Kuhusu Mhe. Pengo nina hakika KANISA katoliki litatoa maelezo juu ya hili. We shall know the TRUTH and the TRUTH shall set us free.
Bila KUJALI dini zetu, tuungane kukemea suala hili la madawa ya kulevya. Nani anataka Mwanae awe teja? God forbid. Watoto wetu watafundishwa na Bwana na AMANI yao itakuwa KUBWA.

Queen Esther
 
Kwani nani au chombo kipi kimemtaja? Kiwekwe wazi chombo kilicho mtaja na kibainishe kwa ushahidi kuhusika kwake.
Simtetei,lakini kwa sasa uhasama wa kanisa ni mkubwa mno,hivyo ni vyema na kwa maslahi ya watanzania,hao waliomtaja waweke ushahidi wao wazi ili ikibainika hatua zichukuliwe.
 
Inawezekana kweli anasingiziwa ili afunge domo asiwaseme mafisadi. lakini hao wanaomsingizia nia akina nani serikali au?
Kwa hali hii,kila atakayetajwa naye atadai amesingiziwa!:focus:
 
Utaratibu tuliojiwekea ni kwamba mtu ukitajwa tajwa basi unatakiwa kujivua gamba. Kwa hiyo Mhashamu Polycap Kardinali Pengo ametajwa tajwa kwenye madawa ya kulevya basi hana budi kujivua gamba asiendelee kulichafua kanisa la la mungu.

CCM ni chama cha Kiislam na thisi time kimerudi ktk roots zake....nadhani wantangaza vita na catholics....wauza unga wengi na biashara haramu ni waislam walioiweka serikali ya JK mfukoni n wanachofanya ni kufanya km walivyo mfayia mtoto wa Mengi..Sijui kwani JK hakubali wekeza ktk hii shameful scheme km enzi ya mwinyi.....Ima akili inatosha kuwamaliza hawa jamaa.....akili inatosha kuwafanay wabwabwaje tuu..soona CCM wataanza wabambika CDM halafu bil aaibu gaidi kova ajifnaya nawajibika....Mtikila was right....
 
CCM ni chama cha Kiislam na thisi time kimerudi ktk roots zake....nadhani wantangaza vita na catholics....wauza unga wengi na biashara haramu ni waislam walioiweka serikali ya JK mfukoni n wanachofanya ni kufanya km walivyo mfayia mtoto wa Mengi..Sijui kwani JK hakubali wekeza ktk hii shameful scheme km enzi ya mwinyi.....Ima akili inatosha kuwamaliza hawa jamaa.....akili inatosha kuwafanay wabwabwaje tuu..soona CCM wataanza wabambika CDM halafu bil aaibu gaidi kova ajifnaya nawajibika....Mtikila was right....

Wacha kuropoka kijana!
Chadema ni pure GALATIANS. NA CCM wamechangia sana huo MFUMO KRISTO!

Na huyo Mgalatia mwingine mtikila nae ni uchuro tu!
Yaani wagalatia wametapaa kama panya mtaani!
LKN haya yana mwisho! We are watching you!
 
Back
Top Bottom