Hapa naona unalenga kuwa kanisa linajenga shule na mahospitali, HUO NI UZUSHI ! tunasikia makanisa yanapata ruzuku ya tsh BILLION 91 KWA MWAKA ! KWA AJILI YA KUIPA KANISA ! na ni mkataba uliopo katika ya kanisa na serikali na ndio kitu leo waislamu nao wanalilia wapewe hizo ruzuku nao wajenge mashule na hospitali!
Nani kakwambia hao wanaowajengea waislamu misikiti wanashindwa kujenga mashule na hsopitali?
Waislamu wamelilia kuingia katika soko la jumuia ya kiislamu wamezuiwa na mpiga kelele ni KANISA.
Tumeshuhudia majina mengi ya watu wengi yanayo saidia waislamu wajikomboe kutoka katika umasikini kwa kuleta misaada wakisemwa ni "MAGAIDI" ...
KIla muislamu wa nchi za mashariki au popote mradi jina lake limekaa kiislamu na mradi anapeleka misaada kwa waislamu ANAITWA GAIDI NA MARA MOJA jina hilo litatumwa kila benki KUFREEZE ACCOUNT HIYO !
usibwabwaje tu ,na hilo la kusema RAis amekurupuka ni upuuzi ! Rais mzima na akili zake hawezi kusimama akasema kitu ambacho hana uhakika nacho ! MMESHIKWA PABAYA!
Yeye kwanini asingoje kwanza wamshitaki na tu atoke akurupuke ! na kama ana siri kwanini ASIZITOE WOTE SISI TUSIKIE! Maana zitaleta manufaa makubwa sana kwetu Watanzania bila kujali dini wala rangi!
NAdhani imefika wakati sasa haya madawa ya kulevya yapigwe marufuku na wanaoingiza awe muislamu au mkristo wakamatwe na kufunguliwa mashitaka mazito kabisa. kwa kuwa watoto wengi wanaharibika!
Ndiyo Waislam wana upenda ugaidi wala siyo Uongo.... Kuna Muislam gani hakufurahia 9/11 ukimpata basi huyo kabadili dini-tabia ni matokeo ya unachokipenda Mlevi lazima apende Pombe nk .... Uislam kwa hivi karibuni umeruhusu watu wengi kuufia ili kuukuza kwa waumini kupewa fedha za kuendesha familia zao watakapo jiua.....!
Wewe ni muongo Waislam ni masikini? Huo ni utoto wa maono biashara ya mafuta Tanzania 90% inaendeshwa na Waislam na hakuna bidhaa inayochangia umasikini wa watanzania km Mafuta ... yakipanda kidogo tu yanachangia umasikini wa watanzania kwa 100% leo unasema Waislam masikini!??
Jarida la FOBES lilitoa majina ya watanzania matajiri kuliko wote katika majina 10 Mkristo ni mmoja tu, wote wengine ni waislam ukianza Bahresa, kina Ali Mfuruki, Mohamed Enterprises, Yusuph Manji nk
Unanikera sana unapo singizia waislamu ni masikini....Waislam mnapenda sana mbakie pekeenu Tanzania ndio maana mnatunga kila aina ya fitina kwa imani yenu kumfitini mtu siyo dhambi...ndio maana hakuna mafanikio