Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,654
- 18,792
Kwa hiyo biashara lazma maisha yawe marahisihuyu anasema maisha yamekuwa marahisi
Kwa hiyo biashara lazma maisha yawe marahisihuyu anasema maisha yamekuwa marahisi
Mkuu ukumbuke Pengo ni taasisi tofauti na makanisa kama ya Gwajima.Hahahaaa kumbe yumo kwa list?
Sasa Makonda mbona hajamuita?
Mkuu ukumbuke Pengo ni taasisi tofauti na makanisa kama ya Gwajima.
Pengo si binadamu tofauti lakini Pengo ni kiongozi wa taasis, kushutumiwa Pengo kama Kadinali ni lazima Baba Mtakatifu afahamishwe na yeye pia atoea msaada wa kisheria, na kama atakutwa na hatia basi itabidi Baba Mtakatifu ateue Kadinali mwingine.Najua but sisi wote si ni watu sawa mbele ya sheria?
au Pengo ni binadamu zaidi kuliko kina Gwajima?
Pengo si binadamu tofauti lakini Pengo ni kiongozi wa taasis, kushutumiwa Pengo kama Kadinali ni lazima Baba Mtakatifu afahamishwe na yeye pia atoea msaada wa kisheria, na kama atakutwa na hatia basi itabidi Baba Mtakatifu ateue Kadinali mwingine.
La hasha, sijasema hayo, lakini inawezekana hawajapata ushawishi wa kutosheleza kumuita Pengo.Sasa kwakuwa Gwajima na Manji hawana hiyo kinga its okay kuwashutumu hata kama evidence hakuna?
La hasha, sijasema hayo, lakini inawezekana hawajapata ushawishi wa kutosheleza kumuita Pengo.
.Pengo si binadamu tofauti lakini Pengo ni kiongozi wa taasis, kushutumiwa Pengo kama Kadinali ni lazima Baba Mtakatifu afahamishwe na yeye pia atoea msaada wa kisheria, na kama atakutwa na hatia basi itabidi Baba Mtakatifu ateue Kadinali mwingine.
Mkuu the Boss, unafahamu kuwa Pengo akiitwa tu kituo cha polisi, mashirika yote ya habari yatakuwa na coverage yake, hii itakuwa shughuli nzito sana, na kama ni hear say itakuwa aibu gani kwa serikali.Double standard ndo jibu sahihi
Imani ya ki-Katoliki tunaamini Yesu alimwachia Peter uongozi wa kanisa na baada ya Peter kuna kiongozi anaechaguliwa ambae tunamwita baba Mtakatifu..
Baba mtakatifu?
Kwa mujibu wa imani ya kikristo baba mtakatifu ni mmoja tu nae ni Mungu.
Watu hunishangaza sana akiwa MTU wa imani yake wanamtetea ila kwa wengine ni sawa tu kuzalilika kwa wengine baba mtakatifu sijui nini, watanzania tuna shida kubwa sanaSasa kwakuwa Gwajima na Manji hawana hiyo kinga its okay kuwashutumu hata kama evidence hakuna?
.Imani ya ki-Katoliki tunaamini Yesu alimwachia Peter uongozi wa kanisa na baada ya Peter kuna kiongozi anaechaguliwa ambae tunamwita baba Mtakatifu.