Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 7,356
- 7,636
exactly mkuu, mtu anayevunja sheria lazima ashughulikiwe. Haijarishi yeye ni askofu au padri au nani. Rais hatakiwi kudebate na mtu kwenye uvunjifu wa sheria. Mesage gani anatupa anavyoenda kulialia mbele ya watu bila kuchukua hatua? Is this country a failed state?Wakatoliki walishamuambia Kikwete 'njoo utukamate kama tunahusika'.
Wakaongeza kuwa ukimya wa Kikwete kutowakamata wauza madawa ni usaliti.