Pengo amtolea uvivu Kikwete

Pengo amtolea uvivu Kikwete

Huwa mi si muumini wa kauli za JK, manake asilimia 99 zina unafiki na utata mwingi.............................
 
Kwanza siamini kama kweli kanisa linajihusisha na biashara ya dawa za kulevya, liwe ni kanisa kubwa au kanisa dogo. Iwe ni kadinali au mwinjilisti. Ninachoweza kusema ni kuwa kama ni kweli na kama kuna ushahidi serikali isingeshindwa kuwataja, kuwakamata au kuwachukulia hatua zinazistahili. Tunajua kuwa serikali inawaogopa mafisadi, lakini sidhani kama inayaogopa makanisa.

Ni kweli kuna haja ya kuishitaki serikali kwa kushindwa kufanya kazi yake. kama kweli kanisa ni sehemu ya mtandao wa biashara hiyo, basi sehemu kubwa ya watanzania watakuwa mateja, itakuwa rahisi tu ukitaka unga unaenda kanisani, jaribu kufikiri idadi ya watu wanaokwenda kanisani, kama robo yao wananunua dawa za kulevya makanisani basi itakuwa balaa. Ni bora makanisa yakapigwa marufuku ili kulinda usalama wa watanzania.
 
Mkuu wangu Bakwata waseme nini?.. kama kuna watu wamekamatwa na mkanda upo umeonyesha wauza unga, wao wanatakiwa kujitetea kitu gani... Jamani tuwe wakweli hivyo vyombo vya dini siku hizi ni biashara tupu hakuna cha Saint kamba tupu..kote huko unga na biashara haramu kwa kwenda mbele sii kanisani wala misikitini..Uliona wapi mtu mwenye msikiti au Kanisa ndio hutajirika! - Yaani kanisa au msikiti imekuwa biashara - kwa kuuza kitu gani?

Mkandara you have to remember that majority of Tanzanians are still not free from religion, bado wako kwenye makucha ya dini. Ndio maana kwa sasa watu wakisikia tu Mungu, Yesu au mtume wanakaa wananywea. bado watanzania wengi hawajui kuwa dini ni fix fix tu. Ukweli kuhusu dini sio unavyodhaniwa na kuendeshwa hapa Tanzania. Hapa ni fix fix tu.
 
Bakwata imechomekwa hapo ili jk aukwepe mtego wa kuitwa yeye mdini lakini ukweli ndo huo raisi aliapa kuitete kuilinda na kuisimamia katiba ya jamhuri ya muungano leo badala ya kuwashitaki au kuwatafuta wauza madawa anaanzisha mipasho. Siku nikipata visa ya Rwanda hamnioni Tz
 
Bakwata imechomekwa hapo ili jk aukwepe mtego wa kuitwa yeye mdini lakini ukweli ndo huo raisi aliapa kuitete kuilinda na kuisimamia katiba ya jamhuri ya muungano leo badala ya kuwashitaki au kuwatafuta wauza madawa anaanzisha mipasho. Siku nikipata visa ya Rwanda hamnioni Tz

Kinachonishangaza ni kuto respond quick hawa Bakwata kama ilivyo kawaida yao wakionyeshwa kidole hata kitu kikwa cha kweli. Iweje hii scandoo ya ubia wa kuuza unga wamekaa kimya?
 
Mkuu wangu Bakwata waseme nini?.. kama kuna watu wamekamatwa na mkanda upo umeonyesha wauza unga, wao wanatakiwa kujitetea kitu gani... Jamani tuwe wakweli hivyo vyombo vya dini siku hizi ni biashara tupu hakuna cha Saint kamba tupu..kote huko unga na biashara haramu kwa kwenda mbele sii kanisani wala misikitini..Uliona wapi mtu mwenye msikiti au Kanisa ndio hutajirika! - Yaani kanisa au msikiti imekuwa biashara - kwa kuuza kitu gani?

Mkandara, mimi siyo Roman Catholic wala Islam, lakini naona kama umekwenda too general ndugu yangu. Hata kwenu mmezaliwa watoto kadhaa, na ikitokea mmoja akawa mwizi, haiwezezi kuhalalisha kuwa na Mkandara naye ni mwizi. Wanafunzi 12 wa Yesu waliokuwa wakiambatana naye mmojawao alikuwa Yuda Iskariote. Huyu alipenda pesa hadi akamuuza Bwana wake, yaani kumsaliti kwa vipande 30 vya pesa. Hiyo haikumaanisha kuwa wanafunzi wa Yesu wote walipenda pesa kuliko kazi ya Injili.

Huko mbinguni malaika watakatifu waliendelea kumtii Mungu siku zote, lakini mmoja wao Lucifer aliasi na kufanya mashindano na Mungu, naye alifanikiwa kuwaambukiza baadhi ya malaika watakatifu kuamini mawazo yake. Lakini hiyo haikumaanisha kuwa malaika watakatifu huko mbinguni wote ni waasi.

Mifano hiyo inatufundisha kujizuia kutoa hukumu za jumla. Tukija kwenye hoja ya msingi, ni kuwa serikali ichukue jukumu lake kumkamata ndugu yake na Mkandara ambaye ni mwizi bila kuonea haya, kama Mungu alivyochukua uamuzi kuwafukuza malaika wote walio as ( hayo ndio majini yanayotuzunguka kila leo hapa duniani). Serikali ichukue hatua ya kumkamata huyo Cardinal, Askofu, Mchungaji, Sheikh, Usataadhi nk anayejihusisha na madawa ya kulevya. Wakifanya hivyo watakuwa wametekeleza wajibu wa serikali kama walivyotumwa na raia wa JMT. Kumbuka kuwa hawa ma=Sheikh na ma-Askofu wauza unga hawakutumwa na Uislam au Ukristo.
 
Nitoe shukrani zangu za dhati kwa msimamo wa JK. Asikate tamaa kuibana kanisa na misikiti wazidi kuona aibu na hatimaye kuacha (kama kweli wanafanya hiyo biashara chafu).<br />
<br />
Kazi ni ngumu ... kila mtu anajua institutions hizi za makanisa ni za nchi kubwa kubwa za kimagharibi na kupambana nazo lazima utembee kwenye mstari mwembamba sana! Kumbukumbu ya watu wa mungu kubaka watoto bado mbichi (kanisa lilikana sana hili!) na lisemwalo hapa lipo.
<br />
<br />
kama sio kuchafuana kwanini JK asiwataje wahusika na kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria? Au sheria ya TZ hairuhusu kuwafungulia mashtaka viongozi wa dini?
 
Hiyo ndiyo serikali yetu haiwezi kufanya kazi kwa utaratibu bali ni kwa majungumajungu, mara wachungaji, mara maaskofu, mara waumini, mara bakwata sasa siwawataje tu hadharani hata nguvu ya umma inaweza kulimaliza suala hilo kama watawataja
 
kwanini Bakwata wakae kimya kwenye tuhuma nzito kama hizi wakati wakiguswa hata kwenye mambo madogo kinawaka? Hapa wametajwa kigeresha tu!
 
Kwa nini serikali haiwataji wahusika na hiyo biashara ya madawa ya kulevya badala yake inaendelea na danadala kati ya wahusika na kutoa tu tuhuma za jumla bila kutaja jina la wahusika na hatua stahiki? Je ni propaganda za kuwapakazia kashfa viongozi wa dini? Rais anaposema watu wa Mungu wanafanya biashara ya madawa ya kulevya inawalenga watu binafsi au hao viongozi wa dini? Woga gani ulioishika serikali kwikwi ya kutaja hadharani majina ya wauza unga?

Watu wa Mungu au watumishi wa Mungu?
 
Kanisa katoliki linaogopa kivuli chake.

Wajirekebishe.
 
Jk mwoga hajiamini nimeupenda msemo wa kwamba anatenda baadae anafikiri????.
 
serikali haiwezi kuwataja sababu madiplomats wenyewe wanafanya hiyo biashara coz wao nao hawakaguliwi.
 
wasanii wanataka tuhame kwa jairo na umeme tuamie huku! tumestuka! hali ya uchumi ni mbaya serikali isizuge.......... tumechoka na habari zisizo kamilika.
binafsi ni mwathilika wa madawa ya kulevya kunawadogo zangu wanapata tabu kwa ajiri ya hawa wapuuzi kwa hiyo naona hiyo hali inavyo umiza
serikali haiko makini kuhusu hili wanaongea kisanii tu na kitoto tu.naogopa kutumia maneno makali japo nafsi yangi imeshayataja. be serious alaaa!
 
tunakoelekea mtu akikamatwa na madawa ya kulevya atakuwa anaulizwa we ni dini gani ili kanisa au bakwata wahusishwe vizuri
 
madaktari bingwa walishasema kuhusu mtu aliyewekewa kichwa cha nazi
 
Kikwete hajui alifanyalo na kamwe hajutii kauli zake, ni kazi ya Mungu kamuumba mja wake ila hakumpa uwezo wa kufikiri yajayo. Mambo ya muhimu hayaoni anashupalia upuuzi na uongo. Mwisho wake ni mbaya sana.
 
Binafsi naona wengi wetu waliochangia hii habari wanaingiza "bias" zao bila kugusa issue husika!Madawa ya kulevya ni haramu na sheria zetu za nchi ziko wazi kabisa kuhusu hilo!Kama kuna watu wanajulikana kuwa ni wauza/wasambazaji madawa hayo na mpaka mikanda ya video ikaandaliwa,je kwa nini wasikamatwe na kufunguliwa mashtaka?kwa nini mikanda ikaonyeshwe wabunge na sio kupelekwa mahakamani? Tukumbuke wakati wa kampeni na hata baada ya uchaguzi Jk aling'ang'ania sana hoja ya udini! Isijekuwa ni mwendelezo wa sumu hiyo na ndo maana alitolea pia kauli hiyo ktk hadhara ya wakatoliki kwa kuamini kuwa mpinzani wake mkuu i.e Dr Slaa alitumwa na alipewa nguvu na kanisa katoliki!!!
Yote tisa,kumi ni kwamba JK alipoapishwa kuwa raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania aliweka kiapo cha kulinda nchi na watu wake!Kulinda nchi kumeshamshinda kwani hata ndege za kijeshi za nchi nyingine zimeweza kuingia nchini na kubeba wanyama wetu hai bila kubughudhiwa na yeyote! Sasa la kulinda watu wake nalo limeshamshinda pia kwani kama anawajua wauza unga kwa nini asitumie mamlaka tuliyompa kuwalinda watu wake wasiendelee kuangamizwa na madawa hayo,kwa kuwakamata wahusika badala ya kupiga porojo?
Nafikiri wabunge walioona huo mkanda na kulia ni wanafiki tu,kwani wangalikuwa na uchungu wa kweli walipomaliza kuuona wangalitoka na tamko zito la kumtaka rais achukue hatua za haraka ama vinginevyo apigiwe kura ya kutokuwa na imani naye!!!
Tukumbuke athari za madawa hayo hazichagui kama mtumiaji ni mkristo au mwislamu,ni cuf au ccm,ni mmatumbi au ******,ni msomi au bongolala,kijana au mzee nk nk. Kumshambulia JK kuhusu hili la kutokuwajibika hakuhusiani na uislamu wake wala u ccm wake bali unahusika ni kiapo alichokula cha kukubali kuwa raisi wa Jamhuri hii. Tuunganishe nguvu zetu wote.
 
Binafsi naona wengi wetu waliochangia hii habari wanaingiza "bias" zao bila kugusa issue husika!Madawa ya kulevya ni haramu na sheria zetu za nchi ziko wazi kabisa kuhusu hilo!Kama kuna watu wanajulikana kuwa ni wauza/wasambazaji madawa hayo na mpaka mikanda ya video ikaandaliwa,je kwa nini wasikamatwe na kufunguliwa mashtaka?kwa nini mikanda ikaonyeshwe wabunge na sio kupelekwa mahakamani? Tukumbuke wakati wa kampeni na hata baada ya uchaguzi Jk aling'ang'ania sana hoja ya udini! Isijekuwa ni mwendelezo wa sumu hiyo na ndo maana alitolea pia kauli hiyo ktk hadhara ya wakatoliki kwa kuamini kuwa mpinzani wake mkuu i.e Dr Slaa alitumwa na alipewa nguvu na kanisa katoliki!!!&nbsp;<br>Yote tisa,kumi ni kwamba JK alipoapishwa kuwa raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania aliweka kiapo cha kulinda nchi na watu wake!Kulinda nchi kumeshamshinda kwani hata ndege za kijeshi za nchi nyingine zimeweza kuingia nchini na kubeba wanyama wetu hai bila kubughudhiwa na yeyote! Sasa la kulinda watu wake nalo limeshamshinda pia kwani kama anawajua wauza unga kwa nini asitumie mamlaka tuliyompa kuwalinda watu wake wasiendelee kuangamizwa na madawa hayo,kwa kuwakamata wahusika badala ya kupiga porojo?<br>Nafikiri wabunge walioona huo mkanda na kulia ni wanafiki tu,kwani wangalikuwa na uchungu wa kweli walipomaliza kuuona wangalitoka na tamko zito la kumtaka rais achukue hatua za haraka ama vinginevyo apigiwe kura ya kutokuwa na imani naye!!!<br>Tukumbuke athari za madawa hayo hazichagui kama mtumiaji ni mkristo au mwislamu,ni cuf au ccm,ni mmatumbi au mpare,ni msomi au bongolala,kijana au mzee nk nk. Kumshambulia JK kuhusu hili la kutokuwajibika hakuhusiani na uislamu wake wala u ccm wake bali unahusika ni kiapo alichokula cha kukubali kuwa raisi wa Jamhuri hii. Tuunganishe nguvu zetu wote.<br><br><br>
 
Binafsi naona wengi wetu waliochangia hii habari wanaingiza &quot;bias&quot; zao bila kugusa issue husika!Madawa ya kulevya ni haramu na sheria zetu za nchi ziko wazi kabisa kuhusu hilo!Kama kuna watu wanajulikana kuwa ni wauza/wasambazaji madawa hayo na mpaka mikanda ya video ikaandaliwa,je kwa nini wasikamatwe na kufunguliwa mashtaka?kwa nini mikanda ikaonyeshwe wabunge na sio kupelekwa mahakamani? Tukumbuke wakati wa kampeni na hata baada ya uchaguzi Jk aling'ang'ania sana hoja ya udini! Isijekuwa ni mwendelezo wa sumu hiyo na ndo maana alitolea pia kauli hiyo ktk hadhara ya wakatoliki kwa kuamini kuwa mpinzani wake mkuu i.e Dr Slaa alitumwa na alipewa nguvu na kanisa katoliki!!!&amp;nbsp;&lt;br&gt;Yote tisa,kumi ni kwamba JK alipoapishwa kuwa raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania aliweka kiapo cha kulinda nchi na watu wake!Kulinda nchi kumeshamshinda kwani hata ndege za kijeshi za nchi nyingine zimeweza kuingia nchini na kubeba wanyama wetu hai bila kubughudhiwa na yeyote! Sasa la kulinda watu wake nalo limeshamshinda pia kwani kama anawajua wauza unga kwa nini asitumie mamlaka tuliyompa kuwalinda watu wake wasiendelee kuangamizwa na madawa hayo,kwa kuwakamata wahusika badala ya kupiga porojo?&lt;br&gt;Nafikiri wabunge walioona huo mkanda na kulia ni wanafiki tu,kwani wangalikuwa na uchungu wa kweli walipomaliza kuuona wangalitoka na tamko zito la kumtaka rais achukue hatua za haraka ama vinginevyo apigiwe kura ya kutokuwa na imani naye!!!&lt;br&gt;Tukumbuke athari za madawa hayo hazichagui kama mtumiaji ni mkristo au mwislamu,ni cuf au ccm,ni mmatumbi au mpare,ni msomi au bongolala,kijana au mzee nk nk. Kumshambulia JK kuhusu hili la kutokuwajibika hakuhusiani na uislamu wake wala u ccm wake bali unahusika ni kiapo
alichokula cha kukubali kuwa raisi wa Jamhuri hii. Tuunganishe nguvu zetu
wote.&lt;br&gt;&lt;br&gt;&lt;br&gt;
<br />

Wewe nae unazungukuaaaaa,,nadhani nawe una mabias yako. Tangu lini kutafuta compromise kwa uovu ? Dawa ni moja tu,sheria ifanye kazi. Haihitaji kwenda kupiga debe kwenye majukwaa ya dini. Hapo ndo wengi wanaona ubwege wa jamaa yako jakaya.
Finito.
 
Back
Top Bottom