PENDEKEZO: Taasisi za umma ziache kukopesha watumishi wake, ziwadhamini wakakope benki

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
10,129
35,152
Kuna mtindo mchafu umeingia kwenye taasisi nyingi za umma wa kuwakopesha pesa watumishi wake kwa kutumia pesa za ndani za uendeshaji wa mashirika hayo kiasi ambacho kimepelekea kukwamisha ufanisi wa uendeshaji wake. Mfano halisi ni mfuko wa Bima ya afya ya taifa (NHIF). Upo ushahidi wa wazi kuwa mikopo hiyo mingi haiwezi kulipika au itapitiliza muda wake wa kuweza kulipika.

Sasa kwa kuwa Pesa za umma ni mali ya umma, na watumishi wa umma ni watu tu waliopewa dhamana ya kuzisimamia hizo pesa, sio sawa na sio sahihi kwa watumishi hao hao tena kuanza kuzitumia kwa maslahi yao binafsi ikiwemo kujikopesha (tena bila riba) pesa hizo hizo kiasi cha kuzorotesha ufanisi wa mifuko hiyo.

Upande wa pili, taasisi za umma hazina utaalamu wa kutosha wa kuendesha zoezi la mikopo kama zilivyo taasisi za mabenki, hivyo busara ilikuwa ni kwa watumishi wa umma kwenda wenyewe kukopa kwenye mabenki.

Mwisho, taasisi za umma sio taasisi za mikopo, na sio jukumu lake la kimsingi kufanya zoezi la kuendesha mikopo.
 
NHIF wanafanya jambo zuri ambalo lilipaswa kufanywa na serikali yenyewe.
Hapo dawa ni serikali kuwakopesha watumishi wa umma na si mabenki.
 
Kuna mtindo mchafu umeingia kwenye taasisi nyingi za umma wa kuwakopesha pesa watumishi wake kwa kutumia pesa za ndani za uendeshaji wa mashirika hayo kiasi ambacho kimepelekea kukwamisha ufanisi wa uendeshaji wake. Mfano halisi ni mfuko wa Bima ya afya ya taifa (NHIF). Upo ushahidi wa wazi kuwa mikopo hiyo mingi haiwezi kulipika au itapitiliza muda wake wa kuweza kulipika.

Sasa kwa kuwa Pesa za umma ni mali ya umma, na watumishi wa umma ni watu tu waliopewa dhamana ya kuzisimamia hizo pesa, sio sawa na sio sahihi kwa watumishi hao hao tena kuanza kuzitumia kwa maslahi yao binafsi ikiwemo kujikopesha (tena bila riba) pesa hizo hizo kiasi cha kuzorotesha ufanisi wa mifuko hiyo.

Upande wa pili, taasisi za umma hazina utaalamu wa kutosha wa kuendesha zoezi la mikopo kama zilivyo taasisi za mabenki, hivyo busara ilikuwa ni kwa watumishi wa umma kwenda wenyewe kukopa kwenye mabenki.

Mwisho, taasisi za umma sio taasisi za mikopo, na sio jukumu lake la kimsingi kufanya zoezi la kuendesha mikopo.
Una point nzuri sana. Tunarudi kule kule. Kiongozi wa juu, kuanzia raia mpaka mawaziri na wabunge wasipokuwa na maono nchi yote inayumba. Unakwenda kuwapa kina babu Tale uongozi halafu utegemee nini?
 
Kuna mtindo mchafu umeingia kwenye taasisi nyingi za umma wa kuwakopesha pesa watumishi wake kwa kutumia pesa za ndani za uendeshaji wa mashirika hayo kiasi ambacho kimepelekea kukwamisha ufanisi wa uendeshaji wake. Mfano halisi ni mfuko wa Bima ya afya ya taifa (NHIF). Upo ushahidi wa wazi kuwa mikopo hiyo mingi haiwezi kulipika au itapitiliza muda wake wa kuweza kulipika.

Sasa kwa kuwa Pesa za umma ni mali ya umma, na watumishi wa umma ni watu tu waliopewa dhamana ya kuzisimamia hizo pesa, sio sawa na sio sahihi kwa watumishi hao hao tena kuanza kuzitumia kwa maslahi yao binafsi ikiwemo kujikopesha (tena bila riba) pesa hizo hizo kiasi cha kuzorotesha ufanisi wa mifuko hiyo.

Upande wa pili, taasisi za umma hazina utaalamu wa kutosha wa kuendesha zoezi la mikopo kama zilivyo taasisi za mabenki, hivyo busara ilikuwa ni kwa watumishi wa umma kwenda wenyewe kukopa kwenye mabenki.

Mwisho, taasisi za umma sio taasisi za mikopo, na sio jukumu lake la kimsingi kufanya zoezi la kuendesha mikopo.
Hapa umepuyanga Mkuu. Kwenye kazi yoyote kuna kitu kinaitwa Motisha ili mtendakazi awe na furaha kufanyakazi yake. Sera za Motisha zinaweza kuwa Free Airtime, Free Lunch, Usafiri bure, Mkopo wa Ujenzi endapo una kiwanja chenye Hati, Mkopo wa Gari nk.

Mikopo yote ina bima lkn pia kama ni mkopo wa Gari kadi ina majina 2 la Taasisi na mmiliki itakuwa yako Mkopo ukiisha, Mkopo wa Ujeni unasalenda hati ya Kiwanja kwa Taasisi mkopo ukiisha ndio unapewa Hati.
HIzo taarifa kwamba Mkopo unapotea ni stori za Vijiweni Mkuu.
 
Back
Top Bottom