zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,829
- 8,619
Zumbe wa Muheza,
Huyo bi. Shosti ameishiwa hoja sasa ameanza viroja. Lakini usiwe na shaka, kama unavyofahamu tuko hapa kuwasaidia hawa watoto wanaojifunza siasa kwa usimamizi wa ofisi ya lumumba.
Twende nao taratibu hatimaye watajitambua tu!
ni ngumu sana kuwaelimisha watu type ya kina makamba na shekhe yahya (R.I.P)