Pendekezo: SLAA amrithi SUMARI Arumeru!

Zumbe wa Muheza,

Huyo bi. Shosti ameishiwa hoja sasa ameanza viroja. Lakini usiwe na shaka, kama unavyofahamu tuko hapa kuwasaidia hawa watoto wanaojifunza siasa kwa usimamizi wa ofisi ya lumumba.
Twende nao taratibu hatimaye watajitambua tu!

ni ngumu sana kuwaelimisha watu type ya kina makamba na shekhe yahya (R.I.P)
 
MKuu si lazima kupima viti CDM ilivyoshinda au kushindwa,.. uwepo wake katika kampeni mbalimbali umepelekea Kusababisha nyufa zaidi ndani ya chama tawala.

Nyufa zipi jamani tuambieni ukweli tuache kufarijiana,nyufa zipi cdm kila uchaguzi inashindwa last time ni pale igunga,unajua bajeti ya chadema waliyoitumia pale igunga? Sio kweli kwamba chadema imekua imara zaidi baada ya uchaguzi uliopita...sana sana kumekuwa na madai tu ya chadema kutumika na mafisadi,hili wewe hujapata kulisikia huko uliko?

Tunataka slaa arudi bungeni awe anapata publicity ya kutosha kwa kuitingisha serikali kwa kuwa anavyo vyanzo vingi vya taarifa mpaka huko uwt,huyu atatusaidia kwa kuwa ni msafi miongoni mwa viongozi wa chadema na hana simile na mafisadi na ana hasira nao ndio mana unaona hata zile chai za ikulu hakua miongoni mwao.

Ilike slaa japo mimi sio cdm,wengine wengi tu pale cdm ni ma opportunist,mi huwa simuiamini mfanyabiashara hata siku moja!pengine hapo ndio tunatofautiana.
 
Nakata tamaa, hata mimi nilidhani mtoa hoja angesaidiwa kwa kueleweshwa jinsi mfumo unavyofanyakazi lakini inaonekana ilikua ni kufurahisha kikao. Tujaribu sana kuzungumza kwa kusonga mbele na isiwe tu kujibu unachoona wewe, nadhani pia hii thread tuifunge maana kuendelea kusoma baada ya yule aliyezungumzia umuhimu wa nafasi ya Slaa kwa sasa kuna tu expose mapungufu yetu ya kufanya analysis
 
Uchaguzi wa Arumeru mashariki ni kipima joto tosha kati ya Lowassa VS Dr Slaa 2015. Uchaguzi huu utatoa taswira kamili ya mpambano ujao wa urais
 
Chadema kufuata ushauri wa magamba na antiChademas ni sawa na Hawa kukubali ushauri wa shetani na kula tunda la mti wa kati!

Mkuu merekebisho kidogo kwenye red: Chadema kufuata ushauri wa magamba na anti-Chademas ni sawa na Adam kukubali ushauri wa Hawa (CCM) aliyekubali ushauri wa Nyoka (mafisadi; the real gambaz) kula tunda la mti wa kati! Mola apishe mbali hilo lisitokee asilani.

Frankly speaking, ni mwendawazimu tu anyeweza kutegemea lolote la maana, hata ushauri tu, kutoka kwa CCM hii ya sasa. Imefika mahali kwamba whatever is coming out of CCM ni rubbish.
 
Kamwe hiyo haiwezi kuwa sawa,Dr asimamie kampeni tuu kumuonyesha Lowassa Jeuri yake, hiyo inatosha

una uhakika gani kama Lowassa atamsaidia mgombea wa ccm?unaijua hali halisi ilivyo ndani ya ccm mzee?uliza waliokwenda igunga watakueleza.kuna watu waliapa wanataka ccm ishindwe ili waheshimiane.
 
Nyufa zipi jamani tuambieni ukweli tuache kufarijiana,nyufa zipi cdm kila uchaguzi inashindwa last time ni pale igunga,unajua bajeti ya chadema waliyoitumia pale igunga?

Sio kweli kwamba chadema imekua imara zaidi baada ya uchaguzi uliopita...sana sana kumekuwa na madai tu ya chadema kutumika na mafisadi,hili wewe hujapata kulisikia huko uliko?

Tunataka slaa arudi bungeni awe anapata publicity ya kutosha kwa kuitingisha serikali kwa kuwa anavyo vyanzo vingi vya taarifa mpaka huko uwt, huyu atatusaidia kwa kuwa ni msafi miongoni mwa viongozi wa chadema na hana simile na mafisadi na ana hasira nao ndio mana unaona hata zile chai za ikulu hakua miongoni mwao.

I like slaa japo mimi sio cdm,wengine wengi tu pale cdm ni ma opportunist,mi huwa simuiamini mfanyabiashara hata siku moja!pengine hapo ndio tunatofautiana.

Sasa mkuu nyufa za kuvuana gamba kwenye chama chenu chanzo chake ni nani hoja yako ya Dr. kwenda kuongeza nguvu bungeni sijaisoma vzr, je atawashika wabunge wa CCM mikono kuunga mkono hoja zenye tija kwa maslahi ya umma? au lengo lenu mnataka aende bungeni mseme Dr.kafuata posho bungnei baada ya posho kuongezwa?

Aisee kuna maswali mengi sana ninayojiuliza ni kwann magamba mnataka Dr. agombee alumeru? ni kwann magamba mnataka Dr. asalimiane na JK?
 
una uhakika gani kama Lowassa atamsaidia mgombea wa ccm?unaijua hali halisi ilivyo ndani ya ccm mzee?uliza waliokwenda igunga watakueleza.kuna watu waliapa wanataka ccm ishindwe ili waheshimiane.
sasa kwann kwenye hoja zako juu umepinga kuwa CCM hamna nyufa?
 
Nadhani hivi ni viroja vya kufungulia mwaka 2012, kwamba mtu amekanusha kuwa yeye si mwanaChadema lakini anasimama dede kuishauri chadema nini cha kufanya katika uchaguzi mdogo wa arumeru.

Mtu huyo kila anavyozidi kuandika anaonekana ana nia mbaya kabisa, hata katika threads nyengine ameonekana ni antiChadema.

Kinachofanyika hapa kwa maneno machache sana naweza kukiita ni sawa na upendo wa shetani!
 
tatenaneeeeeeei!
aisee ww kweli hoja hamna, yaani unataka tu wadhihirishe nguvu yao kwenye kanda km atashinda au una sababu nyingine?
hivi unaelewa umuhimu wa ngome kwenye politics mzee?kwanini jamaa katoa mfano wa lowassa kutopenda ashindwe kwenye ngome yake?fikiria kwanza kabla ya kukenua,huna hoja toka mjadala umeanza wewe kucheka cheka kishabiki tu
 
wewe tatizo lako na wewe unadandia mambo,yeye anaelewa ni wapi alipochemka kunihusisha na cdm ndio mana unaona ananikwepa kwenye suala hilo kwa kuwa nilimuomba ani quote nilipoonyesha kuwa na nasaba na cdm,kashindwa,sasa wewe unakurupuka tu,m pm umuulize atakwambia.

ok, nilikuwa sijamuelewa, kumbe antichadema ni CDM? hahahahahahahahaha
 
Kumbe sikio la kufa halisikii dawa! usijisumbue kupost hoja kabla ya kusoma political pogress ya tanzania.ccm ni wezi wa kura,majambazi wa haki.hivi hukumbuki hata mh.alivyokimbia na sanduku la kura.cdm haina nafasi ya kujadili hoja mufilisi kama yako,sugu keshakwambia slaa sio wa ubunge tena,kama unabisha kamulize anayeitwa Dr.kikwete.
 
Nadhani hivi ni viroja vya kufungulia mwaka 2012, kwamba mtu amekanusha kuwa yeye si mwanaChadema lakini anasimama dede kuishauri chadema nini cha kufanya katika uchaguzi mdogo wa arumeru.

Mtu huyo kila anavyozidi kuandika anaonekana ana nia mbaya kabisa, hata katika threads nyengine ameonekana ni antiChadema.

Kinachofanyika hapa kwa maneno machache sana naweza kukiita ni sawa na upendo wa shetani!
mkuu hapo kwenye bold mwenzako anaelewa kivingine.
 
Chadema haifanyi siasa za kuiga cuf na nccr mageuzi. Kila uchaguzi tunapanda kwa idadi ya wabunge, hiyo itoshe kukuonyesha kwamba tuko tofauti na hao wengine.
Hata chama kilichopo madarakani hakiridhiki sembuse sisi? Tunakuja kimkakati hatukurupuki, hatimaye mtakubali tu.

mimi naikubali mikakati yenu na nawapongeza kwa ubunifu kama nilivyowapongeza na kuwaunga mkono mlipoolewa na cuf na kukubali kwa hiari yenu kipindi cha ndoa yenu kumsimamisha na kumpigia kura Lipumba,mlionyesha uungwana sana japo sijui ni kwanini mlijitoe baade naamini mgedumu sasa hivi mngekuwa mbali sana.Lakini pamoja na hayo kiti cha ARUMERU kinataka HEAVY WEIGHT wa aina ya SLAA!Hii tusiisahau.
 
Nadhani hivi ni viroja vya kufungulia mwaka 2012, kwamba mtu amekanusha kuwa yeye si mwanaChadema lakini anasimama dede kuishauri chadema nini cha kufanya katika uchaguzi mdogo wa arumeru.

Mtu huyo kila anavyozidi kuandika anaonekana ana nia mbaya kabisa, hata katika threads nyengine ameonekana ni antiChadema.

Kinachofanyika hapa kwa maneno machache sana naweza kukiita ni sawa na upendo wa shetani!

Naam! Upendo wa shetani ni kuhakikisha unaishia pale alipo yeye - Jehanamu. Ushauri kutoka kwa mafisadi na magamba ni wa kuepukwa kama ukoma.
 
2010 Dr. ndo alipata kura za kutosha kuweza yeye kuwa rais badala yake tume ikamtangaza JK na hatimaye akaapishwa kuwa ndo rais, mnataka Dr. akagombee ili mumpoke suhindi wake kwa nguvu jimboni ili muhalalishe kura za lile dafu pale magogoni. ndivyo au sivyo?
zilikua ngapi labda unahisi?na ulimsikia nani akisema hivyo?dr mwenyewe, mbowe, zitto au nani?
 
wewe tatizo lako na wewe unadandia mambo,yeye anaelewa ni wapi alipochemka kunihusisha na cdm ndio mana unaona ananikwepa kwenye suala hilo kwa kuwa nilimuomba ani quote nilipoonyesha kuwa na nasaba na cdm,kashindwa,sasa wewe unakurupuka tu,m pm umuulize atakwambia.


Nikuonyeshe nini wakati una macho lakini huoni. Unasoma lakini huelewi.

Hoja zimekuishia, hakuna jipya hapa ngoja nisepe, ukikumbuka ulichosahau unifahamishe nitakuja kujibu.
 
mimi naikubali mikakati yenu na nawapongeza kwa ubunifu kama nilivyowapongeza na kuwaunga mkono mlipoolewa na cuf na kukubali kwa hiari yenu kipindi cha ndoa yenu kumsimamisha na kumpigia kura Lipumba,mlionyesha uungwana sana japo sijui ni kwanini mlijitoe baade naamini mgedumu sasa hivi mngekuwa mbali sana.Lakini pamoja na hayo kiti cha ARUMERU kinataka HEAVY WEIGHT wa aina ya SLAA!Hii tusiisahau.
mkuu kweli una viroja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom