CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Huku atown joshua ana nguvu sana hasavijana...kuanzia meru mpaka mjin..nakumbuka wakati wa uchaguz wazee wa kimeru walimwambia amwachiee sumari maana baada ya muda mfupi atachukua nafasi.sikujua wanaamaanisha nn?ila naamini sasa ni wakati wa joshua kuchukua jimbo bila ubishi..kuhusu silaa naona aendelee na harakati za kukuza uelewa wa watanzania.