dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,688
- 56,423
mimi naikubali mikakati yenu na nawapongeza kwa ubunifu kama nilivyowapongeza na kuwaunga mkono mlipoolewa na cuf na kukubali kwa hiari yenu kipindi cha ndoa yenu kumsimamisha na kumpigia kura Lipumba,mlionyesha uungwana sana japo sijui ni kwanini mlijitoe baade naamini mgedumu sasa hivi mngekuwa mbali sana.Lakini pamoja na hayo kiti cha ARUMERU kinataka HEAVY WEIGHT wa aina ya SLAA!Hii tusiisahau.
Kweli Mkuu Mwita Maranya uliona mbali. Hapo kwenye red ndipo anaonesha rangi zake halisi! Eti kaanzisha thread "kuishauri Chadema". Chadema haishauriwi na wana wa Shetani - the gambaz et al. Uzuri, hila zenu hujionesha mapemaaaaa kabla hamjapiga hata hatua moja katika "hoja" ya kipuuzi mnayotaka kuijenga.