KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,149
- Thread starter
- #41
Ushauri wowote wa kumtakaa dr slaa agombee ubunge hauna nia njema na ukombozi wa pili wa nchi. Tusubiri msiba uishe ,mkurugenzi wa uchaguzi wa Taifa atasema cha kufanya.....hapo ndio chama makini Kutakuwa na haki ya kuongelea hadharani mikakati ya arumeru ....
Dr yupo hapa ....Hawa wanataka Ugombee ubunge ili wakuite una uchu wa madaraka....size ya ubunge ilishapita angalia ujenzi wa chama na kuibua vipaji na maandalizi ya uchaiguzi mkuu 2015
[/B]
Unamdanganya!