Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,711
- 1,914
Hiyo ilikuwa ni CUF na hii ni CHADEMA, halitupati lolote hatuogopi vitisho CDM songa mbele tuu!!!!!msisahau kuwa cuf nao walikua na mtaji igunga kilichowapata hawatakaa waahau na nyie cdm lazima mtambue ya kwamba uchaguzi huu wa arumeru unaweza kuwaletea matokeo kama ya cuf Igunga