mfereji maringo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 1,043
- 262
arumeru for cdm
Duh haya magazeti sasa balaa, mbona wanahangaika na hii kitu?
Chadema inaelekea kumeza hii ndoano waliyotegewa na CCM.
msisahau kuwa cuf nao walikua na mtaji igunga kilichowapata hawatakaa waahau na nyie cdm lazima mtambue ya kwamba uchaguzi huu wa arumeru unaweza kuwaletea matokeo kama ya cuf Igungamwaka 2010 tofauti ya sumari na Nasari ilikuwa kura 5,000 tu, kutokana na kutambulika sana kwa chadema kwa sasa, ni wazi itakuwa ushindi wa dhahiri kama jinsi ilivyotoka kwenye 0 hadi 23,000 kule Igunga
Nasari aliyewahi kuwa Waziri Mkuu katika Serikali ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Daruso) kati ya 2008 na 2009 alipohitimu shahada ya Sayansi ya Jamii katika masuala ya utengenezaji Sera na Utawala, alisema ana imani Chadema kitashinda Arumeru.
.
Huu mpango umepangwa na CCM kwa malengo maalum kummaliza Dr Slaa! Wamekuwa wapole baada ya kuona Dr Slaa hata chembe ya harufu ya ubunge hataki.KIM KARDASH nasoma comments zako nyingi umekaa ki double agent! Endelea kubadili ID zako lakini huwezi kubadili mtindo wa uandishi wako!bado naamini wana Arumeru wana mtu wao anayeweza kuwawakilisha, haihitaji mtu kutoka karatu kwenda kuwawakilisha.... slaa needs to help nasari kushinda
slaa kugombea arumeru ni sawa na kusema chadema arumeru haina uwezo wa kushindana na ccm, au kama vile kuletewa mkenya kuombea tanzania kwenye bunge east africa kwamba tulio nao ni weak
i definitely oppose slaa kugombea arumeru, he is bigger than that...
msisahau kuwa cuf nao walikua na mtaji igunga kilichowapata hawatakaa waahau na nyie cdm lazima mtambue ya kwamba uchaguzi huu wa arumeru unaweza kuwaletea matokeo kama ya cuf Igunga