promi demana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 309
- 82
- Thread starter
- #41
Tatizo hoja yako umeisuka kwa kutumia rasta ya udini ndio maana naicrash Mkuu. Swali la kujiuliza CHADEMA kuna Udini au? Na kama upo au haupo solution ni kuchagua viongozi kwa kuangalia dini zao?
TUMBIRI (PhD, HULL University - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
Mkuu nimekuelewa vyema but ni lazima tuendani na mazingira na usisite kumbuka kilichowakuta CUF.