Habari zenu Mabibi na Mabwana, Samahani naombwa kujuzwa ivi vyeti vya darasa la saba huwa vinatolewa?
Kwa sababu mie binafsi sina. Kwa anayejua please naomba kujuzwa coz pccb wametaja cheti hicho kiambatanishwe ktk maombi ya kazi.
Sifa zote nnazo ila kimbembee nasema kimbembee ni hicho cheti cha darasa la saba sina.
Mimi darasa la saba nmemaliza mwaka 2000 je kuna aliyemaliza miaka hiyo ambae anacho?
Msaada please help:
Kwa sababu mie binafsi sina. Kwa anayejua please naomba kujuzwa coz pccb wametaja cheti hicho kiambatanishwe ktk maombi ya kazi.
Sifa zote nnazo ila kimbembee nasema kimbembee ni hicho cheti cha darasa la saba sina.
Mimi darasa la saba nmemaliza mwaka 2000 je kuna aliyemaliza miaka hiyo ambae anacho?
Msaada please help: