Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,257
- 89,208
Tarehe 3/10/2013 haijafika au ujanja umefanyika kukupa hicho cheti.
ni PM jina lako nikupitishe kwenye usahili. ushapita PCCB wewe. tunahitaj vjana kam ww. hahahaaaa uko smart.
Tarehe 3/10/2013 haijafika au ujanja umefanyika kukupa hicho cheti.
Kumbe wewe ni Me na avatar ya keMimi nimemaliza mwaka 2000 na hapa nipo ofisini kwa mwalimu mkuu utaratibu wa kuandikiwa cheti umechukua just one hour gharama 5000 tu na ushahidi wa cheti huo hapo
Mimi nimemaliza mwaka 2000 na hapa nipo ofisini kwa mwalimu mkuu utaratibu wa kuandikiwa cheti umechukua just one hour gharama 5000 tu na ushahidi wa cheti huo hapo
Duuh....so uwernt employed till then o u wana change your career?...maisha bora kwa kila mtanzania ican c...
Mimi nimemaliza mwaka 2000 na hapa nipo ofisini kwa mwalimu mkuu utaratibu wa kuandikiwa cheti umechukua just one hour gharama 5000 tu na ushahidi wa cheti huo hapo
Mimi nimemaliza mwaka 2000 na hapa nipo ofisini kwa mwalimu mkuu utaratibu wa kuandikiwa cheti umechukua just one hour gharama 5000 tu na ushahidi wa cheti huo hapo
Mimi nimemaliza mwaka 2000 na hapa nipo ofisini kwa mwalimu mkuu utaratibu wa kuandikiwa cheti umechukua just one hour gharama 5000 tu na ushahidi wa cheti huo hapo
Duuh....so uwernt employed till then o u wana change your career?...maisha bora kwa kila mtanzania ican c...
Habari zenu Mabibi na Mabwana, Samahani naombwa kujuzwa ivi vyeti vya darasa la saba huwa vinatolewa? kwa sababu mie binafsi sina. Kwa anayejua pls naomba kujuzwa coz pccb wametaja cheti hicho kiambatanishwe ktk maombi ya kazi. Sifa zote nnazo ila kimbembee nasema kimbembee ni hicho cheti cha darasa la saba sina. Mm darasa la saba nmemaliza mwaka 2000 je kuna aliyemaliza miaka hiyo ambae anacho? Msaada plzzzzzzzzzzzzzzz...:help::A S-confused1::A S 2152::noidea::cell:
hizo rushwa elfu 5 yann vyeti vinatolewa bure me nimeagiza tu nikachukuliwa na mtu bure na bri wangu kamaliza 1996 la saba naye kapewa bure tu
Jamni mi shule yangu yamsing yenyewe pale ilipokuwaga imehamishwa! Sijui ntakipataje! Wamejenga bank na maduka! Poor me daaah!
Mi nilimaliza la 7 mwaka 1985 nimeenda wanasema vyeti miaka hiyo vilikuwa havitolewi.