PCCB na vyeti vya darasa la saba

PCCB na vyeti vya darasa la saba

Mwaka wa 2000 na 2001 vyeti havikutolewa. Ndio maana mnalipishwa rushwa huku mnaomba kupambana na rushwa.

Unavojishembendua utadhan hujawai kutoa rushwa, Labda nikufahamishe baada ya kulipa 5000 na kukipata cheti hicho Mwalimu wangu nikamtoa 30,000 ya kumshukuru Mama yule na roho yake njema vile zoezi halikua na urasimu wowote

Wewe endelea kujifanya mtu wa haki sana kumbe ndo wezi wenyewe
 
Jinsi ya kukusaidia nenda shule uliyomalizia kumbukumbu zipo mwalimu mkuu atakuandukia uthibitisho. Mzee mimi ni nacho pamoja ña leaving certificate ya mwaka huo 2000 ila umri wako kwa jeshi ...majanga ushapita.
 
Wengine shule tulisoma forodhani primary school kwasasa imekua ya katoliki inaitwa st joseph millenium..ss vyeti tutatoa wapi wakt ht walimu wote walihamishwa shule ikabaki nyeupe bila mwalimu wala mwanafunzi..kwa kifupi haiexist tena
 
Mie changu cha mwaka 1998 ninacho kina rangi kama ya kijani fulani isiyokolezwa ...vyeti vyote ni muhimu jamani
.
Atakayemwona mwenye cheti changu cha fm4 anipm make waliniibia mpaka leo nasumbuka sana na utaratibu wa baraza mbaya sana hawatoi vingine sijuhi kwanini,hii sheria ya NECTA yafaa kuangaliwa upya
 
nahis hii ni njia ya kupunguzana nn? Npo dsm la sapa nmemaliza shinyanga-chet sjawah kukiona sasa ntakipata je mie leo nmeongea na tcha wangu anadai havipo shulen mpaka mkoan;hii si kaz ngum jaman?? Plz pccb liangalien hili japo kwel kuna watu waliiba majina ya watu kujiunga form 1
kama huna muombe mwalimu mkuu akuandikie barua ya kuthibitisha kuwa ulisoma hapo shule ..anaandika kwenda pccb alafu unaambatanisha na vyeti na barua ya maombi... Usifanye utani ajiri ni ngumu
 
Toa ripoti polisi,toa tangazo kwenye gazeti, jaza fomu za necta lipia nmb 10000 alafu ambatanisha hivyo vyote tuma vyote hivyo baraza alafu wenyewe watatuma statement of rusults huko unakotaka yatumike hayo matokeo.
 
Mie changu cha mwaka 1998 ninacho kina rangi kama ya kijani fulani isiyokolezwa ...vyeti vyote ni muhimu jamani
.
Atakayemwona mwenye cheti changu cha fm4 anipm make waliniibia mpaka leo nasumbuka sana na utaratibu wa baraza mbaya sana hawatoi vingine sijuhi kwanini,hii sheria ya NECTA yafaa kuangaliwa upya
Toa ripoti polisi,toa tangazo kwenye gazeti, jaza fomu za necta lipia nmb 10000 alafu ambatanisha hivyo vyote tuma vyote hivyo baraza alafu wenyewe watatuma statement of rusults huko unakotaka yatumike hayo matokeo.
 
Wengine shule tulisoma forodhani primary school kwasasa imekua ya katoliki inaitwa st joseph millenium..ss vyeti tutatoa wapi wakt ht walimu wote walihamishwa shule ikabaki nyeupe bila mwalimu wala mwanafunzi..kwa kifupi haiexist tena

ACHa uvivu mtoto wa kitanzania nenda pale watakupa taarifa zote zipo .
 
Cha muhimu ni kwamba ulisoma kweli Darasa la kwanza Hadi la Saba na una cheti cha kudhibitisha hilo, haup mambo ya vilitolewa havikutolewa misa waziri wa elimu alivisitisha hayana mashiko


Ukihojiwa umekitoa wapi wakati serikali ilivisitisha utajibu nini??? Nenda wizarani ukaulize kama vyeti vya darasa la saba miaka 2000 na 2001 vinatolewa ama la.
 
Ukihojiwa umekitoa wapi wakati serikali ilivisitisha utajibu nini??? Nenda wizarani ukaulize kama vyeti vya darasa la saba miaka 2000 na 2001 vinatolewa ama la.

Cheti nimepewa na mkuu wa shule mkuu,
 
ACHa uvivu mtoto wa kitanzania nenda pale watakupa taarifa zote zipo .

Niende wapi wakati shule haiEXIST tena..iliyopo ni ST JOSEPH MILLENNIUM. ..ni Catholic school yenyewe imeanza moja kuanzia std 1..ungenishauri niende wizarani au manispaa ningekuona wa maana lkn si kwenda ndani ya shule ya watu nkajieleze nn kwa ma padre na masista wakt wao ni shule mpya private
 
Mimi nimemaliza mwaka 1999 je vipo?

kwanza kaa unataka apply PCCB huwezi. mkubwa mno.

pili, uo mwaka tulikua tunamsiba wa hayati baba wa taifa, mwalimu julius kambarage nyerere. hivyo sidhani kama vitakuwepo.

ila kajaribu.
 
Wengine shule tulisoma forodhani primary school kwasasa imekua ya katoliki inaitwa st joseph millenium..ss vyeti tutatoa wapi wakt ht walimu wote walihamishwa shule ikabaki nyeupe bila mwalimu wala mwanafunzi..kwa kifupi haiexist tena

mie niliwauliza hivi wadau: shule niliosoma imegeuzwa imekua girls tupu, nifanyeje?
wakajibu: nenda shule ya jirani.

mayb na wew una case kama yangu. vipi pale Forodhani hapakua na majirani wa kufanya nao "ujirani mwema tests"??
 
Watoe paper la darasa la saba atakaye chemka basi

Haya

1.Taja zao la biashara la Marekani.

2. Andika kanuni ya kutafuta eneo la mche duara ulio wazi pande moja.

3. Nyenzo daraja la 2 ina egemeo wapi?

4. Kitendawili: Debe tupu_______________.

5. Chief Mkwawa, alikufa mwaka gani?

6. ________________________.
 
Back
Top Bottom