PCCB na vyeti vya darasa la saba

PCCB na vyeti vya darasa la saba

Habari zenu Mabibi na Mabwana, Samahani naombwa kujuzwa ivi vyeti vya darasa la saba huwa vinatolewa? kwa sababu mie binafsi sina. Kwa anayejua pls naomba kujuzwa coz pccb wametaja cheti hicho kiambatanishwe ktk maombi ya kazi. Sifa zote nnazo ila kimbembee nasema kimbembee ni hicho cheti cha darasa la saba sina. Mm darasa la saba nmemaliza mwaka 2000 je kuna aliyemaliza miaka hiyo ambae anacho? Msaada plzzzzzzzzzzzzzzz...:help::A S-confused1::A S 2152::noidea::cell:

Hivyo vipo kaka,personally nilipewa,ninacho
 
mi nilikwenda kwenye shule niliyosoma wakaniambia 1991 - 2003, walisitisha kutoa na wakaanza tena 2004.
na ili kukipata nitoe 10000 na kuleta picha 2 ili wapeleke maombi yakijibiwa nitakipata, au ndiyo desh.
Ni shule ndo iliyositisha au ni wizara.? coz mimi nimemaliza 1996 wilaya ya moshi vijijini na niko na cheti changu
 
hivi icho cheti lazima kifanane na alichoweka mdau?... kuna ndugu yangu alisoma english medium akapewa leaving certificate...ndio chenywe au kuna kingine?
 
Vyeti vipo tu, zamani ulikuwa huwezi kufanya mitihani ya kuingia kidato cha kwanza bila cheti!! Siku hizi unamuhamisha mtoto kutoka shule moja kwenda nyingine bila hata vyeti vya uamisho, wanampa mtihani tu imetoka. anaanza upya hawajali rekodi zake.
 
Ni shule ndo iliyositisha au ni wizara.? coz mimi nimemaliza 1996 wilaya ya moshi vijijini na niko na cheti changu
Mkuuacha kutuchekesha kwani chakwako ni cha shule yako au ni cha wizara?
 
Vyetu hua vinakuepo sema ile dharau na utoto nadhni watu wengi huwa hawavijali ..nakushauri nenda shule ulomalizia watakupa..mi binafsi nnacho cha kwangu ni memaliza 2003....

Wadau tafadhali wekeni link ya hilo tangazo tujue requirements zote. Natanguliza shukrani.
 
Miaka ya 2000 na 2001 vyeti vya darasa la 7 havikutolewa kwa nchi nzima. Waziri wa elimu mwaka huo alivisimamisha.
Vyetu hua vinakuepo sema ile dharau na utoto nadhni watu wengi huwa hawavijali ..nakushauri nenda shule ulomalizia watakupa..mi binafsi nnacho cha kwangu ni memaliza 2003....
 
Miaka ya 2000 na 2001 vyeti vya darasa la 7 havikutolewa kwa nchi nzima. Waziri wa elimu mwaka huo alivisimamisha.

Cha muhimu ni kwamba ulisoma kweli Darasa la kwanza Hadi la Saba na una cheti cha kudhibitisha hilo, haup mambo ya vilitolewa havikutolewa misa waziri wa elimu alivisitisha hayana mashiko
 
Back
Top Bottom