tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,422
mie niliwauliza hivi wadau: shule niliosoma imegeuzwa imekua girls tupu, nifanyeje?
wakajibu: nenda shule ya jirani.
mayb na wew una case kama yangu. vipi pale Forodhani hapakua na majirani wa kufanya nao "ujirani mwema tests"??
Forodhani jirani zetu walikua mtendeni..kisutu primary na bunge basi