the great wizard
JF-Expert Member
- Dec 21, 2015
- 1,482
- 882
1060 hawana but wana iyo 1050
pia wanazo ATI na zenyewe kali kinoma zina 4gb zinaenda laki 4
1060 hawana but wana iyo 1050
approximately laki 7
mimi kwanyu doesn't matter sana cjui unataka kucheza game kwa native 4KUHD and 1080 FHD me 720p tu inanitoshaila kwa GT 1030 game nyingi resolution c unaweka 720p? 1080p unawza kucheza kwa medium settings sana sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hii euto truck yako ni nzuri aisee ...naweza kulipata vp mkuu hiyoKama unapenda hizo tafuta Russian baikal r9 humo unakua unapiga root za Russia yani barabara zmejaa ufa kona na milima ya kutosha yani gari haituliii kabisaa full matope....pia chek na map puno nayo barabara mbya hatar kona nying sana...
Usisahau kufunga horsepower ya 1500 au 2000 alaf nyuma uwe na double trailer huku umetia sounds mod yani unaiskia gar had tair zinavyo lia
Ebwana ukiona euro truck yangu unaweza usile
Master iyo game nisaidie na mie niperuziView attachment 575291 nikichoka roli huwa naamia kweny bus
Pakua juu hapo kuna jamaa aliomba link mkuuDuh hii euto truck yako ni nzuri aisee ...naweza kulipata vp mkuu hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
laki kama 6
yaaa ni ANYA, ata mm nime imaliza io-Hiyo inayoeleza WW II itakuwa ni Call of Duty 5, Nimecheza hii Game na nimemaliza Mission zote.
-IGI ipo I na II, 1 nimemaliza mission zote, Mwisho wa Mission unaenda kumuona ANYA(sina uhakika na Jina maana nimeacha kitambo kucheza hii Game).
-Naweza nikakupatia hii 4, lazima uipendeeeeee.
dah iyo game me ninayo 1 na 2 ile 2 mnaanzia kwenye maji ivi dah imenishinda kabisaView attachment 590022 now playing
Ilikushinda kucheza au...dah iyo game me ninayo 1 na 2 ile 2 mnaanzia kwenye maji ivi dah imenishinda kabisa
yeah ilinishinda kuichezaIlikushinda kucheza au...
Mana mbele ilinoga kimtindo..sasa nikasema jana ngoja nishushe ya 3 kabisa nimalze..ndio naicheza hapa ipo poa sana
For real Gta 5 haipo kwa mobileNina shida na gta 5 mobile vision maana nimejaribu download na fix VPN bado nimeshindwa
Hukukaza tu...mi niliimalzayeah ilinishinda kuicheza
Oyoooo. Asee mkuu emb fanya kuweka download link ili niishushe from afar.Habari Wakuu!!!
Kwa wale wapenzi wa PC Games, nina Call Of Duty 4 Modern Warfare naitoa bure bila malipo yoyote japo sikukatazi ukinipa hata ela ya vocha.
-Nitakuwa nazitoa hizi Game kwa WanaJF kila baada ya muda kadhaa, nilitoa Fifa 14 bure na sasa ninatoa Call of Duty 4. Sina namna ya kuanza kuielezea hii Game kwa mapana sababu sina kipaji cha kudadavua vitu kama hivi ila ni mchezaji hasa wa haya Magame ya Computer.
-Kwa wale ambao waliipata Fifa 14 wanaweza wakasema kama niliwacharge hata senti 5. Jamiiforums huwa inanisaidia sana nikiwa na shida mbalimbali kwahiyo na mimi nawasaidia wale ambao wanauhitaji wa hii Game. Fifa 15 Ipo njiani kuna kitu nataka nihakiki kwangu kwanza, nikifanikiwa nitaweka tangazo la kuigawa hapa bure bila malipo.
-Pia baada ya Call of Duty 4 nitakuja kugawa Game nyingine yenye ya Call of Duty yenye 13GB, Hatari saaaaaaana hii Game. Kaeni mkao wa kula.
-Kwa mawasiliano unaweza ni PM.